Said Ntimizi akamatwa kwa mauaji

Said Ntimizi akamatwa kwa mauaji

Ameshatangaza akuna kesi waachiwe majaji
 
Huyu hakuwa mwanachama wa chama chetu cha Mabwepande?
 
Kama ana kiwanja masaki ama osterbay aache mahakama iamue.then aende mahak ya rufani kule.anapeleka hati tu ya kiwanja ikiwa na jina la jaji kesi inaisha
 
mtoto wa waziri wa zamani, tatu ntimizi anaeitwa said ntimizi ametiwa mbaroni kwa tuhuma za mauwaji.

Mwenye data kamili atupe nyeti!

wksv2d



hii inanikumbusha mtoto mmoja wa kigogo aliyemuua demu wake.
 
Thubutuuu!
Papaa msoffe kasanua, kesi imekuwa ya kughushi sijui nini. Na alex massawe anakula bata dubai

Iba wewe karanga za jirani yako tukunyooshe kwa rula.
Unaongelea deni tu shogar? Mama ana jina pia. Ulishawahi kuona muuaji anakamatwa na polisi wanaringa ringa kutoa tamko? Mwaka mmoja mrefu ushahidi utakosekana. Akiachiwa unistue mama, ndio nchi yetu hii. Tunaivumilia
Tukubaliane damu ya binadamu sio kama ya kuku.
Kama walikuwa wamefanikiwa kuficha hii siri kwa muda huo japo sio mrefu sana, na sasa imejulikana sababu ya haya mauaji kuwa ni hili deni basi huyu bwana hatakaa aishi kwa amani tena maisha yake yaliyobakia hata polisi/mahakama zisipomshikilia! Na kama ni kweli kuwa alitumia hiyo pesa kujengea nyumba na kununulia magari -#24 ni wazi huo ndio ulikuwa upeo wake katika utafutaji!
Naamini muda sio mrefu (au tayari) keshaanza kuelewa maana ya "dunia mapito". Inasikitisha sana.


 
Kama Papa Msofe katoka kw kesi ya Mauaji mda mfupi baada ya kubadilishiwa mashtaka. Naamini hata huyu papaa ntimizi atatoka tuu!
 
Matatizo yanayoipata familia hii ni kielelezo cha makuzi waliyopata kutoka kwa mama yao Tatu Ntimizi. Tatu Ntimizi akiwa Ofisa wa Polisi na mwendesha mashtaka Mahakama ya Kusutu kwenye miaka ya 1990s alikuwa mshirika mkuu wa majambazi. Kwa hiyo malipo ni hapahapa duniani
Aisee kumbe ni mumo kwa mumo?

Ndio maana watu wanasema kwamba ukiona mtoto ni mzinifu saana,basi jua kati ya baba au mama lazima alikuwa mzinifu.

Sasa hii naona imekuja kimtindo huo kwamba ni mfumo wa maisha ya familia.

Mungu hafi wala hasinzii,na wabaya huishi maisha marefu ili mungu awaonyeshe ubaya wao hapa hapa duniani na wakifika kwake habari inakuwa kubwa.
 
Masikini dada wa watu what a terrible death from a man you shared kisses with!!

Lakini kusije kukawa na ishu ya "KARMA". Yaani malipo hapa hapa duniani. Kwa mfano : mumewe wa kwanza alikufaje, akiwa na umri gani, katika mazingira gani na ikaweje akaachiwa urithi mkubwa kihivyo.
Sometimes inakuwa ngumu sana kwa mtu aliyelitolea jasho pato lake akamdamini mtu hivihivi 900 M!! Inawezekana huyu jamaa alikuwa na siri ya huyo mama ndiyo maana ikawa rahisi hivyo kuaminiwa dhamana ya 900M. Ingekuwa ni rahisi hivyo, basi Marehemu Captain Komba asingefilisiwa kirahisi vile wakati alikuwa mpambe namba one wa team Lowasa ambayo inajulikana ina mahela ya kutosha tu , na yeye Komba ndo alikuwa key person kwenye kutangaza nia kwa Lowasa.
Wenye taarifa na Historia ya Marehemu watusaidie hapa ili kama ni kujadili tujadili pande zote.
Na pia , suppose huyu jamaa hajashiriki haya mauaji, na kuna watu wametumia advantage ya madeni kumuua yule mama , wakijua mtuhumiwa wa kwanza atakua Said Ntimiz? Maana kipindi hiki cha siasa lolote laweza kutokea, na mganga wa kienyeji akawa amepandikizwa tu kama yule mtesaji wa Ulimboka aka Mulundi wa Kenya?

Tunaomba kujua kilichosababisha huyu mama arithi mihela yote hiyo na atanue na watu ambao hawaeleki utajiri wao wameupataje kama huyu Said. Kuna kaharufu ka Panya hapa!!!
 
kuna wakati pesa huwa chanzo cha matatizo yaan TATU NTIMIZI alikusanya pesa nyingi kidhuluma sasa wanae wamelaanika
 
mali ya dhuluma na maisha ya kidhuluma huwa yana mwisho tena mwisho mbaya. ..
 
Back
Top Bottom