Tulia Ackson aweza kuwa ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyehudumu kwa muda mfupi Zaidi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,722
218,284
Kuna kila dalili kwamba huyu Mama ataweka rekodi mpya kwenye siasa za Tanzania , hasa kwenye Historia ya Bunge la Tanzania.

Kwa Mujibu wa macho yangu Tulia Ackson hatorudi Bungeni 2025 na zipo tetesi kwamba Hata mamlaka za Uteuzi zimemchoka kutokana na uwezo wake mdogo wa "kuisaidia serikali bungeni" , hana ushawishi Jimboni kwake wala Bungeni.

Si kwamba haisaidii ccm bungeni , bali inasemekana anatumia ubabe zaidi na mijinguvu mingi badala ya hoja kuzimwa kwa hoja.

Kwa mfano , kuahirisha mjadala wa hoja ya ripoti ya CAG kujadiliwa bungeni kwenye kikao hiki cha Bajeti kulikotangazwa na Spika , ulikuwa mpango wa serikali yenyewe ili kukwepa aibu na kuwasahaulisha Wananchi wa Tanzania ambao mara nyingi huonekana kama Wajinga mbele ya viongozi , lakini Approach iliyotumiwa na Spika kulielezea jambo hilo lilistua kila mtu, jambo ambalo limeifanya serikali kufedheheka na kuamua kufanya U-Turn na kurejesha mjadala huo kwenye kikao hiki hiki , Spika alishindwa kutumia lugha laini ambayo ingewapumbaza wadau ili angalau waone serikali ina nia njema .

Taarifa zinaeleza kwamba serikali ya sasa inahitaji viongozi wenye ushawishi kwa jamii kutokana na lugha na matendo yao , hasa huko tuendako ambako Katiba Mpya naTume huru ya Uchaguzi vinakuja , haihitaji mtu mzigo anayetaka kubebwa na serikali au rushwa, hii ni kwa vile hayo mambo huko mbele hayatakuwa na nafasi tena .

Usiondoke JF kwa sasa , kwa vile kuna uhondo mwingi unakuja.
 
Nasikia huko mbeya kuna tulia marathon inakuja

Ova
Hata ngoma za asili pia zinakuja , Niliwahi kuuliza humu kwamba " TULIA ACKSON ALIKWINA ? " nikimaanisha Alikuwa wapi awali hadi leo ndio aanze kufadhili ngoma za asili, nilituma lugha ya Dr Ngunangwa aliyewauliza waliokuwa wananyemelea jimbo lake huko miaka ya nyuma , lakini moderator kijana asiyeyajua mambo ya zamani , akaedit edit uzi ule hadi ukapoteza maana
 
"uwezo wake mdogo wa kuisaidia serikali bungeni"

Hivi hawa wabunge wa kipindi hiki wanaifanya nini serikali huko bungeni hadi serikali ihitaji msaada wa akina "cool"?

Maana tunaona kila jambo serikali inalopeleka huko bungeni linapita kwa makofi mengiii,serikali hiyo hiyo tena kesho yake inarudi inawaambia hili tulilopitisha jana,tumekosea hapa na pale,turekebishe,wanarekebisha tena kwa makofi mengi,

Sasa watu wa namna hiyo utataka usaidiwe na nani kushugulika nao
 
"uwezo wake mdogo wa kuisaidia serikali bungeni"

Hivi hawa wabunge wa kipindi hiki wanaifanya nini serikali huko bungeni hadi serikali ihitaji msaada wa akina "cool"?

Maana tunaona kila jambo serikali inalopeleka huko bungeni linapita kwa makofi mengiii,serikali hiyo hiyo tena kesho yake inarudi inawaambia hili tulilopitisha jana,tumekosea hapa na pale,turekebishe,wanarekebisha tena kwa makofi mengi,

Sasa watu wa namna hiyo utataka usaidiwe na nani kushugulika nao
Shida iko kwa wananchi
 
Kama kwako kurudi bungeni baada ya 2025 ni kuwasaidia wananchi,

Akina nani ndani ya Bunge hawatarudi bungeni mbali na tulia?
 
Asubili kupewa viti maalumuu,maana aliyempa ubunge hayupo
 
Kuna kila dalili kwamba huyu Mama ataweka rekodi mpya kwenye siasa za Tanzania , hasa kwenye Historia ya Bunge la Tanzania.

Kwa Mujibu wa macho yangu Tulia Ackson hatorudi Bungeni 2025 na zipo tetesi kwamba Hata mamlaka za Uteuzi zimemchoka kutokana na uwezo wake mdogo wa "kuisaidia serikali bungeni" , hana ushawishi Jimboni kwake wala Bungeni.

Si kwamba haisaidii ccm bungeni , bali inasemekana anatumia ubabe zaidi na mijinguvu mingi badala ya hoja kuzimwa kwa hoja.

Kwa mfano , kuahirisha mjadala wa hoja ya ripoti ya CAG kujadiliwa bungeni kwenye kikao hiki cha Bajeti kulikotangazwa na Spika , ulikuwa mpango wa serikali yenyewe ili kukwepa aibu na kuwasahaulisha Wananchi wa Tanzania ambao mara nyingi huonekana kama Wajinga mbele ya viongozi , lakini Approach iliyotumiwa na Spika kulielezea jambo hilo lilistua kila mtu, jambo ambalo limeifanya serikali kufedheheka na kuamua kufanya U-Turn na kurejesha mjadala huo kwenye kikao hiki hiki , Spika alishindwa kutumia lugha laini ambayo ingewapumbaza wadau ili angalau waone serikali ina nia njema .

Taarifa zinaeleza kwamba serikali ya sasa inahitaji viongozi wenye ushawishi kwa jamii kutokana na lugha na matendo yao , hasa huko tuendako ambako Katiba Mpya naTume huru ya Uchaguzi vinakuja , haihitaji mtu mzigo anayetaka kubebwa na serikali au rushwa, hii ni kwa vile hayo mambo huko mbele hayatakuwa na nafasi tena .

Usiondoke JF kwa sasa , kwa vile kuna uhondo mwingi unakuja.
Ya kweli haya?
 
Kuna kila dalili kwamba huyu Mama ataweka rekodi mpya kwenye siasa za Tanzania , hasa kwenye Historia ya Bunge la Tanzania.

Kwa Mujibu wa macho yangu Tulia Ackson hatorudi Bungeni 2025 na zipo tetesi kwamba Hata mamlaka za Uteuzi zimemchoka kutokana na uwezo wake mdogo wa "kuisaidia serikali bungeni" , hana ushawishi Jimboni kwake wala Bungeni.

Si kwamba haisaidii ccm bungeni , bali inasemekana anatumia ubabe zaidi na mijinguvu mingi badala ya hoja kuzimwa kwa hoja.

Kwa mfano , kuahirisha mjadala wa hoja ya ripoti ya CAG kujadiliwa bungeni kwenye kikao hiki cha Bajeti kulikotangazwa na Spika , ulikuwa mpango wa serikali yenyewe ili kukwepa aibu na kuwasahaulisha Wananchi wa Tanzania ambao mara nyingi huonekana kama Wajinga mbele ya viongozi , lakini Approach iliyotumiwa na Spika kulielezea jambo hilo lilistua kila mtu, jambo ambalo limeifanya serikali kufedheheka na kuamua kufanya U-Turn na kurejesha mjadala huo kwenye kikao hiki hiki , Spika alishindwa kutumia lugha laini ambayo ingewapumbaza wadau ili angalau waone serikali ina nia njema .

Taarifa zinaeleza kwamba serikali ya sasa inahitaji viongozi wenye ushawishi kwa jamii kutokana na lugha na matendo yao , hasa huko tuendako ambako Katiba Mpya naTume huru ya Uchaguzi vinakuja , haihitaji mtu mzigo anayetaka kubebwa na serikali au rushwa, hii ni kwa vile hayo mambo huko mbele hayatakuwa na nafasi tena .

Usiondoke JF kwa sasa , kwa vile kuna uhondo mwingi unakuja.
Maelezo mengi upuuzi mtupu hakuna la maana zaidi ya uzwazwa

USSR
 
Kuna kila dalili kwamba huyu Mama ataweka rekodi mpya kwenye siasa za Tanzania , hasa kwenye Historia ya Bunge la Tanzania.

Kwa Mujibu wa macho yangu Tulia Ackson hatorudi Bungeni 2025 na zipo tetesi kwamba Hata mamlaka za Uteuzi zimemchoka kutokana na uwezo wake mdogo wa "kuisaidia serikali bungeni" , hana ushawishi Jimboni kwake wala Bungeni.

Si kwamba haisaidii ccm bungeni , bali inasemekana anatumia ubabe zaidi na mijinguvu mingi badala ya hoja kuzimwa kwa hoja.

Kwa mfano , kuahirisha mjadala wa hoja ya ripoti ya CAG kujadiliwa bungeni kwenye kikao hiki cha Bajeti kulikotangazwa na Spika , ulikuwa mpango wa serikali yenyewe ili kukwepa aibu na kuwasahaulisha Wananchi wa Tanzania ambao mara nyingi huonekana kama Wajinga mbele ya viongozi , lakini Approach iliyotumiwa na Spika kulielezea jambo hilo lilistua kila mtu, jambo ambalo limeifanya serikali kufedheheka na kuamua kufanya U-Turn na kurejesha mjadala huo kwenye kikao hiki hiki , Spika alishindwa kutumia lugha laini ambayo ingewapumbaza wadau ili angalau waone serikali ina nia njema .

Taarifa zinaeleza kwamba serikali ya sasa inahitaji viongozi wenye ushawishi kwa jamii kutokana na lugha na matendo yao , hasa huko tuendako ambako Katiba Mpya naTume huru ya Uchaguzi vinakuja , haihitaji mtu mzigo anayetaka kubebwa na serikali au rushwa, hii ni kwa vile hayo mambo huko mbele hayatakuwa na nafasi tena .

Usiondoke JF kwa sasa , kwa vile kuna uhondo mwingi unakuja.
Endelea kuota
 
Kuna kila dalili kwamba huyu Mama ataweka rekodi mpya kwenye siasa za Tanzania , hasa kwenye Historia ya Bunge la Tanzania.

Kwa Mujibu wa macho yangu Tulia Ackson hatorudi Bungeni 2025 na zipo tetesi kwamba Hata mamlaka za Uteuzi zimemchoka kutokana na uwezo wake mdogo wa "kuisaidia serikali bungeni" , hana ushawishi Jimboni kwake wala Bungeni.

Si kwamba haisaidii ccm bungeni , bali inasemekana anatumia ubabe zaidi na mijinguvu mingi badala ya hoja kuzimwa kwa hoja.

Kwa mfano , kuahirisha mjadala wa hoja ya ripoti ya CAG kujadiliwa bungeni kwenye kikao hiki cha Bajeti kulikotangazwa na Spika , ulikuwa mpango wa serikali yenyewe ili kukwepa aibu na kuwasahaulisha Wananchi wa Tanzania ambao mara nyingi huonekana kama Wajinga mbele ya viongozi , lakini Approach iliyotumiwa na Spika kulielezea jambo hilo lilistua kila mtu, jambo ambalo limeifanya serikali kufedheheka na kuamua kufanya U-Turn na kurejesha mjadala huo kwenye kikao hiki hiki , Spika alishindwa kutumia lugha laini ambayo ingewapumbaza wadau ili angalau waone serikali ina nia njema .

Taarifa zinaeleza kwamba serikali ya sasa inahitaji viongozi wenye ushawishi kwa jamii kutokana na lugha na matendo yao , hasa huko tuendako ambako Katiba Mpya naTume huru ya Uchaguzi vinakuja , haihitaji mtu mzigo anayetaka kubebwa na serikali au rushwa, hii ni kwa vile hayo mambo huko mbele hayatakuwa na nafasi tena .

Usiondoke JF kwa sasa , kwa vile kuna uhondo mwingi unakuja.
Na Tulia Nyama Choma pia kaka!

Waache waendelee na porojo zao humu
 
Back
Top Bottom