themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,800
- 2,817
Yaani huu uzi umeniumiza maneno mnayoanza kutumia,kwaherini naona hapa si mahali kwangu tena,ulikuwa kwa ajili ya utani naona sasa matusi yanatawala.
amu usiondoke bhana mbona hakuna matusi ndo kwanzaaa shughuli imeanza