lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
Acha Watanzania tuitwe Watanzania!Wako nje kitambo sana.....Kesi Yao ilishamalizwa.....
OVA
Acha Watanzania tuitwe Watanzania!Wako nje kitambo sana.....Kesi Yao ilishamalizwa.....
OVA
Kama basi la mwendo kasiTulia basi! Haraka ya nini?
Wameachiwa kwa Grounds zipi?Wako nje kitambo sana.....Kesi Yao ilishamalizwa.....
OVA
WATAKUWA WALICHEZA FIGISU STYLE...Wameachiwa kwa Grounds zipi?
Aiseee Ni Hatari Sana,Huyo Mama aliyeuliwa hana ndugu kweli walianzishe upya? Maana ni Uhuni huu wa kuonea wanyonge na kuwalinda wana-sisiemu.WATAKUWA WALICHEZA FIGISU STYLE...
OVA
KAMA NAO WAMEKULA KOBIZ BASI MLUNGULA UMEPENYAA.HAWA WAKINA NTIMIZI WANAJULIKANA KWA USHENZ..KUANZIA MAMA YAO HADI WATOTO..
LABDA NDG WA MAREHEMU WALIANISHE UPYA...ILA NASHANGA WAKO KIMYA SIJUI MLUNGULA UMETEMBEZWA ....AU?
OVA
Kisu kimetembezwa....mkuu Njaa mbaya sana ujueKAMA NAO WAMEKULA KOBIZ BASI MLUNGULA UMEPENYAA.
Yupo Huru... Hii ndio Bongo mzeeWapi said ntimizi ?
AaaAiseee Ni Hatari Sana,Huyo Mama aliyeuliwa hana ndugu kweli walianzishe upya? Maana ni Uhuni huu wa kuonea wanyonge na kuwalinda wana-sisiemu.
Daaah kimya kimyaWapi said ntimizi ?