bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,172
- 20,065
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imetangaza kuahirisha mchezo kati ya Simba SC dhidi ya Mtibwa Sugar uliopangwa kuchezwa Februari 18, 2024 katika dimba la Jamhuri Morogoro.
Kwa mujibu wa taarifa ya TPLB, sababu za kuahirishwa kwa mchezo huo ni kutoa fursa kwa Simba SC, kujiandaa na safari yake ya kwenda Ivory Coast kuivaa Asec Mimosas kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) utakaopigwa Februari 23, 2024.
Tarehe mpya ya mtanange huo, itatangazwa.
My take: kwani TFF walikua hawajui kuna mechi za CAF? Pili kutoka tarehe 18 hadi 23 hakutoshi kumuandaa na mechi? Tatu, Mtibwa watalazimika kuingia gharama za ziada baada ya mechi kusogezwa mbele hio hasara nani analipa?
Kwa mujibu wa taarifa ya TPLB, sababu za kuahirishwa kwa mchezo huo ni kutoa fursa kwa Simba SC, kujiandaa na safari yake ya kwenda Ivory Coast kuivaa Asec Mimosas kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) utakaopigwa Februari 23, 2024.
Tarehe mpya ya mtanange huo, itatangazwa.
My take: kwani TFF walikua hawajui kuna mechi za CAF? Pili kutoka tarehe 18 hadi 23 hakutoshi kumuandaa na mechi? Tatu, Mtibwa watalazimika kuingia gharama za ziada baada ya mechi kusogezwa mbele hio hasara nani analipa?