Huyu kakosa wa kumpa ukweliOvyo kabisa, li ndugai limeshupalia mwenzake afukuzwe kazi, hivi alivyowachapa bakora maccm wenzake na sisi wananchi tungeshupalia angeupata wapi huo uspika
Ndicho unachokiwaza hicho. Kwenye hili hakuna uchama Tanzania kwanza
Washakuwa wanasiasa hao tangu muda mrefuViongozi wa upande wa pili wa ile dini nyingine kwny suala hili la CAG wala hawana cha kusema wanaona kama vile haiwahusu,subiri sasa mkuu awakomalie hakuna exemption huko bandarini kwny magari yao ya taasisi uone wanavyo ng'aka sasa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tafadhalini tusitoke nje ya Mstari
Tukitoka nje ya Mstari tutampa ushindi wa Mezani Mtu wa Hovyo hovyo
Tunaogopa kipigo cha MurotoWatanzania tunalala sana,huyu ni wa kumfanyia maandamano mpaka aondoke
Kakanyaga live wire lazima apigwe shortHii ngoma inakoenda sio kwenyewe
God forbid!!!
Hivi ndugai kwann asiipotezee kama Mzee JK aiseh
Kama nguvu kubwa mnaitumia namna hii,basi kuna ajenda ambayo si salama kwa nchi,shekh anaingiaje kwenye issue ya bunge na cag?
Wakati sakata la spika na CAG likichukua sura mpya,viongozi wa dini nao hawapo nyuma kukemea.
Viongozi wa dini ya kiislamu wameonyesha kuudhika na mwenendo wa spika na kutilia mashaka kwamba upo uwekezekano Spika akawa na ajenda binafsi kwa CAG Mussa Assad.
Kiongozi huyo amesema iko wazi kabisa sisi binadamu tuna madhaifu na mapungufu. Ni Mungu pekee asiye na mapungufu. Sasa iweje Spika ajione kwamba bunge lake halina udhaifu na kujifananisha na Mungu.
Inzi tu wanakufa, angerudi kwenye jeneza bombardier ingepeleka mwili Dodoma na wabunge kusindikiza msafara Kongwa.Nimekuja kuona kinachomuuma Spika ni vile Assad alivyoelezea suala zima la gharama za matibabu ya huko nje kwny ile ripoti yake.
Maana nimeona anasema ooh mimi suala la kuumwa ni mpango wa Mungu sijui ningerudi nimekufa sijui nini,story mingi balaa as if ile report ilikua imetengenezwa kwa ajili yake tu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
We mwache tu, nadhani hawajui, wakilianzisha ataiona Tanzania chungu
Mkubwa kusoma hujui hata kwa picha huoni?
Viongozi wa upande wa pili wa ile dini nyingine kwny suala hili la CAG wala hawana cha kusema wanaona kama vile haiwahusu,subiri sasa mkuu awakomalie hakuna exemption huko bandarini kwny magari yao ya taasisi uone wanavyo ng'aka sasa.
Sent from my iPhone using JamiiForums