Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,902
- 20,108
Ukiona li-ccm lolote limepata ajali au kifo piga alama ya msalaba au sema inshallah kwa kutupunguzia Moja ya mawakala wa shetani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona li-ccm lolote limepata ajali au kifo piga alama ya msalaba au sema inshallah kwa kutupunguzia Moja ya mawakala wa shetani
Mayalla maana yakeni njaa!Someni uzi wa PM wa Jana hajasema anaacha Jf soma mpaka mwisho uone
Jana si siku ya wajingaTukisema wewe ni kigeugeu unasema tunakuandama na kukusemea uongo.
Jana ulisema Jamii forums Basi!
Sasa bado upo humu unafanya nini Pascal si uende huko?
Ulitaka atangaze propaganda za chadema?Raisi wa Tanzania hana ndege binafsi ile ya kwake alishaitoa Kwa shirika.marini ni mtangazaji Maori enzi za TIDO mhando baadae akaanza kutangaza propaganda za ccm.
RIP Mwana Ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana ilikuwa sku ya mabwege dunianiTukisema wewe ni kigeugeu unasema tunakuandama na kukusemea uongo.
Jana ulisema Jamii forums Basi!
Sasa bado upo humu unafanya nini Pascal si uende huko?
1990-1995-RTD-External ServiceMkuu pascali RTD ulihudumu mwaka gani?
Bado Namtafuta Polepole nijiunge CCM.Bado anamtafuta Polepole!
Kumtenganisha Mayalla na JF ni kazi ngumu.......akishtuka tu usingizini anaingiamo..! ha ha ha
PWanabodi,
sasa nikiisha jiunga rasmi CCM, automatically nitakuwa nimestaafu rasmi uandishi wa habari, utangazaji na pia nimestaafu rasmi jf.
Mungu Nisaidie.
Paskali
06:00 am
Update: 10:00 am
Saa 4:00 ndio hii, bado sijafanikiwa kumpata Polepole ili kujiunga CCM, hivyo mpaka sasa bado sijastaafu, na humu jf bado nipo nipo, sijaacha, naendelea kumfuatilia Polepole ili kujiunga CCM, siku nikifanikiwa kujiunga CCM, nitawajulisha kupitia uzi huu, na baada ya kujiunga rasmi CCM, ndipo nitastaafu na nitaaga rasmi kwa ku update uzi huu.
Paskali
Pascal Mayalla,
mkuu si umestaaf jana 😂
PWanabodi,
sasa nikiisha jiunga rasmi CCM, automatically nitakuwa nimestaafu rasmi uandishi wa habari, utangazaji na pia nimestaafu rasmi jf.
Mungu Nisaidie.
Paskali
06:00 am
Update: 10:00 am
Saa 4:00 ndio hii, bado sijafanikiwa kumpata Polepole ili kujiunga CCM, hivyo mpaka sasa bado sijastaafu, na humu jf bado nipo nipo, sijaacha, naendelea kumfuatilia Polepole ili kujiunga CCM, siku nikifanikiwa kujiunga CCM, nitawajulisha kupitia uzi huu, na baada ya kujiunga rasmi CCM, ndipo nitastaafu na nitaaga rasmi kwa ku update uzi huu.
Paskali
tulia, jana ilikuwa sikukuu yenu mazombi!.Tukisema wewe ni kigeugeu unasema tunakuandama na kukusemea uongo.
Jana ulisema Jamii forums Basi!
Sasa bado upo humu unafanya nini Pascal si uende huko?
Pascal si ulituaga jana wewe?
Au ilikuwa April fool?
PWanabodi,
sasa nikiisha jiunga rasmi CCM, automatically nitakuwa nimestaafu rasmi uandishi wa habari, utangazaji na pia nimestaafu rasmi jf.
Mungu Nisaidie.
Paskali
06:00 am
Update: 10:00 am
Saa 4:00 ndio hii, bado sijafanikiwa kumpata Polepole ili kujiunga CCM, hivyo mpaka sasa bado sijastaafu, na humu jf bado nipo nipo, sijaacha, naendelea kumfuatilia Polepole ili kujiunga CCM, siku nikifanikiwa kujiunga CCM, nitawajulisha kupitia uzi huu, na baada ya kujiunga rasmi CCM, ndipo nitastaafu na nitaaga rasmi kwa ku update uzi huu.
Paskali
PM kauli yako ya kusema umestaafu JF ndio inayokutesa....hata kama umestaafu uandishi wa habari haaminishi hauwezi kukataa kukaa kwenye majukwaa na kuwasikiliza na kutoa maoni yako kwenye tasnia iliyochukua sehemu kubwa ya maisha yako.....JF hapa panaitwa utakuja tu...
PWanabodi,
sasa nikiisha jiunga rasmi CCM, automatically nitakuwa nimestaafu rasmi uandishi wa habari, utangazaji na pia nimestaafu rasmi jf.
Mungu Nisaidie.
Paskali
06:00 am
Update: 10:00 am
Saa 4:00 ndio hii, bado sijafanikiwa kumpata Polepole ili kujiunga CCM, hivyo mpaka sasa bado sijastaafu, na humu jf bado nipo nipo, sijaacha, naendelea kumfuatilia Polepole ili kujiunga CCM, siku nikifanikiwa kujiunga CCM, nitawajulisha kupitia uzi huu, na baada ya kujiunga rasmi CCM, ndipo nitastaafu na nitaaga rasmi kwa ku update uzi huu.
Paskali
Tukisema wewe ni kigeugeu unasema tunakuandama na kukusemea uongo.
Jana ulisema Jamii forums Basi!
Sasa bado upo humu unafanya nini Pascal si uende huko?
PWanabodi,
sasa nikiisha jiunga rasmi CCM, automatically nitakuwa nimestaafu rasmi uandishi wa habari, utangazaji na pia nimestaafu rasmi jf.
Mungu Nisaidie.
Paskali
06:00 am
Update: 10:00 am
Saa 4:00 ndio hii, bado sijafanikiwa kumpata Polepole ili kujiunga CCM, hivyo mpaka sasa bado sijastaafu, na humu jf bado nipo nipo, sijaacha, naendelea kumfuatilia Polepole ili kujiunga CCM, siku nikifanikiwa kujiunga CCM, nitawajulisha kupitia uzi huu, na baada ya kujiunga rasmi CCM, ndipo nitastaafu na nitaaga rasmi kwa ku update uzi huu.
Paskali
Nashangaa kuona post ya paskalli wakati alidai Jana amestaafu undishi
PWanabodi,
sasa nikiisha jiunga rasmi CCM, automatically nitakuwa nimestaafu rasmi uandishi wa habari, utangazaji na pia nimestaafu rasmi jf.
Mungu Nisaidie.
Paskali
06:00 am
Update: 10:00 am
Saa 4:00 ndio hii, bado sijafanikiwa kumpata Polepole ili kujiunga CCM, hivyo mpaka sasa bado sijastaafu, na humu jf bado nipo nipo, sijaacha, naendelea kumfuatilia Polepole ili kujiunga CCM, siku nikifanikiwa kujiunga CCM, nitawajulisha kupitia uzi huu, na baada ya kujiunga rasmi CCM, ndipo nitastaafu na nitaaga rasmi kwa ku update uzi huu.
Paskali
PPR umeniacha mkuu unamaanisha Nini?1990-1995-RTD-External Service
1995-1998-DTV
1999-2003-TVT
2003-To Date- PPR
P