Mkambarani
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 287
- 251
Haya mambo ukiyafatilia sana utasikitika sana, inabidi kuwepo external force itakayo act upon the system kusudi kuchange the position of the system.
Hakustahili kuwa pale kama kiongozi wa bunge, kwa nchi wanazoheshimu utawala wa sheria huyu hata huo ubunge hakupaswa kuwa nao.Spika ni Mpumbavu
Angalizo popote utakapokuwepo hata kama ni juu ya mti ukiona nissani nyeupe karibu usishuke!Kweli sio uongo, ni mpumbavu!
Na akimaliza kuhojiwa akitaka kutoka ataulizwa unakwenda wapi? Akijibu naenda nyumbani kwangu Area D kupumzika, Ndugai atamwambia uje Dodoma kwa gharama zako mwenyewe. Watamrejesha Dar kwa escort kuhakikisha kafika mpaka Dar kwa ndege!Kodi zetu znatumiwa hovyo sana na hawa 'wazalendo' wetu
Mbunge Saed Kubenea (CHADEMA) amesafirishwa leo kwa ndege kwenda mkoani Dodoma, kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge.
View attachment 592073
MTU ASIE NA HATIA ...... yaani tayari ushatoa maamuzi katika jambo ambalo huna hakika naloMimi ndio maana nikinunua bidhaa sidai risiti,bora mwanakijiji mwenzangu mwenye duka atajirike kuliko nidai risiti serikali ipate kodi na kumsafirisha mtu asiye na hatia kisa tu spika ana chuki naye
Wakati huo huo kuna mtoto au mama Mja mzito anakufa kwa kukosa laki moja,serikali inasafirisha mtu kwa milioni tano!
TV zimejaa matangazo ya watu wenye magonjwa wanahitaji laki tano,serikali inachezea pesa kwenye mchezo ya kisiasa
alikolazwaAkitokea wapi?
Nimekupata!Angalizo popote utakapokuwepo hata kama ni juu ya mti ukiona nissani nyeupe karibu usishuke!
Mbunge Saed Kubenea (CHADEMA) amesafirishwa leo kwa ndege kwenda mkoani Dodoma, kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge.
View attachment 592073
Ha ha ha!Hao jamaa washenzi sana hawana maana wanakushusha kibabe si watu!Nimekupata!
Sitashuka.
Nyingine zinatumika hovyo Nairobi kwa watu kurundikana ili tu wafanye interview NTVKodi zetu znatumiwa hovyo sana na hawa 'wazalendo' wetu
Sheikh wangu Ramadhan Rajabu,hayo siyo maadili tuliyofundishwa,ungetumia lugha nzuri kuonesha kukasirishwa kwako ungeeleweka na wala usidanganyike kwamba neno MPUMBAVU siyo tusi.Hilo neno ni tusi ORIGINAL.Spika ni Mpumbavu