Said Ntimizi akamatwa kwa mauaji

Said Ntimizi akamatwa kwa mauaji

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,414
Mtoto wa Waziri wa Zamani, Tatu Ntimizi anaeitwa Said Ntimizi ametiwa mbaroni kwa tuhuma za mauwaji.

Mwenye data kamili atupe nyeti!

wKSv2d



 
diuuj kagundulika kachinjwa lini

Jumatatu iliyopita ila mauwaji yalifanywa tangu December, marehemu walidhani amepotea baada ya kumtafuta kila kona ikabidi wambane mganga maana ndio aliyeyoka naye nyumbani kwake. Jumatatu ndio kafunguka na kuelekeza alipouawa.
 
Back
Top Bottom