Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,130
- 1,940
Kanisa la Roma halina agenda yeyote ya ushoga ni maslahi ndiyo yanawatesa
Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata
Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki
Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali
Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana
Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali
Wanajiuliza je kama hawa mashoga wana hela kwanini tusifanye namna tukazipata
Nisawa na kusema mzinga ule wa nyuki una asali nyingi sana lakini una nyuki
Afadhali tuumwe nyuki lakini tupate ile asali
Kuumwa na nyuki kwao ni kashfa watakazopata kutoka ulimwenguni lakini tayari asali wameshaipata kwahiyo kwao haitawasumbua sana
Kwahiyo kanisa la Roma halibariki ushoga bali linajitahidi kuunganisha waumini wote kuwa kitu kimoja ili wanufaike kwa namna mbalimbali