Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mbunge Saed Kubenea (CHADEMA) amesafirishwa leo kwa ndege kwenda mkoani Dodoma, kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge.
----------------------------
Mh. Kubenea amepelekwa Hospital ya bunge baada ya kamati kuona afya yake sio nzuri.
Kamati hiyo imesema Kubenea ataitwa tena kuhojiwa baada ya kujiridhisha kuwa afya yake imeimarika.
Ikumbukwe jana jeshi la polisi lilimtia nguvuni Mh. Kubenea akiwa hospital ya Aghakhan ambako alikuwa anapatiwa matibabu.
----------------------------
Mh. Kubenea amepelekwa Hospital ya bunge baada ya kamati kuona afya yake sio nzuri.
Kamati hiyo imesema Kubenea ataitwa tena kuhojiwa baada ya kujiridhisha kuwa afya yake imeimarika.
Ikumbukwe jana jeshi la polisi lilimtia nguvuni Mh. Kubenea akiwa hospital ya Aghakhan ambako alikuwa anapatiwa matibabu.