Sakata la CAG: Wapo wapi watu hawa,nchi haina Mwanasheria Mkuu?!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,191
103,715
Habari wakuu!!
Kama mnavyofahamu Mwanasheria Mkuu ni sehemu ya bunge,kunapotaka kufanyika maazimio magumu huwa ni lazima kamati zifanye cosultation kwake na hata wakati wa bunge ni lazima awepo ili kutoa ufafanuzi na kupangua hoja za wabunge wabishi kina Mnyika na Lissu. Nadhani mnakumbuka enzi za Jaji Werema na Masaju wakihenyeshwa na nguli wa sheria Tundu Lissu.

Nimekuwa nikijiuliza sana wakati maamuzi ya Azimio dhidi ya CAG,mwanasheria mkuu alikuwa wapi? Je,nchi hii inayo mwanasheria mkuu?Anaitwa nani? Amejificha wapi,na anajifichia nini? Kwa sababu maamuzi yenye mkanganyiko kama yale yasingeweza kutokea katika uwepo wa AG.

Kingine,napenda kujua wapo wapi manguli wa sheria za katiba kina Prof. Kabudi, Dr.Bashiru nk. Je,haya ni maamuzi ya bunge au ni maamuzi ya CCM,mbona hatujaisikia CCM ikishangazwa na Azimio kama general public ilivyohamaki?

Hii inadhibitisha unafiki wa kiwango cha juu cha wasomi wa nchi hii. Kabla ya kupata vyeo walikuwa mstari wa mbele kufafanua na kukemea uvunjifu wa katiba.
 
Habari wakuu!!
Kama mnavyofahamu Mwanasheria Mkuu ni sehemu ya bunge,kunapotaka kufanyika maazimio magumu huwa ni lazima kamati zifanye cosultation kwake na hata wakati wa bunge ni lazima awepo ili kutoa ufafanuzi na kupangua hoja za wabunge wabishi kina Mnyika na Lissu. Nadhani mnakumbuka enzi za Jaji Werema na Masaju wakihenyeshwa na nguli wa sheria Tundu Lissu.

Nimekuwa nikijiuliza sana wakati maamuzi ya Azimio dhidi ya CAG,mwanasheria mkuu alikuwa wapi? Je,nchi hii inayo mwanasheria mkuu?Anaitwa nani? Amejificha wapi,na anajifichia nini? Kwa sababu maamuzi yenye mkanganyiko kama yale yasingeweza kutokea katika uwepo wa AG.

Kingine,napenda kujua wapo wapi manguli wa sheria za katiba kina Prof. Kabudi, Dr.Bashiru nk. Je,haya ni maamuzi ya bunge au ni maamuzi ya CCM,mbona hatujaisikia CCM ikishangazwa na Azimio kama general public ilivyohamaki?

Hii inadhibitisha unafiki wa kiwango cha juu cha wasomi wa nchi hii. Kabla ya kupata vyeo walikuwa mstari wa mbele kufafanua na kukemea uvunjifu wa katiba.
Upepo unavuma vibaya?,mlilivalia njuga jambo hili kwa kila aina ya manjonjo na kujifanya manguli wa sheria,tulikua tunawapia kwa wingi wa threads zenu za ajabu ajabu na matusi kwa mamlaka

Sasa mmeanza kulewa maana ya Serikali kwa nini iliitwa ina mkono mlefu.
Mlio wapuuza sasa mnauliza wako wapi,swine,na bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upepo unavuma vibaya?,mlilivalia njuga jambo hili kwa kila aina ya manjonjo na kujifanya manguli wa sheria,tulikua tunawapia kwa wingi wa threads zenu za ajabu ajabu na matusi kwa mamlaka

Sasa mmeanza kulewa maana ya Serikali kwa nini iliitwa ina mkono mlefu.
Mlio wapuuza sasa mnauliza wako wapi,swine,na bado

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapuuzwe wasipuuzwe huo ni wajibu wao kama watendaji na wasomi!au hata hili hulielewi? Au unadhani wanafanya kama hisani
 
Upepo unavuma vibaya?,mlilivalia njuga jambo hili kwa kila aina ya manjonjo na kujifanya manguli wa sheria,tulikua tunawapia kwa wingi wa threads zenu za ajabu ajabu na matusi kwa mamlaka

Sasa mmeanza kulewa maana ya Serikali kwa nini iliitwa ina mkono mlefu.
Mlio wapuuza sasa mnauliza wako wapi,swine,na bado

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi najua tu siku za wanasheria uchwara wa humu ndani kuumbuka zinakaribia. Yaani kila jambo likitokea wao hugeuka wabobezi wa sheria na katiba na kuamini serikali haijui lolote. Wao wanaamini ishu ya CAG serikali wala bunge halijui itaisha vipi,wao wanaamini serikali na Bunge wanakuja kusoma madesa yao hapa Jf na kufanya maamuzi. MUDA NI MWALIMU, SOON WANASHERIA UCHWARA WATAUMBUKA.

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
 
Upepo unavuma vibaya?,mlilivalia njuga jambo hili kwa kila aina ya manjonjo na kujifanya manguli wa sheria,tulikua tunawapia kwa wingi wa threads zenu za ajabu ajabu na matusi kwa mamlaka

Sasa mmeanza kulewa maana ya Serikali kwa nini iliitwa ina mkono mlefu.
Mlio wapuuza sasa mnauliza wako wapi,swine,na bado

Sent using Jamii Forums mobile app
We uelewi ulitendalo, tumekusamehe tu
 
Habari wakuu!!
Kama mnavyofahamu Mwanasheria Mkuu ni sehemu ya bunge,kunapotaka kufanyika maazimio magumu huwa ni lazima kamati zifanye cosultation kwake na hata wakati wa bunge ni lazima awepo ili kutoa ufafanuzi na kupangua hoja za wabunge wabishi kina Mnyika na Lissu. Nadhani mnakumbuka enzi za Jaji Werema na Masaju wakihenyeshwa na nguli wa sheria Tundu Lissu.

Nimekuwa nikijiuliza sana wakati maamuzi ya Azimio dhidi ya CAG,mwanasheria mkuu alikuwa wapi? Je,nchi hii inayo mwanasheria mkuu?Anaitwa nani? Amejificha wapi,na anajifichia nini? Kwa sababu maamuzi yenye mkanganyiko kama yale yasingeweza kutokea katika uwepo wa AG.

Kingine,napenda kujua wapo wapi manguli wa sheria za katiba kina Prof. Kabudi, Dr.Bashiru nk. Je,haya ni maamuzi ya bunge au ni maamuzi ya CCM,mbona hatujaisikia CCM ikishangazwa na Azimio kama general public ilivyohamaki?

Hii inadhibitisha unafiki wa kiwango cha juu cha wasomi wa nchi hii. Kabla ya kupata vyeo walikuwa mstari wa mbele kufafanua na kukemea uvunjifu wa katiba.
TLS ndipo ingetusaidia kama ingalikuwa neutral
 
Upepo unavuma vibaya?,mlilivalia njuga jambo hili kwa kila aina ya manjonjo na kujifanya manguli wa sheria,tulikua tunawapia kwa wingi wa threads zenu za ajabu ajabu na matusi kwa mamlaka

Sasa mmeanza kulewa maana ya Serikali kwa nini iliitwa ina mkono mlefu.
Mlio wapuuza sasa mnauliza wako wapi,swine,na bado

Sent using Jamii Forums mobile app
Una jibu kulingana na hisia jibu hoja zilizo ekwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi najua tu siku za wanasheria uchwara wa humu ndani kuumbuka zinakaribia. Yaani kila jambo likitokea wao hugeuka wabobezi wa sheria na katiba na kuamini serikali haijui lolote. Wao wanaamini ishu ya CAG serikali wala bunge halijui itaisha vipi,wao wanaamini serikali na Bunge wanakuja kusoma madesa yao hapa Jf na kufanya maamuzi. MUDA NI MWALIMU, SOON WANASHERIA UCHWARA WATAUMBUKA.

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
Pumbavu!
 
Back
Top Bottom