rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,068
- 25,725
Yalinikuta mwaka 1987Haya mambo hayajaanza leo. Huwa yapo tu. Ni ya kitambo. Nilikutana nayo 1975.
Yalinikuta mwaka 1987Haya mambo hayajaanza leo. Huwa yapo tu. Ni ya kitambo. Nilikutana nayo 1975.
Mimi ni muislamu na naamini muislam safi kwa kadri ya mizani ya kibinadamu na mapungufu yetu.Mbambamba, porojo tupu, dini zimewageuza watu mmekuwa wajinga kabisa.
Kwahiyo hapo Uislamu unapigwa vita?
Wala dini!Kwenye vituo vinavyombulika kama vituo rasmi vya mitihani kinachotambulika ni kituo na si mwalimu wala msimamizi
Hivi siku hizi bado kuna watu wanadhani wanaonewa kwenye eneo la elimu kwa sababu ya imani yao? Mashule yalivyo jaa kila kona, bado kuna mtu anasema shule yake inahujumiwa? Kwa lipi hasa mpaka shule ihujumiwe nyakati hizi?SOMENI NA KUTAFAKARI KWANZA MUELEWE VIZURI MSIKURUPUKE KUSHAMBULIA SHULENI YA CHALINZE ISLAMIC
Hakuna anaeunga mkono makosa yaliyojitokeza.
Hakuna anaeunga mkono mtoto kudhulumiwa.
Hakuna anaekubali na kutetea uzembe na usaniii unaoweza kufanyika shuleni wakati wa mitihani.
Kama MTU hajui kutegeshewa mpira wa jiwe basi anyamaze kwanza atafakari vizuri.
TUNAPINGA LUGHA CHAFU NA MASHAMBULIZI DHIDI YA SHULE YA CHALINZE ISLAMIC
Wenye chuki dhidi ya shule za kiislamu wanataka kutumia mwanya huu kuzikashifu na kuzishambulia shule na taasisi za kiislamu hii haikubaliki.
Kuna mambo mengi yasiyofahamika Kwa wengi juu ya sakata hili wengi wameegemea kwenye taarifa ya mtoto na NECTA tu lkn hawajui kitu Gani kilichopelekea hivyo mwanzo mwisho.
Tumewashauri watu kuacha kutoa lugha za hovyo na kuacha kuzishambulia shule hii na zingine kama wamekosa maneno ya kuwaaambia basi ni vema wakae kimya.
Wenye akili kubwa wanajua ni kwanini sakata hilo wafanye mkuu wa shule na msimamizi wa mitihani alafu adhabu ije Kwa shule.
LEO MKUU WA SHULE NA MSIMAMIZI HAWAPO PALE SHULE KESHO WANAWEZA KUONEKANA PENGINE WAKIWA KAZINI TENA KWA MADARAKA MAKUBWA SIO JAMBO LA AJABU, LAKINI WENYE SHULE NA UMMAH WETU NDIYO WALIOPATA PIGO KUBWA.
Wangapi WANAIJUA wasifu wa Ndani wa msimamizi wa mtihani hata wasifu wa mkuu wa shule????
Wangapi WANAIJUA hii shule mafanikio yake kitaaluma na mapambano Gani yamefanyika muda mrefu kuitoa kwenye reli kama zilivyotolewa shule zingine?
Ndiyo maana tunatoa pole nyingi Kwa Wamiliki na WAENDESHAJI wa shule hii huku lawama zikistahiki wahusika mkuu wa shule na msimamizi kutoka NECTA.
Tunalipongeza BARAZA la mitihani kupokea taarifa Kwa haraka na kuchukua hatua lkn hii haiondoi nafasi yetu ya kufatilia wasifu wa Ndani wa wasimamizi na mkuu wa shule Kwa ajiri ya kubaini undani na ukweli zaidi wa kile kilichofanyika na kilichotokea.
TUTOE MAONI YETU KWA BUSARA LAKINI TUSITUMIE HASIRA ZETU CHUKI ZETU DHIDI YA SHULE ZA KIISLAMU KUISHAMBULIA SHULE HII.
Copy & paste.
Duuuh, fumbo juu ya fumbo!Kwenye maiaka ya 80 karibia na 90, kwenye halmashauri fulani ya wilaya moja iliyo mahali fulani ndani ya JMT, kule Kanda ya Ziwa, ulizuka mtindo wa wafanyabiashara kuibiwa maduka yao kwa kubomolewa. Hali hii mwishowe ilipelekea siku moja kuitishwa mkutano wa hadhara na watu kuombwa kumtaja mtu yeyote ambaye wanadhani kuwa anaweza kuwa ni mhusika
Watu wengi walichangia kwenye mkutano huo siku hiyo lakini hayupo hata mmoja aliyejitokeza kutaja jina la mtu. Kwa bahati nzuri au mbaya, alikuwepo bwana fulani ambaye akili yake haikuwa sawa, alikuwa kama nusu chizi hivi ila hakuwa chizi completely. Ilitokea baada ya watu kuwa wameongea lakini pasipo kuwa wametaja jina lolote, hatimaye "nusu chizi" naye alinyoosha mkono ili aongee
"Nusu chizi" aliporuhusiwa, alisimama kwenye hadhara ya mkutano huo ambao ulikuwa ni mkubwa mno. Baada ya kusimama aliwauliza swali makutano hao akisema "NITOBOE SIRI?" watu wote wakaitikia "TOBOAAAAA!!!!"; akarudia tena akauliza " NITOBOE SIRI" safari hii watu wakaitikia kwa sauti ya juu kabisa na kwa nguvu zaidi kuliko mwanzo wakisema "TOBOAAAAA!!!!"; huku wakiwa na imani kabisa kuwa kwa sababu jamaa ni "nusu chizi" lazima tu atataja angalau jina la mtu mmoja na baada ya hapo watakuwa wamepata pa kuanzia
Baada ya makutano kumuitikiwa "nusu chizi" kwa mara ya pili, "nusu chizi" huyo alifikiria kidogo halafu akasema " NALIUNGA MKONO LILE LIFIJANA LIMEKAA"; akiwa anamaanisha kuwa anaunga mkono hoja ya mzunguzaji wa mwisho kijana aliyekuwa amepewa nafasi ya kuongea kabla yeye (nusu chizi) hajaruhusiwa kuongea
Baada ya hapo, watu karibia wote waliinamisha vichwa chini huku wakiwa wamegubikwa na nyuso zilizokosa matumaini juu ya ufumbuzi wa tatizo lililokuwa limewakusanya kwenye mkutano huo.
Aliyeanzisha thread hii amezirudisha kumbukumbu zangu kwenye tukio hilo
Mimi huwa mara zote sipendi kuzungumzia jambo ambalo sina elimu nalo wala ushahidi ndio maana nyuzi au mambo yanayohitajia ushahidi na ujuzi kama sina huwa napita kimya.Ustadh adriz namna gani tena pale jambo lipo wazi wanataka lionekane limekaa kiudini. Maoni yako hatacheza
Siyo fumbo, iliwahi kutokea Kahama, Shinyanga kwa wakti huo!Duuuh, fumbo juu ya fumbo!
Usiuhusishe uislam na kufanya dhulma mzee, kuna mda tuache sheria ifate mkondo kama hiyo shule ingekua inafuata misingi ya dini ya kiislam basi isingekubari kua na viongozi ambao sio waadirifu.SOMENI NA KUTAFAKARI KWANZA MUELEWE VIZURI MSIKURUPUKE KUSHAMBULIA SHULENI YA CHALINZE ISLAMIC
Hakuna anaeunga mkono makosa yaliyojitokeza.
Hakuna anaeunga mkono mtoto kudhulumiwa.
Hakuna anaekubali na kutetea uzembe na usaniii unaoweza kufanyika shuleni wakati wa mitihani.
Kama MTU hajui kutegeshewa mpira wa jiwe basi anyamaze kwanza atafakari vizuri.
TUNAPINGA LUGHA CHAFU NA MASHAMBULIZI DHIDI YA SHULE YA CHALINZE ISLAMIC
Wenye chuki dhidi ya shule za kiislamu wanataka kutumia mwanya huu kuzikashifu na kuzishambulia shule na taasisi za kiislamu hii haikubaliki.
Kuna mambo mengi yasiyofahamika Kwa wengi juu ya sakata hili wengi wameegemea kwenye taarifa ya mtoto na NECTA tu lkn hawajui kitu Gani kilichopelekea hivyo mwanzo mwisho.
Tumewashauri watu kuacha kutoa lugha za hovyo na kuacha kuzishambulia shule hii na zingine kama wamekosa maneno ya kuwaaambia basi ni vema wakae kimya.
Wenye akili kubwa wanajua ni kwanini sakata hilo wafanye mkuu wa shule na msimamizi wa mitihani alafu adhabu ije Kwa shule.
LEO MKUU WA SHULE NA MSIMAMIZI HAWAPO PALE SHULE KESHO WANAWEZA KUONEKANA PENGINE WAKIWA KAZINI TENA KWA MADARAKA MAKUBWA SIO JAMBO LA AJABU, LAKINI WENYE SHULE NA UMMAH WETU NDIYO WALIOPATA PIGO KUBWA.
Wangapi WANAIJUA wasifu wa Ndani wa msimamizi wa mtihani hata wasifu wa mkuu wa shule????
Wangapi WANAIJUA hii shule mafanikio yake kitaaluma na mapambano Gani yamefanyika muda mrefu kuitoa kwenye reli kama zilivyotolewa shule zingine?
Ndiyo maana tunatoa pole nyingi Kwa Wamiliki na WAENDESHAJI wa shule hii huku lawama zikistahiki wahusika mkuu wa shule na msimamizi kutoka NECTA.
Tunalipongeza BARAZA la mitihani kupokea taarifa Kwa haraka na kuchukua hatua lkn hii haiondoi nafasi yetu ya kufatilia wasifu wa Ndani wa wasimamizi na mkuu wa shule Kwa ajiri ya kubaini undani na ukweli zaidi wa kile kilichofanyika na kilichotokea.
TUTOE MAONI YETU KWA BUSARA LAKINI TUSITUMIE HASIRA ZETU CHUKI ZETU DHIDI YA SHULE ZA KIISLAMU KUISHAMBULIA SHULE HII.
Copy & paste.
SOMENI NA KUTAFAKARI KWANZA MUELEWE VIZURI MSIKURUPUKE KUSHAMBULIA SHULENI YA CHALINZE ISLAMIC
Hakuna anaeunga mkono makosa yaliyojitokeza.
Hakuna anaeunga mkono mtoto kudhulumiwa.
Hakuna anaekubali na kutetea uzembe na usaniii unaoweza kufanyika shuleni wakati wa mitihani.
Kama MTU hajui kutegeshewa mpira wa jiwe basi anyamaze kwanza atafakari vizuri.
TUNAPINGA LUGHA CHAFU NA MASHAMBULIZI DHIDI YA SHULE YA CHALINZE ISLAMIC
Wenye chuki dhidi ya shule za kiislamu wanataka kutumia mwanya huu kuzikashifu na kuzishambulia shule na taasisi za kiislamu hii haikubaliki.
Kuna mambo mengi yasiyofahamika Kwa wengi juu ya sakata hili wengi wameegemea kwenye taarifa ya mtoto na NECTA tu lkn hawajui kitu Gani kilichopelekea hivyo mwanzo mwisho.
Tumewashauri watu kuacha kutoa lugha za hovyo na kuacha kuzishambulia shule hii na zingine kama wamekosa maneno ya kuwaaambia basi ni vema wakae kimya.
Wenye akili kubwa wanajua ni kwanini sakata hilo wafanye mkuu wa shule na msimamizi wa mitihani alafu adhabu ije Kwa shule.
LEO MKUU WA SHULE NA MSIMAMIZI HAWAPO PALE SHULE KESHO WANAWEZA KUONEKANA PENGINE WAKIWA KAZINI TENA KWA MADARAKA MAKUBWA SIO JAMBO LA AJABU, LAKINI WENYE SHULE NA UMMAH WETU NDIYO WALIOPATA PIGO KUBWA.
Wangapi WANAIJUA wasifu wa Ndani wa msimamizi wa mtihani hata wasifu wa mkuu wa shule????
Wangapi WANAIJUA hii shule mafanikio yake kitaaluma na mapambano Gani yamefanyika muda mrefu kuitoa kwenye reli kama zilivyotolewa shule zingine?
Ndiyo maana tunatoa pole nyingi Kwa Wamiliki na WAENDESHAJI wa shule hii huku lawama zikistahiki wahusika mkuu wa shule na msimamizi kutoka NECTA.
Tunalipongeza BARAZA la mitihani kupokea taarifa Kwa haraka na kuchukua hatua lkn hii haiondoi nafasi yetu ya kufatilia wasifu wa Ndani wa wasimamizi na mkuu wa shule Kwa ajiri ya kubaini undani na ukweli zaidi wa kile kilichofanyika na kilichotokea.
TUTOE MAONI YETU KWA BUSARA LAKINI TUSITUMIE HASIRA ZETU CHUKI ZETU DHIDI YA SHULE ZA KIISLAMU KUISHAMBULIA SHULE HII.
Copy & paste.
Nyie ndio Magufuli alisema msije mjini na mavi yako.SOMENI NA KUTAFAKARI KWANZA MUELEWE VIZURI MSIKURUPUKE KUSHAMBULIA SHULENI YA CHALINZE ISLAMIC
Hakuna anaeunga mkono makosa yaliyojitokeza.
Hakuna anaeunga mkono mtoto kudhulumiwa.
Hakuna anaekubali na kutetea uzembe na usaniii unaoweza kufanyika shuleni wakati wa mitihani.
Kama MTU hajui kutegeshewa mpira wa jiwe basi anyamaze kwanza atafakari vizuri.
TUNAPINGA LUGHA CHAFU NA MASHAMBULIZI DHIDI YA SHULE YA CHALINZE ISLAMIC
Wenye chuki dhidi ya shule za kiislamu wanataka kutumia mwanya huu kuzikashifu na kuzishambulia shule na taasisi za kiislamu hii haikubaliki.
Kuna mambo mengi yasiyofahamika Kwa wengi juu ya sakata hili wengi wameegemea kwenye taarifa ya mtoto na NECTA tu lkn hawajui kitu Gani kilichopelekea hivyo mwanzo mwisho.
Tumewashauri watu kuacha kutoa lugha za hovyo na kuacha kuzishambulia shule hii na zingine kama wamekosa maneno ya kuwaaambia basi ni vema wakae kimya.
Wenye akili kubwa wanajua ni kwanini sakata hilo wafanye mkuu wa shule na msimamizi wa mitihani alafu adhabu ije Kwa shule.
LEO MKUU WA SHULE NA MSIMAMIZI HAWAPO PALE SHULE KESHO WANAWEZA KUONEKANA PENGINE WAKIWA KAZINI TENA KWA MADARAKA MAKUBWA SIO JAMBO LA AJABU, LAKINI WENYE SHULE NA UMMAH WETU NDIYO WALIOPATA PIGO KUBWA.
Wangapi WANAIJUA wasifu wa Ndani wa msimamizi wa mtihani hata wasifu wa mkuu wa shule????
Wangapi WANAIJUA hii shule mafanikio yake kitaaluma na mapambano Gani yamefanyika muda mrefu kuitoa kwenye reli kama zilivyotolewa shule zingine?
Ndiyo maana tunatoa pole nyingi Kwa Wamiliki na WAENDESHAJI wa shule hii huku lawama zikistahiki wahusika mkuu wa shule na msimamizi kutoka NECTA.
Tunalipongeza BARAZA la mitihani kupokea taarifa Kwa haraka na kuchukua hatua lkn hii haiondoi nafasi yetu ya kufatilia wasifu wa Ndani wa wasimamizi na mkuu wa shule Kwa ajiri ya kubaini undani na ukweli zaidi wa kile kilichofanyika na kilichotokea.
TUTOE MAONI YETU KWA BUSARA LAKINI TUSITUMIE HASIRA ZETU CHUKI ZETU DHIDI YA SHULE ZA KIISLAMU KUISHAMBULIA SHULE HII.
Copy & paste.
Moja kwa mamia...Mimi ni muislamu na naamini muislam safi kwa kadri ya mizani ya kibinadamu na mapungufu yetu.
Lakini mtoa mada kuhusisha hili sakata na kupigwa vita uislam napingana nae.
Hili swala limetokea katika shule ya kiislam sasa alitaka watu wasiseme kuwa imetokea katika shule ya kiislam? Uislam unapigwa vita vipi hapo?
Mimi huwa mara zote sipendi kuzungumzia jambo ambalo sina elimu nalo wala ushahidi ndio maana nyuzi au mambo yanayohitajia ushahidi na ujuzi kama sina huwa napita kimya.
Kama uchunguzi ukibainika kuwa wamefanya makosa ni muhimu kuwajibishwa kutokana na sheria,ni upumbavu mtu kulalamika kuwa unaonewa na hujuma ikiwa ni imebainika wazi kwa haki kabisa kama wewe ndiye mwenye makosa.
Makristo yanatuhujumu sana nchi hii
Kuwa makini huyu jamaa Mcqueenen sio Muislamu amekuwa akiigiza kuwa muislamu kwa malengo yake hasi na amekuwa kinyonga mara nyingine ajifanye atheist.Ili iweje labda?
Mimi ni Mgalatia mwandamizi.SOMENI NA KUTAFAKARI KWANZA MUELEWE VIZURI MSIKURUPUKE KUSHAMBULIA SHULENI YA CHALINZE ISLAMIC
Hakuna anaeunga mkono makosa yaliyojitokeza.
Hakuna anaeunga mkono mtoto kudhulumiwa.
Hakuna anaekubali na kutetea uzembe na usaniii unaoweza kufanyika shuleni wakati wa mitihani.
Kama MTU hajui kutegeshewa mpira wa jiwe basi anyamaze kwanza atafakari vizuri.
TUNAPINGA LUGHA CHAFU NA MASHAMBULIZI DHIDI YA SHULE YA CHALINZE ISLAMIC
Wenye chuki dhidi ya shule za kiislamu wanataka kutumia mwanya huu kuzikashifu na kuzishambulia shule na taasisi za kiislamu hii haikubaliki.
Kuna mambo mengi yasiyofahamika Kwa wengi juu ya sakata hili wengi wameegemea kwenye taarifa ya mtoto na NECTA tu lkn hawajui kitu Gani kilichopelekea hivyo mwanzo mwisho.
Tumewashauri watu kuacha kutoa lugha za hovyo na kuacha kuzishambulia shule hii na zingine kama wamekosa maneno ya kuwaaambia basi ni vema wakae kimya.
Wenye akili kubwa wanajua ni kwanini sakata hilo wafanye mkuu wa shule na msimamizi wa mitihani alafu adhabu ije Kwa shule.
LEO MKUU WA SHULE NA MSIMAMIZI HAWAPO PALE SHULE KESHO WANAWEZA KUONEKANA PENGINE WAKIWA KAZINI TENA KWA MADARAKA MAKUBWA SIO JAMBO LA AJABU, LAKINI WENYE SHULE NA UMMAH WETU NDIYO WALIOPATA PIGO KUBWA.
Wangapi WANAIJUA wasifu wa Ndani wa msimamizi wa mtihani hata wasifu wa mkuu wa shule????
Wangapi WANAIJUA hii shule mafanikio yake kitaaluma na mapambano Gani yamefanyika muda mrefu kuitoa kwenye reli kama zilivyotolewa shule zingine?
Ndiyo maana tunatoa pole nyingi Kwa Wamiliki na WAENDESHAJI wa shule hii huku lawama zikistahiki wahusika mkuu wa shule na msimamizi kutoka NECTA.
Tunalipongeza BARAZA la mitihani kupokea taarifa Kwa haraka na kuchukua hatua lkn hii haiondoi nafasi yetu ya kufatilia wasifu wa Ndani wa wasimamizi na mkuu wa shule Kwa ajiri ya kubaini undani na ukweli zaidi wa kile kilichofanyika na kilichotokea.
TUTOE MAONI YETU KWA BUSARA LAKINI TUSITUMIE HASIRA ZETU CHUKI ZETU DHIDI YA SHULE ZA KIISLAMU KUISHAMBULIA SHULE HII.
Copy & paste.
Please stop now, it's patheticKuwa makini huyu jamaa Mcqueenen sio Muislamu amekuwa akiigiza kuwa muislamu kwa malengo yake hasi na amekuwa kinyonga mara nyingine ajifanye atheist.
Kila uzi analeta udini anasikikizia upepo awe upande you ni kurudi Kibaha humu na katika jamii anayoishi .
Moderator Mhariri Active Paw Rider na Maxence Melo huyu jamaa amekuwa analeta uchochezi wa kidini kila uzi kea kuigiza Muislamu mara nyingine atheist kuchochea chuki .Makristo yanatuhujumu sana nchi hii
Mimi nimejitolea kusawazisha ujinga popote ninapokuwa iwe mtaani ,kipindi nasoma levo zote mpaka mitandaoni hivyo sichoki na sitoiacha Kazi hii hata mtu achukie vipi.Please stop now, it's pathetic