yego chikaka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 616
- 238
Ndo yeye mkuu fikiria mzee wake nae angetumia ushawishi wake ktk chama akashinda kwa turufu ya akina mama wanaweza nae angemtumbua jamaa kwenye lile liboti lisilofanya kazi?Sorry guys; hivi huyu mama/dada ndiye aliyegombeaga urais kupitia ccm co!? And the name Malecela, linauhusiano wowote na the former PM!? I mean John Samuel Malecela!?