Ndio bonge la ustadh.
Kukuru kakara ilikiuwa ni track ya Sosi B.....sio ya group wala a Saigon......Huyu jamaa jembe tangu akiwa na DIPLOMATZ hz bongo flava ndo inaanza Tz!
Nakumbuka walikuwa watoto fulani wa kishua, walikuja na track yao moja ilikuwa inaitwa are u down! na moja siikumbuki ilikuwa na chorus, nanukuu "kukuru kakala zako we zitakuponza".
Muziki Muziki...."Kukurukakara zako zitakuponza""acha we achawe"nakumbuka ITV kipindi fulani hivi nimekisahau kilikua kinarushwa saa kumi jioni mwaka1999.umenikumbusha mbalisana nilikuwa kidato cha nne.
Oi Oi oi Oi Oi KALINYE KALINYE.
Ela ya kulewea unampa wewe?mkuu acha kudanganya Saigon anafanya harakati gani zaidi ya kulewa tu mda wote maviloba pale HalfLondon!