Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania sambamba na international schools.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha inaongoza kwa kuwa na vyuo vya kimataifa vingi mf. Esami, TMA, na Nelson Mandela
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Ujenzi wa satellite cities ambazo zimepimwa kwa asilimia 100 mf. Safari City na Bondeni City.
Ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotosheleza Arusha yote na maeneo ya jirani sambamba na ujenzi wa sewage system unaoufanya kuwa mji wa kwanza nchini kuunganishwa na sewage system mji mzima.
Usafiri wa haraka kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Kuzungukwa na kambi nyingi za Jeshi mf. Makuyuni, Ngaramtoni, Moshono, Oljoro na Duluti
Ufikaji wa urahisi Arusha kutoka kwenye miji mikubwa ya jirani mf. Nairobi, Mombasa, Dar es salaam na mji wetu mkuu Dodoma
Pia ni katikati ya Barabara ya mwanzo kabisa kuunganisha miji mikuu miwili ya utawala wa waingereza barani Afrika yaani Cape town na Cairo na kuwa na alama yake pale Clock tower jijini Arusha.
Uwepo wake karibu na vivutio bora zaidi vya utalii duniani ikiwemo mt. kilimanjaro, serengeti na ngorongoro
Bila kusahau leisure & conference facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.
Zote hizi zimeshawishi uwepo wa ofisi kuu za mashirika na taasisi kubwa za ndani na nje ya nchi kama vile EAC, Mahakama ya Afrika, Papu, Tanapa n.k
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
Update: Arusha has been named by the CNN as one of the 10 most trending destinations in the world 2022. (Trip Advisor)
.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania sambamba na international schools.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha inaongoza kwa kuwa na vyuo vya kimataifa vingi mf. Esami, TMA, na Nelson Mandela
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Ujenzi wa satellite cities ambazo zimepimwa kwa asilimia 100 mf. Safari City na Bondeni City.
Ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotosheleza Arusha yote na maeneo ya jirani sambamba na ujenzi wa sewage system unaoufanya kuwa mji wa kwanza nchini kuunganishwa na sewage system mji mzima.
Usafiri wa haraka kutoka sehemu moja hadi nyingine.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Kuzungukwa na kambi nyingi za Jeshi mf. Makuyuni, Ngaramtoni, Moshono, Oljoro na Duluti
Ufikaji wa urahisi Arusha kutoka kwenye miji mikubwa ya jirani mf. Nairobi, Mombasa, Dar es salaam na mji wetu mkuu Dodoma
Pia ni katikati ya Barabara ya mwanzo kabisa kuunganisha miji mikuu miwili ya utawala wa waingereza barani Afrika yaani Cape town na Cairo na kuwa na alama yake pale Clock tower jijini Arusha.
Uwepo wake karibu na vivutio bora zaidi vya utalii duniani ikiwemo mt. kilimanjaro, serengeti na ngorongoro
Bila kusahau leisure & conference facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.
Zote hizi zimeshawishi uwepo wa ofisi kuu za mashirika na taasisi kubwa za ndani na nje ya nchi kama vile EAC, Mahakama ya Afrika, Papu, Tanapa n.k
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
Update: Arusha has been named by the CNN as one of the 10 most trending destinations in the world 2022. (Trip Advisor)
.