Saga la Makonda: My Take

Nime mkumbuka marehemu kabwe pale darajani kigamboni wakati wa ufunguzi na namna makonda alivo mtuhumu tu na hapo hapo muheshimiwa akafanya maamuzi of coz tulimuonea saana lakini hatuna namna
 
Naona siku hizi umehitimu matusi. Na sio wote wanaotaka RC achukuliwe hatua ni wapinzani. Na sio wapinzani wote wanataka RC achukuliwe hatua. Kupaza sauti ni haki ya kila mmoja. Mwenye uamuzi achukue uamuzi wake lakini hiyo haitanyamazisha watu. Ni wengi tu ambao hawakutegemea Uncle Magu achukue hatua hata kama walipenda achukue hatua.
 
Msukuma anatetea msukuma
 
Onyesha niliposema Makonda anaonewa.


US baby!
Mkuu haijalishi uahirishe mpaka mwakani kumtumbua lakini wambeya wanakuwa wameshashinda na hasa hili la uvamizi wa clouds studio ndiyo kaharibu. Mambo ya vyeti vilikuwa issue ndogo sana!
 
NN umeongea milivyowaza, akimtumbua anawapa wapinzani ushindi. Wapinzani wake ni; watu wa udaku mitandaoni, wanasiasa wa upinzani na wale waliotajwa hadharani kujihusisha na ngada.

Hata hivyo, raisi ana 'ego' kubwa, hawezi ku-surrender kirahisi hivyo.
 
Huu ni mchezo wa karata robo sitini, kuacha kucheza karata ambayo ingeweza kukupa ushindi ukabaki nayo kwa kisingizio tuu kwamba mwenzako kachungulia karata yako ni uzuzu mchezo utakulazimisha kucheza wakati ambao hiyo karata haitakusaidia tena! .mwacheni abaki na zero wake
 
Raisi huwa anapiga simu 360 leo mbona hajapiga kuwapa pole marafiki zake? si anasema anawapenda au?
 
Huyo ni muongo wa kutupa! Anawapenda halafu anaunga mkono uvamizi uliofanywa kwenye ofisi zao!

Raisi huwa anapiga simu 360 leo mbona hajapiga kuwapa pole marafiki zake? si anasema anawapenda au?
 
Uongo ni mwingi sana kiasi kwamba mtu huwezi kuchambua kipi cha ukweli au kipi cha uongo, au uongo asilimia ngapi?
Hivyo busara lazima itumike kwa kiongozi yeyote na muda ambao ni muafaka ndipo unaweza kuchukua hatua.
halafu, inaoneka Watanzania wanapenda sana umbea, majungu, uzushi ndiyo hatufikiria sana kwa undani mambo ya maendeleo kwa nchi badala yake tumekuwa wabinafsi.
 
Wananchi gani hao unaowaingelea? Wauza Madawa ya kulevya Mbowe, Tundu Lisu, & Co.?
Ha ha na cheka muuza madawa mbona ni mwenyewe makonda kwa msaada wa Magufuli ghi kwani hiyo nayo siri
 
Huyo ni muongo wa kutupa! Anawapenda halafu anaunga mkono uvamizi uliofanywa kwenye ofisi zao!
Kama alivamia mbona matangazo ya Redio na Television yaliendelea.
Jambazi akivamia sehemu yoyote shughuli za hapo lazima zisimame, hetu tutumie akili kidogo jamani
 

Watu inabidi wabadili mbinu za kukabiliana na huyu ngosha.

Huyu ngosha si wa spoti spoti. Yuko tofauti sana na bwana dhaifu.

Mbinu zilizotumika dhidi ya bwana dhaifu kwa ngosha zitashindwa tu.

Ila naamini mwishowe Makonda atatumbuliwa kidiplomasia na si ki drama.

Watch this space....
 

Watu Kama mtoa mada hii ndio wanaoweza kubeba dhana ya JF kuwa na great thinkers. Pongezi zako mkuu.
 
Tanzania urais sio taasis,ni jitu moja tu!
 
Wewe ndiyo tumia akili achana na ubashite wa kutetea yale ambayo hayastahili kutetea. Sasa unataka kumpinga hata Ruge! Halafu unajiona eti una akili!

Kama alivamia mbona matangazo ya Redio na Television yaliendelea.
Jambazi akivamia sehemu yoyote shughuli za hapo lazima zisimame, hetu tutumie akili kidogo jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…