Sabuni hizi zinaongoza kuachanisha ndoa

Sabuni hizi zinaongoza kuachanisha ndoa

Sasa mzee sio lazima uoge na hzo maana unajua majanga yake
 
Hili ni somo la wachepukaji au? Kwani guest unafuata nin huku umeoa kama sielewi vile hebu ngoja nisubiri
 
Hata mie nimeogopa, tunajilaliaga zetu hata 1 day tu. Ujue kufurahia maisha ni mtazamo nimegundua, wengine sijui wanasubiri wawe mabilionea waende Hawaii?

nimelishangaa jibu lake nikadhani kuwa sisi tuna matatizo...............
ni mara nyingi tu tunaenda kulala hotel hapa hapa DAR, siyo lazima kusafiri
 
Hata mie nimeogopa, tunajilaliaga zetu hata 1 day tu. Ujue kufurahia maisha ni mtazamo nimegundua, wengine sijui wanasubiri wawe mabilionea waende Hawaii?
ha haaaaa, hayo pia ni mazoea......
kama hujazoea kwenda nje ya nyumbani wakati hampo mabilionea ndo mtatoka mkiwa hivyo?
wataishia kujiridhisha kujijengea maghorofa tu na kujiridhisha kulala kwenye maghorofa yao.........
 
Ukienda guest au hoteli yoyote hapa TZ unakuta sabuni hizi za EVA zimewekwa kwenye bafu la choo cha chumba ulichopanga..

Kwa kawaida ni adimu sana kuikuta inatumika nyumbani,hivo nadhani hata watengenezaji wa hizi sabuni wanajua kuwa soko lao kubwa ni nyumba za wageni..

SABUNI HIZI ZINA HARUFU SANA..
Wanawake wanazijua sana harufu za sabuni hizi na ikitokea umerud nyumbani na harufu yake una maswali magumu ya kujibu,.

Inavosemekana baadhi ya ndoa zimevunjika kwasababu ya harufu ya hizi sabuni..

Ni wakati mwafaka wa kampuni inayozitengeneza kuangalia kama kuna umuhimu wa kuweka harufu kali kwenye bidhaa yao hii..

Wasiozijua kwa jina picha hiyo hapo..
kitendea kaz ulkuanach kweli
 
The same sabuni tunaogea home the same unakuwa nayo pembeni!
 
Next time ukienda guest house kuchepuka nenda na sabuni yako badala ya kutumia hiyo ya nyumba ya michepuko AKA guest house.
 
Ukienda guest au hoteli yoyote hapa TZ unakuta sabuni hizi za EVA zimewekwa kwenye bafu la choo cha chumba ulichopanga..

Kwa kawaida ni adimu sana kuikuta inatumika nyumbani,hivo nadhani hata watengenezaji wa hizi sabuni wanajua kuwa soko lao kubwa ni nyumba za wageni..

SABUNI HIZI ZINA HARUFU SANA..
Wanawake wanazijua sana harufu za sabuni hizi na ikitokea umerud nyumbani na harufu yake una maswali magumu ya kujibu,.

Inavosemekana baadhi ya ndoa zimevunjika kwasababu ya harufu ya hizi sabuni..

Ni wakati mwafaka wa kampuni inayozitengeneza kuangalia kama kuna umuhimu wa kuweka harufu kali kwenye bidhaa yao hii..

Wasiozijua kwa jina picha hiyo hapo..

Ahahahahahahah yasahakukuta naona..
 
Back
Top Bottom