Kambi hapa nachungulia kila baada ya lisaa kama kuna apdate yeyote
Kambi hapa nachungulia kila baada ya lisaa kama kuna apdate yeyote
Sawasawa mtafutaji tuna subiriaTayari, ijapokuwa mtaniwia radhi naandika kidogo kidogo kutokana na ukosefu wa muda, pia changamoto katika uandishi kwa kutumia simu ya mkononi, maana macho yangu kidogo yana shida.
Sasa hili trako au nyumba? SijapendaHaaa ila Botswana kuzuri kwa kutalii, watu hawajui tu, alafu peace sana huko.
View attachment 1998475
Wala usijali mkuu mambo mazuri hayahitaji haraka. Story ya kuanzia wknd hiiTayari, ijapokuwa mtaniwia radhi naandika kidogo kidogo kutokana na ukosefu wa muda, pia changamoto katika uandishi kwa kutumia simu ya mkononi, maana macho yangu kidogo yana shida.
Kweli...bila chapter 1 hutofaidiNaomba unitag knye sehemu ya kwanza ili nianze namtiririko vizur
We nae stori yako unaitoa vipande viwili alaf muendelezo n baada ya miez 8 Bora ukaushe tu