AFRIKAN GUY
Senior Member
- Jun 26, 2015
- 102
- 110
Nimepata wasaa wakupiga story na wanafunzi watatu wenye rika moja, wa shule moja ya dini ya kiislamu, Nimestaajabu sana namna wanavyoishi. Nisijue kama wanapitia magumu au wanafunzwa maisha.
shule hii wanafunzi wanajitegemea upande wa chakula Tu, ila makazi ya kulala yapo.
mwanafunzi#1 alisema anapewa 10000 kwa mwezi.
mwanafunzi#2 alisema anapewa 5000 kwa wiki.
mwanafunzi#3 alisema yeye anakuja na kuondoka hapa shuleni. na ni kweli maana hata hakuendelea kukaa na sisi kupiga stori akaondoka. akaniacha na wenzake wawili...
Muda mchache nilioongea nae story za kawaida tu, alikua hana utulivu kama wenzake, alikua anaruka ruka kila mahali. alikua hana hekima ya kuzungumza pia. mara kadhaa alikua akikosolewa na hao wenzake wawili.
So mwisho wa siku nilibaki na wenzake wawili. ndipo nikaanza kupiga nao story kuhusu maisha ya shuleni hapo.
Pesa wanazo pewa zikiisha, na hua haziishi mapema kwasabab ni ndogo sana so wanajitahidi kuzitunza sana. 5000 kwa wiki na 10000 kwa mwezi si hela ya kutosha kwaajili ya matumizi ya chakula hata kwa mtoto mdogo.
wanaweza kukaa siku mbili bila kula kwasababu pesa zinakua zimewaishia.
Katika hali hio wanalazimika kuomba kwa wanafunzi wenzao chakula, kuna muda hupeana kuna muda hunyimana.
Mwenye kingi analzimika kugawana na wenzake, mwenye hana, analazimika kuomba kwa mwenye nacho.
Wanafunzi hao wawili waliongelea swala la kujishusha ili kuomba, na kujinyima ukiwa nacho ili ukiwa huna uombe, na upewe. sasa kwa mtoto mdogo kuongelea swala la kua na dhiki hio kwa level hio ilinistaajibisha.
ikumbukwe hii sio shule ya elimu ya sekula, ni shule ya dini.
sasa sijui HEKIMA ilio nyuma ya maisha haya ya shule za dini za kiislamu. na sijui kama ni shule hii tu au shule zote za dini kiislamu.
shule hii wanafunzi wanajitegemea upande wa chakula Tu, ila makazi ya kulala yapo.
mwanafunzi#1 alisema anapewa 10000 kwa mwezi.
mwanafunzi#2 alisema anapewa 5000 kwa wiki.
mwanafunzi#3 alisema yeye anakuja na kuondoka hapa shuleni. na ni kweli maana hata hakuendelea kukaa na sisi kupiga stori akaondoka. akaniacha na wenzake wawili...
Muda mchache nilioongea nae story za kawaida tu, alikua hana utulivu kama wenzake, alikua anaruka ruka kila mahali. alikua hana hekima ya kuzungumza pia. mara kadhaa alikua akikosolewa na hao wenzake wawili.
So mwisho wa siku nilibaki na wenzake wawili. ndipo nikaanza kupiga nao story kuhusu maisha ya shuleni hapo.
Pesa wanazo pewa zikiisha, na hua haziishi mapema kwasabab ni ndogo sana so wanajitahidi kuzitunza sana. 5000 kwa wiki na 10000 kwa mwezi si hela ya kutosha kwaajili ya matumizi ya chakula hata kwa mtoto mdogo.
wanaweza kukaa siku mbili bila kula kwasababu pesa zinakua zimewaishia.
Katika hali hio wanalazimika kuomba kwa wanafunzi wenzao chakula, kuna muda hupeana kuna muda hunyimana.
Mwenye kingi analzimika kugawana na wenzake, mwenye hana, analazimika kuomba kwa mwenye nacho.
Wanafunzi hao wawili waliongelea swala la kujishusha ili kuomba, na kujinyima ukiwa nacho ili ukiwa huna uombe, na upewe. sasa kwa mtoto mdogo kuongelea swala la kua na dhiki hio kwa level hio ilinistaajibisha.
ikumbukwe hii sio shule ya elimu ya sekula, ni shule ya dini.
sasa sijui HEKIMA ilio nyuma ya maisha haya ya shule za dini za kiislamu. na sijui kama ni shule hii tu au shule zote za dini kiislamu.