Saint Ivuga , Aminata & Husninyo

Saint Ivuga , Aminata & Husninyo

Status
Not open for further replies.

John W. Mlacha

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
3,504
Reaction score
1,343
kwa utafiti wangu nimeona Saint Ivuga , Aminata & Husninyo ni mtu mmoja,mods ina mana hamwezi kuzuia watu kuwa na ID zaidi ya moja?
 
mods pigeni ban hio black bat ....this is masaburi live ,,how this come?
 
Umekosa cha kuandika eh? ukikosa cha kuandika, soma tu post za wenzako.
Ukiwa mnafiki na mwenye majungu ujanani, uzeeni lazima utakukuja kuwa mchawi.
 
Stereotyping! Hata kama ni crap sio lazma iwe crap aliyo crap mwenzio!be creative basi,kha!
 
Black bat at this instant we know you with the help of the mentioned.
 
Saint Ivuga ni Chalii flani huwa anafanya dili za kubeba mizigo Kariakoo, zamani alikuwa mpiga debe pale njia panda ya Kigogo.. Husninyo ni dada flani anafanya kazi ya mama lishe pale Mpwapwa, zamani alikuwa anafanya kazi za vibarua kwenye mashamba ya zabibu.. Aminata sina diteili zake... Ai hopu umeona jinsi hawa ni watu tofauti mkuu!
 
Hata ikiwa hivyo inakuadhiri nini?. Unafahamu vigezo vya kulimwa BAN?.

JF haijakataza kuwa na id zaidi ya moja. Kama unaona vipi nawe fungua hata kumi.

Try to utilize your brain effective please!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom