Huyu mtu hana hata haya mimi ananiudhi hivi ukoje wewe usiyesikia jamani?????
Tukuulize wewe kwamba ukoje? Hivi nyie mnadhani Rais ni kukaa tu nyumbani? Kama ni hivyo basi hata Rais Ben Ali angekuwa Rais bora au Mugabe. issue hapa siyo kusafiri maana hata baba wa Taifa enzi zake alisafiri sana, na hivyo hivyo mzee Ruksa na hata mzee Mkapa. Hiyo ni sehemu ya kazi za Rais na ndiyo maana hata marais wa nchi zilizoendelea kama China wanafanya ziara za dunia nzima na huko kote ni kuitangaza agenda ya nchi yako! Malalamiko mengine tunayazidisha na inaonekana sasa mzee huyu hata afanye zuri namna gani haonekani! Hiyo sasa CHUKI BINAFSI!
Mbona matunda ya safari za miaka mitano iliyopita hatuyaoni??? au Vyandarua!!Safari ni muhimu kwa manufaa ya nchi yetu kimaendeleo...muwe na subira mtaona matunda yake