Sabufa za kichina kwanini ziko hivi!

Sabufa za kichina kwanini ziko hivi!

Duh, mm ninayo tangu 2006 hadi leo na haijawahi kuungua wala kusumbua. Zaidi ni zile cable zake ndizo huungua (zinayeyuka), nilitumia kwenye biashara sauti hufunguliwa hadi mwisho lakini wapi.....so huwa nahama nayo tu, Mara leo Dar, Mwz, Ars, Mby etc kama unahela nikuuzie laki 3....IPO Arusha now mm nipo Mwz. . Jamani mvua leo imenyesha ukanda wa Esther Bulaya hii ni neema!
 
Unaongelea spika noja moja? Kama ni audio system yenye spika zaidi ya moja iuzwe. kwa bei hiyo tena toka kampuni kubwa? Sijui!
K
Mfano audio system yenye subwoofer ya LG inayotumia bluetooth connection na dvd player niliuliza bei hapa Mbeya ilikuwa inauzwa 1.8 mil Tshs.
sony 600k unapata nzuri tu
 
pole sana mkuu ila kujibu swali lako ni kwamba zilitengenezwa ili zife mapema
 
Imekufaje kwa sauti kubwa? Umeifungua na umekuta resistor? au IC? imekuwa nyeusi.

Ngoja nikupe Ufafanuzi kiasi.
1. Hiyo SeaPiano ni multimedia speaker System ambayo inaweza kuwa 2.1 au 5.1 channel.
endapo ni ni 2.1 basi itakuwa na IC 3 na kama ni 5.1 basi itakuwa na IC 4 au 5 au 6 kutegemeana na ukubwa (Power in WATTS)

2. Mara nyingi kinachoungua ni IC (especially IC ya speaker kubwa -SUBWOOFER) na husababishwa na ufunguliaji wa sauti kubwa muda mrefu hivyo ina OVERHEAT.

3. Pia inaweza kuua Fuse ( kutokana na matatizo ya umeme) au inaweza kuua vyote Fuse na IC.

-----------------------------------------------------------------------

Kuhusu Ubora wa hizi bidhaa.
1.Zinatumia TRANSFOMER Powersupply (LINEAR PSU) na huwa HAZINA PROTECTION ya uhakika.
2. Cooling system zake hazitoshelezi kupooza joto la IC kwa matumizi makubwa.
3. IC za surrounding speaker ndio aina hiyo hiyo inatumika kwenye subwoofer speaker (sidhani kama huwa wanaconsider vigezo).
4. Zinakula umeme tena hata kama ipo standby.
Inaonekana we mtaalam.
Hongera.
 
spika moja tu, bluetooth speaker

jbl-flip-3-04.jpg
jbl mbna nyingi naona dola 200 had 300 kwa xtreme
 
Back
Top Bottom