Safari Dar to Mwanza na Runx nitatoboa?

Safari Dar to Mwanza na Runx nitatoboa?

Sio rahisi, sio mzoefu.
Alianza safari saa tisa, saa tatu kasoro akawa moro. Saa tisa hii hawezikua kavuka Dodoma.
Unajipa moyo eeeh hahaa nipo Shinyanga nimeicha Nzega sio muda, nalala Shinyanga.......nimekula mikeka 2 ya chap chap
 
Nenda unafika.. tembea wastani wa speed 80 hadi 100. Zingatia vibao vya speed na Alama za barabarani, pia angalia upepo wa tairi zako, check oil engine level. Kabla hujaludi Dar itabidi umwage oil.
Asante sana, nipo shinyanga mkuu
 
Huna miwani ya kuendeshea gari usiku nunua ukifika mwanza inazuia spotlight za wazee wa masemi
Kumbe kuna miwani? Hebu nielekeze maana kuanzia Nzega nimepigwa taa sana hadi nawaza nikifika mwanza na mm nifunge ma spotlight
 
Daah mkuu umenikumbusha safari ya kutoka Dar-Tarime-Dar wiki mbili zilizopita nikiwa niliienjoy sana ile safari. Mi napenda kutembea usiku aisee

 

Attachments

  • 20250701_051039.mp4
    54.9 MB
Back
Top Bottom