Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 3,535
- 9,608
Okay okayOriginal, nipo morogoro naitafuta dodoma
Okay okayOriginal, nipo morogoro naitafuta dodoma
Mapumziko kikazi ndio mapumziko gani hayo Mkuu?Wazoefu wa Masafa marefu na vigari vidogo.
Wakuu ile RUNX mpya ya majuzi nataka niende nayo Mwanza kwa ajiri ya mapumziko kikazi, vipi nitatoboa nayo 1200 kilomita??
Umenikumbusha kuna dogo ameenda na boxer 125 hadi Arusha na akarudi nayo dsm 😀Inafika pikipiki ndio itakuwa gari, au kigari chako kimeo unajihami?
Mkuu unaanzaa mbaaali. Tushajua unamiliki Gari.Wazoefu wa Masafa marefu na vigari vidogo.
Wakuu ile RUNX mpya ya majuzi nataka niende nayo Mwanza kwa ajiri ya mapumziko kikazi, vipi nitatoboa nayo 1200 kilomita??
Nitatumia muda gani?
Speed natakiwa kutembelea ngapi?
Anyways
1.Tyre zote mpya
2. Service bado inadai 2000Km
3. Kila kitu kipo sawa
Ukiwa na gari ndogo, hakuna basi litasumbua.Ni 1zz au 2zz ?
Unafika vizuri saana kuwa makini tu usikimbizane na mabasi.
Kwa muda aliotoka, saiv atakua anamulikwa na jua machoni.-Zingatia alama za barabarani
-Usitumie kilevi cha aina yoyote
-Utakapohisi uchovu pumzika
-Epuka kula kula ovyo
-Epuka mwendokasi.
Nikutakie safari njema
Kumbe inaenda hairudi..Thanks chief, nimetoka saa 9 usiku sina mbio ni speed kawaida tu, nimetoka morogoro...hapa nimepumzika sehemu tu kwa muda then naendelea.....nikichoka kuna flatbed litabeba mimi nitadandia bus
Bon voyageNimeanza safari saa 9 usiku leo, nipo Morogoro, speed 80 -100Km/h sometimes
Sio rahisi, sio mzoefu.Kwa muda aliotoka, saiv atakua anamulikwa na jua machoni.
Bila shaka atakua maeneo ya singida.
Mapumziko kikazi ndio mapumziko gani hayo Mkuu?
Zinaenda IST kwanini hiyo isifike? Make shure unapumzika after km kadhaa ku cool off gariWazoefu wa Masafa marefu na vigari vidogo.
Wakuu ile RUNX mpya ya majuzi nataka niende nayo Mwanza kwa ajiri ya mapumziko kikazi, vipi nitatoboa nayo 1200 kilomita??
Nitatumia muda gani?
Speed natakiwa kutembelea ngapi?
Anyways
1.Tyre zote mpya
2. Service bado inadai 2000Km
3. Kila kitu kipo sawa
😄 🤣 😂 masaa 6 dar - moro?Sio rahisi, sio mzoefu.
Alianza safari saa tisa, saa tatu kasoro akawa moro. Saa tisa hii hawezikua kavuka Dodoma.
Itakuwa ameshafika pande hizoKwa muda aliotoka, saiv atakua anamulikwa na jua machoni.
Bila shaka atakua maeneo ya singida.