Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Mkwe wangu, mwenzio akinyolewa paka samli ili wembe uteleze,lol. Mi chichemi!
tembo si ng'ombe mkwe.
Mkwe wangu, mwenzio akinyolewa paka samli ili wembe uteleze,lol. Mi chichemi!
tembo si ng'ombe mkwe.
Ila nyati ni ng'ombe mkwe! Na nguruwe pori aka warthog nae ni kitimoto tu!
hivi simba ana uzito sawa na sisimizi?
Wana Jf Nimeanza safari mpya ya urafiki na mtu mmoja hivi,na natamani tufike mbali. Naomba maombi yenu katika hili ili lengo tunalokusudia liweze kutimia,kwani nimesaumizwa sna na naamin kuwa sitoweza kutendwa tena kama mwanzoni.......
This is serious i need your prays.
Nikiwa kama assistant wa spanish lady a.k.a Husninyo, napenda kuwasilisha ujumbe wa msingi sana kutoka kwa babu DC......kuwa usitoe tunda mpaka hapo mtakaposajiliwa, na bwana atakubariki zaidi!!! Amen.
Wana Jf Nimeanza safari mpya ya urafiki na mtu mmoja hivi,na natamani tufike mbali. Naomba maombi yenu katika hili ili lengo tunalokusudia liweze kutimia,kwani nimesaumizwa sna na naamin kuwa sitoweza kutendwa tena kama mwanzoni.......
This is serious i need your prays.
Nikiwa kama assistant wa spanish lady a.k.a Husninyo, napenda kuwasilisha ujumbe wa msingi sana kutoka kwa babu DC......kuwa usitoe tunda mpaka hapo mtakaposajiliwa, na bwana atakubariki zaidi!!! Amen.
saaaaaaafi sana kipipi. Kesho naomba uje home tupate lunch pamoja na kupanga mikakati ya kuokoa wajukuu wa babu DC. Usiniangushe.
Ushauri mzuri! Hata hivyo kwa nini usimshauri awe anampa tunda mdogo-mdogo kiasi cha mboga? Niulize kwa nini ? Sababu waweza wakatokea "Viwavijeshi" katikati wakazindua "Utepetunda" kabla ya mlengwa! Hatari ndiyo iko hapo!
Wazo zuri sana Husninyo, nimeilipokea kwa moyo wangu wote. Nitafika bila kukosa na wala sitokuangusha, niambie kuanzia muda gani niwe nimefika hapo! Babu DC kanambia hata nikikosa nauli atanipa!
Kwenye katiba yetu hakuna kitu kama hicho. Viwavijeshi wanapatikana kwenye maharage ya mbeya na sio kwa wajukuu wa babu DC!!!
E Bwana muumba wa rehema,mjalie huyu mja wako Eyetyna,apate haja ya moyo wake,e baba Mungu mwepushe na mafisadi wa mapenzi kina Fidel,TF,Aspirin,Kaizer,Rejao na wengine wote,E Baba msaidie mtumishi wako aone njia ya maongofu,aache kuiga tabia za umbea za kina Husn,SL,Smile na wengineo,e Baba mpe ujasiri wa Eliza wa Tegeta,busara na hekima za Faiza foxy,e baba toa mapepo yote aliyorushiwa na Bujibuji,mpe nguvu kiumbe wako asishawishiwe kuonja utamu uliotukuka wa Bishanga akaachika,Eimen!
E Bwana muumba wa rehema,mjalie huyu mja wako Eyetyna,apate haja ya moyo wake,e baba Mungu mwepushe na mafisadi wa mapenzi kina Fidel,TF,Aspirin,Kaizer,Rejao na wengine wote,E Baba msaidie mtumishi wako aone njia ya maongofu,aache kuiga tabia za umbea za kina Husn,SL,Smile na wengineo,e Baba mpe ujasiri wa Eliza wa Tegeta,busara na hekima za Faiza foxy,e baba toa mapepo yote aliyorushiwa na Bujibuji,mpe nguvu kiumbe wako asishawishiwe kuonja utamu uliotukuka wa Bishanga akaachika,Eimen!
Ee Baba unajua kabisa kuwa Bishanga hana mke,unajua kabisa kuwa wanawake wote wa mmu wamemkataa Bishanga,Ee Baba nakushukuru kwa kunijalia akaunti nene benki,nakushukuru Baba kwa kunijalia ma credit card ya nguvu mastercard,visa,american express yote yamejaa mihela Ee Baba nakushuru kwa kunijalia nyumba masaki,mercedes benz 600S,saa ya Rolex,Baba nijalie mtumishi wako Bishanga nipate nguvu za kupendwa na Mama Tulli ili hatimaye awe mke wangu wa kudumu,Baba unajua nampenda sana na uwezo wa kumnunulia rav4 ninao na kumpeleka vekesheni Hawaii pia. Ee Baba naahidi nikimpata sitam cheat kabisa.Naomba uniombe na mm jamaniiii....aii weweeeee
Dah hii sala nimeipenda BishangaE Bwana muumba wa rehema,mjalie huyu mja wako Eyetyna,apate haja ya moyo wake,e baba Mungu mwepushe na mafisadi wa mapenzi kina Fidel,TF,Aspirin,Kaizer,Rejao na wengine wote,E Baba msaidie mtumishi wako aone njia ya maongofu,aache kuiga tabia za umbea za kina Husn,SL,Smile na wengineo,e Baba mpe ujasiri wa Eliza wa Tegeta,busara na hekima za Faiza foxy,e baba toa mapepo yote aliyorushiwa na Bujibuji,mpe nguvu kiumbe wako asishawishiwe kuonja utamu uliotukuka wa Bishanga akaachika,Eimen!
Bila shaka mama t ataingia mikononi kwa hili ombi pia kwa kuwa amehitaji mwenyewe.Ee Baba unajua kabisa kuwa Bishanga hana mke,unajua kabisa kuwa wanawake wote wa mmu wamemkataa Bishanga,Ee Baba nakushukuru kwa kunijalia akaunti nene benki,nakushukuru Baba kwa kunijalia ma credit card ya nguvu mastercard,visa,american express yote yamejaa mihela Ee Baba nakushuru kwa kunijalia nyumba masaki,mercedes benz 600S,saa ya Rolex,Baba nijalie mtumishi wako Bishanga nipate nguvu za kupendwa na Mama Tulli ili hatimaye awe mke wangu wa kudumu,Baba unajua nampenda sana na uwezo wa kumnunulia rav4 ninao na kumpeleka vekesheni Hawaii pia. Ee Baba naahidi nikimpata sitam cheat kabisa.