Safari ya Rais Kikwete namibia ilikuwa ya chama, iweje imelipiwa na serikali? Pata habari yake...

Mkuu kwa Maslahi Binafsi atasaport tu,
Kwanini asingemtuma Makamu wake wa Chama/Katibu Kumwakilisha?

Tena ukiondoa wenyeji, marais waliofika ni Robert Mugabe wa Zimbabwe kwa sababu nchini kwake yuko hoi.
Jakaya Kikwete wa Tanzania kwa sababu hana shughuli muhimu ya kufanya nchini mwake.
A.N.C Imewakilishwa na katibu mkuu.
Angola imewakilishwa na makamu wa pili wa rais.
Msumbiji imewakilishwa na katibu mkuu.

Viongozi wetu wa kiafrika wanaubinafsi mbona sikuwasikia KANU, ZANU PF?
Naona wanajiwekea mikakati ya kupeana hifadhi za kisiasa kikinuka. na tuwatimua kwa nguvu ya umma tu.
Pius Msekwa hii ndio ilikuwa shughuli yake au angemtuma Dk Shein basi, au Bilali........!
aagh! napatwa na ghadhabu................... na mtu huyu.
 
Afadhali wanaoamua kukaa kimya
Huyu bwana (against CHADEMA) kajiunga jana tu lakini akili zake hazifanyi kazi anafikiri kwa kutumia $@#*!&*^$
 
USHAURI WA BURE
against CHADEMA rekebisha hiyo avator yako hata kiswahili kinakushinda kusoma...........................
 
hivi nyinyi bado mnasumbua vichwa vyenu kumdiscuss JK!!huyu mtu ana matatizo upstairs,...mwacheni na misafari yake ipo siku litamkuta la kumkuta angani huko(god forbid)
 
CCM inabidi waangilie upya muundo wao wa juu,hii ya sasa M/kiti (T) ndiye Rais wa JMT ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu kimajukumu,kiutendaji au kiuwajibikaji haswa kipindi hiki cha vyama vingi...

Big point, kama mambo yanavyoendelea na yeye akiwa ndiye juu ya Chama, chama kitawezaje kumnyooshea kidole? Nyerere alishaliona hili na kupendekeza hizi kofia mbili kwa mtu mmoja bora zingetendanishwa, wakajaribu lakini mwinyi akazirudisha tena. Yale yale ya mwendelezo wa chama kushika hatamu za uongozi.
 
Kaazi kweli kweli...umeme na mafuta tutapata kutokana na mikutano hii in the future...hope so!!
 
ngojeni chadema mkishinda mtatanua na nyinyi


Katika suala hili itikadi ya chama wewe kama mtanzania inakusaidia nini??huoni kama mambo yanafanywa ndivyo sivyo??kwa nini usioneshe uzalendo wako hata katika jambo dogo kama hili???we wakupimwa akili kabsa!!
 
Hapa naomba nipingane na wengi. Kazi ya uraisi ni masaa 24. Kwa maana raisi unalindwa na vyombo vya usalama ambavyo si vya chama bali ni vya nchi. Unaenda nje una pokelewa na maafisa wa ubalozi wa nchi yako ambao ni wa nchi si wa serikali. Wenyeji wako wana kupokea kama kiongozi wa kitaifa na si wa chama na wao wata kukabidhi ulinzi kupitia vyombo vyao vya ulinzi ambavyo si vya chama bali nchi.

Sasa ukisema gharama ni za taifa kumbuka gharama hizo ni pamoja na ulinzi wa raisi pamoja na maofisa wa ubalozi watakao mpokea. Kusema chama igharamie safari ya raisi nje hata kama anaenda kuwakilisha chama ina maanisha kwenye huo msafara asipande ndege ya raisi bali chama, ina maana hawa walinzi wake wa usalama wa taifa wasiende nae lakini chama imtafutie ulinzi na pia ina maana maofisa wa ubalozi wa Tanzania hupo aendako wasimpokee kama raisi bali raia wa kawaida.

Wakuu hili ni swala la kiprotoko na si kwa Tanzania bali popote pale duniani. Hata mtu kama raisi Obama akisafiri nje ana gharamiwa na serikali. Nitoe tu mfano. Mara kadhaa raisi Obama anaendaga kwa Chicago au Hawaii kwa mapumziko binafsi si shughuli za serikali. Bado ana gharamiwa na serikali. Bado analindwa na vyombo vya usalama wa nchi nk. Hata Obama anapo endaga kwenye shughuli za kichama kama kwenye mikutano ya Democrats bado kuna gharama serikali inaingia kwa maana wana msafirisha na wanamlinda.

Ninacho taka kusema ni kwamba hakuna muda raisi ana acha kuwa raisi mpaka anapo ondoka madarakani. Siyo kama kazi nyingine ambapo cheo ni during office hours tu. Kwa maana hiyo basi kama ni kulalamika basi tulalamike kwa nini kaenda huko Namibia lakini tusilalamike kwa nini haja gharamiwa na chama. Tulalamike pia kwa nini hajatuma mwakilishi mwenye cheo cha chama badala ya yeye mwenyewe kwenda. Na pia tujiulize, hao maraisi wengine walio hudhuria wame gharamiwa na vyama vyao?

Tusipende kutafuta kila sababu ya kukosoa pasipo kuwa na sababu za msingi. Samahani lakini kwenye hili naona mtoa mada hana hoja.
 
President Robert Mugabe has returned home from Windhoek, Namibia, where he attended the summit of former Southern Africa liberation movements.

The leaders agreed to establish a technical team consisting of representatives from each party to ensure implementation of past, present and future resolutions of the liberation movements.

They also renewed their commitment to the spirit of solidarity in the improvement of the lives of their people.

The former liberation movements who attended the summit are ANC of South Africa, FRELIMO of Mozambique, MPLA of Angola, Chama Chamapinduzi of Tanzania, Zanu PF and SWAPO from the hosting nation.

Other leaders who attended the summit were Hifikepunye Pohamba of SWAPO (the hosts) Jakaya Kikwete of Chama Chamapinduzi of Tanzania, South Africa’s ANC Secretary General Gwede Mentashe, Vice President of the MPLA of Angola Roberto D’almeida and Filipe Chimoi Paunde of FRELIMO, Mozambique.

source: Bulawayo24 NEWS | Mugabe returns home

Hivi kama ni kweli kwanini Katibu Mkuu wa CCM hakwenda badala yake anaenda rais ambaye ni lazima Watanzania wote tugharamikie gharama zake na watu woooooote alioenda nao. Kwangu mimi inaonyesha Rais Jk hajui wajibu wake kwa umma wa Watanzania na ndiyo maana nchi inazama kidogo kidogo na yeye wala hata habari hana, jamani aibu sana ndiyo maana anadiriki kusema kwenye BBC eti yeye na serikali yake hawawezi kulaumiwa kwa tatizo la umeme kwa vile yeye si mungu wa kuleta mvua ili maji yajae mtera na kidatu umeme uzalishwe.
 
President Robert Mugabe has returned home from Windhoek, Namibia, where he attended the summit of former Southern Africa liberation movements.

The leaders agreed to establish a technical team consisting of representatives from each party to ensure implementation of past, present and future resolutions of the liberation movements.

They also renewed their commitment to the spirit of solidarity in the improvement of the lives of their people.

The former liberation movements who attended the summit are ANC of South Africa, FRELIMO of Mozambique, MPLA of Angola, Chama Chamapinduzi of Tanzania, Zanu PF and SWAPO from the hosting nation.

Other leaders who attended the summit were Hifikepunye Pohamba of SWAPO (the hosts) Jakaya Kikwete of Chama Chamapinduzi of Tanzania, South Africa’s ANC Secretary General Gwede Mentashe, Vice President of the MPLA of Angola Roberto D’almeida and Filipe Chimoi Paunde of FRELIMO, Mozambique.

source: Bulawayo24 NEWS | Mugabe returns home

Mbona mnapendaga sana uzushi nyie mijitu? Wapi inasema ziara imelipiwa na Serikali?
 
Mbona mnapendaga sana uzushi nyie mijitu? Wapi inasema ziara imelipiwa na Serikali?
<br />
<br />
Wapi inasema haikulipiea NA serikali? Kuna uzushi Gabi hapo?
Hii ni safari ya kichama kwa manufaa ya ccm wakipaswa kwenda wana ccm kwa ghalama zao Si raisi wananayejua tuna mlipia ghalama sake za ulinzi NA mengineyo Nina Maana uzalendo huko wapi hapo?
 
<br />
<br />
Wapi inasema haikulipiea NA serikali? Kuna uzushi Gabi hapo?
Hii ni safari ya kichama kwa manufaa ya ccm wakipaswa kwenda wana ccm kwa ghalama zao Si raisi wananayejua tuna mlipia ghalama sake za ulinzi NA mengineyo Nina Maana uzalendo huko wapi hapo?
Kazi bure kubishana na watu wenye intellect sawa na Mwanafunzi wa darasa la pili. Ningekuwa mod ningekupiga lifetime ban.
 
Tena ukiondoa wenyeji, marais waliofika ni Robert Mugabe wa Zimbabwe kwa sababu nchini kwake yuko hoi.
Jakaya Kikwete wa Tanzania kwa sababu hana shughuli muhimu ya kufanya nchini mwake.
A.N.C Imewakilishwa na katibu mkuu.
Angola imewakilishwa na makamu wa pili wa rais.
Msumbiji imewakilishwa na katibu mkuu.

Viongozi wetu wa kiafrika wanaubinafsi mbona sikuwasikia KANU, ZANU PF?
Naona wanajiwekea mikakati ya kupeana hifadhi za kisiasa kikinuka. na tuwatimua kwa nguvu ya umma tu.
Pius Msekwa hii ndio ilikuwa shughuli yake au angemtuma Dk Shein basi, au Bilali........!
aagh! napatwa na ghadhabu................... na mtu huyu.

Umemaliza ukweli wake? ccm hawana ruzuku au ,,, wanatunza kwa ajiri ya kununualia watu vitenge 2015?
 
Kasafari kenyewe hakajagharimu hata milioni 25 watu mnachongaaaaa

wewe unajifanya amnazo ni dhiki ya fikra na mali inakusumbua hiyo sio zahanati kijijini kwa baba hako? au huko kwenu somalia sio msaada wa chakula huo
 
huu ni mkutano wa vyama , najua kikwete ni raisi na tunapaswa kutoa ulinzi kwake kama raisi lakini
ccm wana uwezo wa kughalimia au kuchangia ghalama safari za kikwete anapokwenda kama mwenyekiti wa chama chao
au la wangetuma msekwa na mukama,
je ni mara ngapi amefanya hivi? hasa hapa nchini?

1.jpg
 
Back
Top Bottom