Saint Ivuga ni Chalii flani huwa anafanya dili za kubeba mizigo Kariakoo, zamani alikuwa mpiga debe pale njia panda ya Kigogo.. Husninyo ni dada flani anafanya kazi ya mama lishe pale Mpwapwa, zamani alikuwa anafanya kazi za vibarua kwenye mashamba ya zabibu.. Aminata sina diteili zake... Ai hopu umeona jinsi hawa ni watu tofauti mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.