huo ni uhuni wa serikali wala hakuna kusema kunawimbi la form VI au graduate wengi mitaani. serikali dhaifu huzaa maamuzi dhaifu wasubiri 2015 kama watawaweka hao graduate waone nini kitatokea maana hawa hawanunuliki au hawahongeki
Kwahiyo mkuu unatakutuambia huwa walimu ununuliwa wakati wa UCHAGUZI?