ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Shule ipo Ununio issa Michuzi ameandika vizuri story hii nenda kwa blog
Mmiliki Wa Shule ipi?
Hi dunia hauwezi kutulia aise kila siku ni vimbwangaDoh! Dunia ina mambo
Dawa ni kuwatandika tu hao majaji kama wanavyofanya misriPapamsofe amefutiwa shtaka la mauwaji na yuko nje kwa dhamana
Je huyu atafungwa
Nb:majaji wamekuwa n wahunisana hasa kesi kama hizi..hata kama n serikali wanaomshtaki inaishia porojo nn kifanyike wakiachiwa tumalize nje wenyewe??
....wanasumbuliwa na spirits za makafara ya kule Igalula, na Buja
Afungwe tu....
Umofia kwenu wana JF,
Mtoto wa aliyekuwa waziri wa zamani tatu Ntimizi, anakabiliwa na tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa shule ya unununio international.
Taarifa za awali zinasema kwamba jamaa alikuwa na mahusiano na Huyo mama, Huyo mama akamsaidia kupata mkopo bank kwa kumdhamini kiasi cha pesa, ni zaidi ya bilioni na ushee ndipo Saidi alipotumia Hiyo fedha kununua nyumba baharini Mbweni JKT na kununulia magari ya kifahari, baada ya mama kuanza kusumbuliwa na bank kuhusu marejesho ya aliyemdhamini ndipo jamaa na team yake walikula njama na kumuua Huyo mama ambaye alikuwa mpenzi wake.
Thubutuuu!
Papaa msoffe kasanua, kesi imekuwa ya kughushi sijui nini. Na alex massawe anakula bata dubai
Iba wewe karanga za jirani yako tukunyooshe kwa rula.
Heheheh shosti hilo nalo neno ujue
Ukizingatia ana zaidi ya ml 900(alizokopa akagoma kulipa na kum-rip-isha mdai wake)nina mashaka kama atafungwa.....
Kweli pesa ibilisi....
Ndio huyo
Thubutuuu!
Papaa msoffe kasanua, kesi imekuwa ya kughushi sijui nini. Na alex massawe anakula bata dubai
Iba wewe karanga za jirani yako tukunyooshe kwa rula.