Safari njema kiwatengu

Safari njema kiwatengu

Namtakia safari njema huko aendako na Mungu amtangulie kwa kila hatua apigayo katika safari yake.

Hata mimi niko njiani nasafiri Mungu atuongoze salama atuepushie baya lolote lisitokee katika safari yetu

damu ya Yesu itufunike, malaika mlinzi atulinde, ibilisi ashindwe...... Kwa jina la Yesu wa Nazalet...

A M E N!!!!!!!!!

Safari njema , Mungu awatunze..
 
Poleni sana shansarie mkwe wangu
nimeshampata kwenye simu tutakutana huko huko kwenye mazishi
wewe je?
mama huyu mwanao sijui vipi anapagawa hadi kasahau kukwambia,amelia sana hadi majirani wakaja kunisaidia
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom