Sakata la Chalinze Islamic nyuma ya pazia

Sakata la Chalinze Islamic nyuma ya pazia

Mimi nimejitolea kusawazisha ujinga popote ninapokuwa iwe mtaani ,kipindi nasoma levo zote mpaka mitandaoni hivyo sichoki na sitoiacha Kazi hii hata mtu achukie vipi.

#PoorYou

Huyo sio muislamu, ni mvurugaji mkubwa wa mijadala, kama ulivyosema anatuharibia umoja wetu hawa ndio Rais akiwa muislamu wanapenda wakristo wamchukie au Rais akiwa mkristo wanapenda waislamu wamchukie, wakati tunahubiri umoja na mshikamano kama tamaduni zinavotutaka yuko busy kupandikiza chuki mimi iwe ni mkristo mwenye chuki na waislamu kwangu wewe ni hovyo na ukiwa muislamu una chuki kwa wakristo kwangu ni hovyo tu, au unakuta kateuliwa muislamu au mkristo hata kama anavigezo kisa sio dini yako unaanza nongwa na chuki huo ni ujinga wa kiwango kikubwa
 
Nikajua nakuja kusoma jicho pevu kumbe blah blah blah!!weka uislamu pembeni shule imekosea na huwezi kuitenganisha na hayo madudu yaliyofanyika mkuu wa shule ndio shule yenyewe hayo mengine ni majengo
 
Huyo sio muislamu, ni mvurugaji mkubwa wa mijadala, kama ulivyosema anatuharibia umoja wetu hawa ndio Rais akiwa muislamu wanapenda wakristo wamchukie au Rais akiwa mkristo wanapenda waislamu wamchukie, wakati tunahubiri umoja na mshikamano kama tamaduni zinavotutaka yuko busy kupandikiza chuki mimi iwe ni mkristo mwenye chuki na waislamu kwangu wewe ni hovyo na ukiwa muislamu una chuki kwa wakristo kwangu ni hovyo tu, au unakuta kateuliwa muislamu au mkristo hata kama anavigezo kisa sio dini yako unaanza nongwa na chuki huo ni ujinga wa kiwango kikubwa
Wewe qurani yako inakuambia usiwe na rafiki Mkristo.

Kusema unawapenda wa Kristo kwa andiko gani ?
Dini yako kila kukicha ni ya kupandikiza chuki tu na kuua watu wasio na hatia.

Wewe sio mwislamu

Aya ya Shetani.

Surah Al-Maidat Ayah 51

۞يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا تَتَّخِذُواْ ٱلۡيَهُودَ وَٱلنَّصَٰرَىٰٓ أَوۡلِيَآءَۘ بَعۡضُهُمۡ أَوۡلِيَآءُ بَعۡضٖۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَإِنَّهُۥ مِنۡهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهۡدِي ٱلۡقَوۡمَ ٱلظَّٰلِمِينَ
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Mnafiki wewe, unampendaje Mkristo na uislamu wako.
Unataka ili umchinje sio.
 
What do you want to justify here?

Upuuzi mwingine huu. Aliyeandika uzi huu amedhihirisha kuwa kiwango chake cha ujinga kiko juu sana kuliko kawaida. Juu sana, sana
 
Kwenye maiaka ya 80 karibia na 90, kwenye halmashauri fulani ya wilaya moja iliyo mahali fulani ndani ya JMT, kule Kanda ya Ziwa, ulizuka mtindo wa wafanyabiashara kuibiwa maduka yao kwa kubomolewa. Hali hii mwishowe ilipelekea siku moja kuitishwa mkutano wa hadhara na watu kuombwa kumtaja mtu yeyote ambaye wanadhani kuwa anaweza kuwa ni mhusika

Watu wengi walichangia kwenye mkutano huo siku hiyo lakini hayupo hata mmoja aliyejitokeza kutaja jina la mtu. Kwa bahati nzuri au mbaya, alikuwepo bwana fulani ambaye akili yake haikuwa sawa, alikuwa kama nusu chizi hivi ila hakuwa chizi completely. Ilitokea baada ya watu kuwa wameongea lakini pasipo kuwa wametaja jina lolote, hatimaye "nusu chizi" naye alinyoosha mkono ili aongee

"Nusu chizi" aliporuhusiwa, alisimama kwenye hadhara ya mkutano huo ambao ulikuwa ni mkubwa mno. Baada ya kusimama aliwauliza swali makutano hao akisema "NITOBOE SIRI?" watu wote wakaitikia "TOBOAAAAA!!!!"; akarudia tena akauliza " NITOBOE SIRI" safari hii watu wakaitikia kwa sauti ya juu kabisa na kwa nguvu zaidi kuliko mwanzo wakisema "TOBOAAAAA!!!!"; huku wakiwa na imani kabisa kuwa kwa sababu jamaa ni "nusu chizi" lazima tu atataja angalau jina la mtu mmoja na baada ya hapo watakuwa wamepata pa kuanzia

Baada ya makutano kumuitikiwa "nusu chizi" kwa mara ya pili, "nusu chizi" huyo alifikiria kidogo halafu akasema " NALIUNGA MKONO LILE LIFIJANA LIMEKAA"; akiwa anamaanisha kuwa anaunga mkono hoja ya mzunguzaji wa mwisho kijana aliyekuwa amepewa nafasi ya kuongea kabla yeye (nusu chizi) hajaruhusiwa kuongea

Baada ya hapo, watu karibia wote waliinamisha vichwa chini huku wakiwa wamegubikwa na nyuso zilizokosa matumaini juu ya ufumbuzi wa tatizo lililokuwa limewakusanya kwenye mkutano huo.

Aliyeanzisha thread hii amezirudisha kumbukumbu zangu kwenye tukio hilo
Hii habari imeishia hapa..?
 
Ebu tuletee wasifu wa mmiliki wa shule na Mkuu wa shule? Una hoja ya msingi ila umeshindwa kuipangilia vzr....!!
Wasifu wa nini wala hatuhitaji

Wako wenye wadhifa.mkubwa serikalini na wasifu mrefu lakini mijizi na mitapeli ya kutupwa

Wasifu wake tunaoujua ni huo wa kutaka kudhulumu haki ya mtoto

Hiyo miwasifu yake abaki nayo chumbani kwake
 
Ungeeleza hiyo historia ya hiyo shule tuone kama kweli ilikuwa inafanya vizuri na sasa hivi inapigwa Vita.
Hiyo shule ilikuwa inafanya vizuri

Lakini kashfa ya udanganyifu imeimaliza

Mwaka jana ilikuwa ya Kumi kitaifa

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA​

PSLE 2021 EXAMINATION RESULTS​

CHALINZE MODERN ISLAMIC PRIMARY SCHOOL - PS1408009​

WALIOFANYA MTIHANI : 79
WASTANI WA SHULE : 270.2405
KUNDI LA SHULE : Wanafunzi 40 au zaidi
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIHALMASHAURI: 1 kati ya 62
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIMKOA : 1 kati ya 336
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KITAIFA : 10 kati ya 11909

MADARAJA YA UFAULU WA UJUMLA


JINSI
A
B
C
D
E
WASICHANA​
39​
0​
0​
0​
0​
WAVULANA​
40​
0​
0​
0​
0​
JUMLA​
79​
0​
0​
0​
0​
 
Moderator Mhariri Active Paw Rider na Maxence Melo huyu jamaa amekuwa analeta uchochezi wa kidini kila uzi kea kuigiza Muislamu mara nyingine atheist kuchochea chuki .

Kwa heshima la hili jukwaa achukuliwa hatua kali za kinidhamu maana tabia yake hii inaweza kuharibu mijadala humu na na kuleta taharuki kubwa na members wote muwe makini na mtu huyu ni kurudi mbaya sana.
Mimi siko upande wa jamaa lakini Mbona unashambulia mtoa hoja sio kushambulia hoja?
Hiyo ni strawman fallacy.
 
Mimi ni muislamu na naamini muislam safi kwa kadri ya mizani ya kibinadamu na mapungufu yetu.
Lakini mtoa mada kuhusisha hili sakata na kupigwa vita uislam napingana nae.
Hili swala limetokea katika shule ya kiislam sasa alitaka watu wasiseme kuwa imetokea katika shule ya kiislam? Uislam unapigwa vita vipi hapo?
Una hoja Halafu walioumizwa ni watoto wa kiislamu.Anataka aseme wakristo ndio walimbadilishia namba huyo mtoto?

Wakati kila kitu kiko wazi Dini ya kiislamu sio chaka la kujificha watu waovu
 
SOMENI NA KUTAFAKARI KWANZA MUELEWE VIZURI MSIKURUPUKE KUSHAMBULIA SHULENI YA CHALINZE ISLAMIC

Hakuna anaeunga mkono makosa yaliyojitokeza.

Hakuna anaeunga mkono mtoto kudhulumiwa.

Hakuna anaekubali na kutetea uzembe na usaniii unaoweza kufanyika shuleni wakati wa mitihani.

Kama MTU hajui kutegeshewa mpira wa jiwe basi anyamaze kwanza atafakari vizuri.

TUNAPINGA LUGHA CHAFU NA MASHAMBULIZI DHIDI YA SHULE YA CHALINZE ISLAMIC

Wenye chuki dhidi ya shule za kiislamu wanataka kutumia mwanya huu kuzikashifu na kuzishambulia shule na taasisi za kiislamu hii haikubaliki.

Kuna mambo mengi yasiyofahamika Kwa wengi juu ya sakata hili wengi wameegemea kwenye taarifa ya mtoto na NECTA tu lkn hawajui kitu Gani kilichopelekea hivyo mwanzo mwisho.

Tumewashauri watu kuacha kutoa lugha za hovyo na kuacha kuzishambulia shule hii na zingine kama wamekosa maneno ya kuwaaambia basi ni vema wakae kimya.

Wenye akili kubwa wanajua ni kwanini sakata hilo wafanye mkuu wa shule na msimamizi wa mitihani alafu adhabu ije Kwa shule.

LEO MKUU WA SHULE NA MSIMAMIZI HAWAPO PALE SHULE KESHO WANAWEZA KUONEKANA PENGINE WAKIWA KAZINI TENA KWA MADARAKA MAKUBWA SIO JAMBO LA AJABU, LAKINI WENYE SHULE NA UMMAH WETU NDIYO WALIOPATA PIGO KUBWA.

Wangapi WANAIJUA wasifu wa Ndani wa msimamizi wa mtihani hata wasifu wa mkuu wa shule????

Wangapi WANAIJUA hii shule mafanikio yake kitaaluma na mapambano Gani yamefanyika muda mrefu kuitoa kwenye reli kama zilivyotolewa shule zingine?

Ndiyo maana tunatoa pole nyingi Kwa Wamiliki na WAENDESHAJI wa shule hii huku lawama zikistahiki wahusika mkuu wa shule na msimamizi kutoka NECTA.

Tunalipongeza BARAZA la mitihani kupokea taarifa Kwa haraka na kuchukua hatua lkn hii haiondoi nafasi yetu ya kufatilia wasifu wa Ndani wa wasimamizi na mkuu wa shule Kwa ajiri ya kubaini undani na ukweli zaidi wa kile kilichofanyika na kilichotokea.

TUTOE MAONI YETU KWA BUSARA LAKINI TUSITUMIE HASIRA ZETU CHUKI ZETU DHIDI YA SHULE ZA KIISLAMU KUISHAMBULIA SHULE HII.

Copy & paste.
Mwamba umeongeaa sana af sijakuelewaa kabisa 😇
 
Wewe qurani yako inakuambia usiwe na rafiki Mkristo.

Kusema unawapenda wa Kristo kwa andiko gani ?
Dini yako kila kukicha ni ya kupandikiza chuki tu na kuua watu wasio na hatia.

Wewe sio mwislamu

Aya ya Shetani.

Surah Al-Maidat Ayah 51

۞يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا تَتَّخِذُواْ ٱلۡيَهُودَ وَٱلنَّصَٰرَىٰٓ أَوۡلِيَآءَۘ بَعۡضُهُمۡ أَوۡلِيَآءُ بَعۡضٖۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَإِنَّهُۥ مِنۡهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهۡدِي ٱلۡقَوۡمَ ٱلظَّٰلِمِينَ
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Mnafiki wewe, unampendaje Mkristo na uislamu wako.
Unataka ili umchinje sio.
Huwezi kuielewa Qu'ran na upata mafundisho yake sahihi bila kusoma kitu ambacho mimi nakiita "Sayansi ya Qu'ran" nikimaanisha historia yake kwa ujumla na jinsi aya zilivyokuwa zinashuka ,hekima,aya zilizoshuka kwa sababu maalumu,aya ambazo hukumu yake haufanyi Kazi n.k

Sasa tambua kuna aya zilishuka kwa sababu maalumu kipindi hiko wahyudi na wakiristo wa madina walikuwa wkishirikiana na washirikina wa makka kutaka kuangusha na kuwamaliza waislamu ,sasa kulikuwa na waislamu kutokana na urafiki wao wanatoa siri upande wa maadui ambazo zilikuwa zinatumika kudhoofisha uislamu, hapo kukaja makata moja kwa moja ya kupinga urafiki na watu kama hao kutokana na hatari yake .

Sasa kama unaweka aya moja kwa moja unawza kusema hata waislamu kunywa Pombe ruksa maana kuna aya hazijakataza na zinaashiria ni ruksa ,uislamu unataka mtu kusoma sio kupelekea kitu kwa matakwa ya nafsi.

Soma aya ilishuka kwa sababu ngani na matumizi yake yanakuja kwa hali zipi ?
905dd182fe01942e28c06a5f86a35f2d(4).png
 
SOMENI NA KUTAFAKARI KWANZA MUELEWE VIZURI MSIKURUPUKE KUSHAMBULIA SHULENI YA CHALINZE ISLAMIC

Hakuna anaeunga mkono makosa yaliyojitokeza.

Hakuna anaeunga mkono mtoto kudhulumiwa.

Hakuna anaekubali na kutetea uzembe na usaniii unaoweza kufanyika shuleni wakati wa mitihani.

Kama MTU hajui kutegeshewa mpira wa jiwe basi anyamaze kwanza atafakari vizuri.

TUNAPINGA LUGHA CHAFU NA MASHAMBULIZI DHIDI YA SHULE YA CHALINZE ISLAMIC

Wenye chuki dhidi ya shule za kiislamu wanataka kutumia mwanya huu kuzikashifu na kuzishambulia shule na taasisi za kiislamu hii haikubaliki.

Kuna mambo mengi yasiyofahamika Kwa wengi juu ya sakata hili wengi wameegemea kwenye taarifa ya mtoto na NECTA tu lkn hawajui kitu Gani kilichopelekea hivyo mwanzo mwisho.

Tumewashauri watu kuacha kutoa lugha za hovyo na kuacha kuzishambulia shule hii na zingine kama wamekosa maneno ya kuwaaambia basi ni vema wakae kimya.

Wenye akili kubwa wanajua ni kwanini sakata hilo wafanye mkuu wa shule na msimamizi wa mitihani alafu adhabu ije Kwa shule.

LEO MKUU WA SHULE NA MSIMAMIZI HAWAPO PALE SHULE KESHO WANAWEZA KUONEKANA PENGINE WAKIWA KAZINI TENA KWA MADARAKA MAKUBWA SIO JAMBO LA AJABU, LAKINI WENYE SHULE NA UMMAH WETU NDIYO WALIOPATA PIGO KUBWA.

Wangapi WANAIJUA wasifu wa Ndani wa msimamizi wa mtihani hata wasifu wa mkuu wa shule????

Wangapi WANAIJUA hii shule mafanikio yake kitaaluma na mapambano Gani yamefanyika muda mrefu kuitoa kwenye reli kama zilivyotolewa shule zingine?

Ndiyo maana tunatoa pole nyingi Kwa Wamiliki na WAENDESHAJI wa shule hii huku lawama zikistahiki wahusika mkuu wa shule na msimamizi kutoka NECTA.

Tunalipongeza BARAZA la mitihani kupokea taarifa Kwa haraka na kuchukua hatua lkn hii haiondoi nafasi yetu ya kufatilia wasifu wa Ndani wa wasimamizi na mkuu wa shule Kwa ajiri ya kubaini undani na ukweli zaidi wa kile kilichofanyika na kilichotokea.

TUTOE MAONI YETU KWA BUSARA LAKINI TUSITUMIE HASIRA ZETU CHUKI ZETU DHIDI YA SHULE ZA KIISLAMU KUISHAMBULIA SHULE HII.

Copy & paste.
Sasa hilo jambo lililo nyuma ya pazia hata yeye halijui pia??
 
Hoja gani ambayo unaiona ameitoa na inapaswa kujibiwa ?
Kama hujaona si unakaa kimya walioona watajibu..
Mnaiharibu jf inakuwa kama fb ya personal attacks tu.
Mnatengezeana mabifu halafu mnakuwa mnafatiliana tu kama mnawindana na sio maramoja nawaona.
 
SOMENI NA KUTAFAKARI KWANZA MUELEWE VIZURI MSIKURUPUKE KUSHAMBULIA SHULENI YA CHALINZE ISLAMIC

Hakuna anaeunga mkono makosa yaliyojitokeza.

Hakuna anaeunga mkono mtoto kudhulumiwa.

Hakuna anaekubali na kutetea uzembe na usaniii unaoweza kufanyika shuleni wakati wa mitihani.

Kama MTU hajui kutegeshewa mpira wa jiwe basi anyamaze kwanza atafakari vizuri.

TUNAPINGA LUGHA CHAFU NA MASHAMBULIZI DHIDI YA SHULE YA CHALINZE ISLAMIC

Wenye chuki dhidi ya shule za kiislamu wanataka kutumia mwanya huu kuzikashifu na kuzishambulia shule na taasisi za kiislamu hii haikubaliki.

Kuna mambo mengi yasiyofahamika Kwa wengi juu ya sakata hili wengi wameegemea kwenye taarifa ya mtoto na NECTA tu lkn hawajui kitu Gani kilichopelekea hivyo mwanzo mwisho.

Tumewashauri watu kuacha kutoa lugha za hovyo na kuacha kuzishambulia shule hii na zingine kama wamekosa maneno ya kuwaaambia basi ni vema wakae kimya.

Wenye akili kubwa wanajua ni kwanini sakata hilo wafanye mkuu wa shule na msimamizi wa mitihani alafu adhabu ije Kwa shule.

LEO MKUU WA SHULE NA MSIMAMIZI HAWAPO PALE SHULE KESHO WANAWEZA KUONEKANA PENGINE WAKIWA KAZINI TENA KWA MADARAKA MAKUBWA SIO JAMBO LA AJABU, LAKINI WENYE SHULE NA UMMAH WETU NDIYO WALIOPATA PIGO KUBWA.

Wangapi WANAIJUA wasifu wa Ndani wa msimamizi wa mtihani hata wasifu wa mkuu wa shule????

Wangapi WANAIJUA hii shule mafanikio yake kitaaluma na mapambano Gani yamefanyika muda mrefu kuitoa kwenye reli kama zilivyotolewa shule zingine?

Ndiyo maana tunatoa pole nyingi Kwa Wamiliki na WAENDESHAJI wa shule hii huku lawama zikistahiki wahusika mkuu wa shule na msimamizi kutoka NECTA.

Tunalipongeza BARAZA la mitihani kupokea taarifa Kwa haraka na kuchukua hatua lkn hii haiondoi nafasi yetu ya kufatilia wasifu wa Ndani wa wasimamizi na mkuu wa shule Kwa ajiri ya kubaini undani na ukweli zaidi wa kile kilichofanyika na kilichotokea.

TUTOE MAONI YETU KWA BUSARA LAKINI TUSITUMIE HASIRA ZETU CHUKI ZETU DHIDI YA SHULE ZA KIISLAMU KUISHAMBULIA SHULE HII.

Copy & paste.
Acheni ujinga....mlitaka kuumiza watoto wa watu mmeumbuka saa hizi mnaanza kubwabwaja hovyo...mnapanda mihogo mnatarajia kuvuna mahindi.....

Michezo hiyo watu kibao mitandaoni wanalalamika walishawahi kufanyiwa na kuharibu future Yao kabisaa...

Mimi Mwenyewe nyumbani wadogo zangu wawili baada ya mzee kufuatilia walikuja kugundua kwamba nafasi zao watu walinunua...mwisho wa siku watu Wana wastani wa A lakini walipelekwa shule za kata....

Tulieni mvune mlichopanda.
 
Mimi ni muislamu na naamini muislam safi kwa kadri ya mizani ya kibinadamu na mapungufu yetu.
Lakini mtoa mada kuhusisha hili sakata na kupigwa vita uislam napingana nae.
Hili swala limetokea katika shule ya kiislam sasa alitaka watu wasiseme kuwa imetokea katika shule ya kiislam? Uislam unapigwa vita vipi hapo?
Tena aliyedhulumiwa ni Muislam ambaye hana hatia yoyote.

Utakuta pia baadhi ya wajinga wanawatetea makhawaarij (ambao Mtume aliwaita mbwa wa motoni) kama Daesh, Ash-Shabaab, Boko Haram. Wakati hawa makhawaarij wanawaua Waislam zaidi kuliko wengine, nao makhawaarij hao huwaona Waislam ndio maadui zao wakubwa wa kuwapiga vita. Bali wanaichafua Dini ya Allah na kusababisha madhila na shida kwa Waislam.

Hata kama ni kweli kuna Nchi za kimagharibi zinafadhili hivi vikundi, lakini haiondoi ukweli kuwa hawa makhawaarij ndio wanaowadhuru Waislam na watu wengine wasio na hatia. Kisha maadui wa Uislam huitumia hiyo kama sababu ya kuushambulia Uislam na Waislam.
 
Back
Top Bottom