mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,572
kama upo arusha nenda konny electronicsna mfano spea ymollel ya kitu kilichoungua naweza pata wap
kama upo arusha nenda konny electronicsna mfano spea ymollel ya kitu kilichoungua naweza pata wap
Mkuu nina dvd player ya sony.Habari Mkuu.
Je subwoofer yako imeshatengenezwa? Kama bado, je uko wapi?
Ni zipi hizo chiefbluetooth speaker nyingi za makampuni ya kuaminika zinauzwa chini ya laki 1, kuna tofauti sana kati yake na subwoofer?
We we unatumia zipiImekufaje kwa sauti kubwa? Umeifungua na umekuta resistor? au IC? imekuwa nyeusi.
Ngoja nikupe Ufafanuzi kiasi.
1. Hiyo SeaPiano ni multimedia speaker System ambayo inaweza kuwa 2.1 au 5.1 channel.
endapo ni ni 2.1 basi itakuwa na IC 3 na kama ni 5.1 basi itakuwa na IC 4 au 5 au 6 kutegemeana na ukubwa (Power in WATTS)
2. Mara nyingi kinachoungua ni IC (especially IC ya speaker kubwa -SUBWOOFER) na husababishwa na ufunguliaji wa sauti kubwa muda mrefu hivyo ina OVERHEAT.
3. Pia inaweza kuua Fuse ( kutokana na matatizo ya umeme) au inaweza kuua vyote Fuse na IC.
-----------------------------------------------------------------------
Kuhusu Ubora wa hizi bidhaa.
1.Zinatumia TRANSFOMER Powersupply (LINEAR PSU) na huwa HAZINA PROTECTION ya uhakika.
2. Cooling system zake hazitoshelezi kupooza joto la IC kwa matumizi makubwa.
3. IC za surrounding speaker ndio aina hiyo hiyo inatumika kwenye subwoofer speaker (sidhani kama huwa wanaconsider vigezo).
4. Zinakula umeme tena hata kama ipo standby.
Jibu muruaZinafanya kazi kutokana na bei yake
Bei please. .??spika moja tu, bluetooth speaker
![]()
bongo zipo za kichina tu 20,000 mpaka 30,000, za brand kubwa ni around 60,000 na kuendelea hadi ila sweet spot ni around 100,000 hadi 200,000Bei please. .??
Hizo a brand kubwa zinapatikana wapi kama bongo hazipo. ??bongo zipo za kichina tu 20,000 mpaka 30,000, za brand kubwa ni around 60,000 na kuendelea hadi ila sweet spot ni around 100,000 hadi 200,000
yupo mchina humu ndani ajibuSubwoofer nyingi za kichina hutengenezwa kwa component za low quality, na ndio maana hata bei zake ni za chini, hata utumizi wake wa umeme si mzuri. Nzuri zipo za hao hao wachina ila importers wengi ambao ni wabongo wanakimbilia vya rahisi kulingana na soko na vipato hafifu vya Watanzania wengi.
chief kwahiyo hizo naweza piga hata mziki wa kwenye simu yangu si ndiobongo zipo za kichina tu 20,000 mpaka 30,000, za brand kubwa ni around 60,000 na kuendelea hadi ila sweet spot ni around 100,000 hadi 200,000
chief kwahiyo hizo naweza piga hata mziki wa kwenye simu yangu si ndio
zinaweza kuwepo ila mimi sijaziona unaweza ukaangalia maduka makubwa mjiniHizo a brand kubwa zinapatikana wapi kama bongo hazipo. ??
eeh bwana jpili naenda kuibeba nimsikilize one republic na kids yake kwenye mziki mnene, sasa kama hiyo inatumia chaji au, maana sioni waya hapoyap unaweza zina bluetooth na nyengine zina usb kwa ajili ya flash, memory card etc