kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
duh!!...Wakati nipo Mzumbe kuna T.O kutoka mbeya alikuwa halali yule jamaa. Sasa hivi yupo New York anaendelea na masomo ya elimu ya juu.
duh!!...Wakati nipo Mzumbe kuna T.O kutoka mbeya alikuwa halali yule jamaa. Sasa hivi yupo New York anaendelea na masomo ya elimu ya juu.
hapo hataki kuonekana kilaza kwa HKL yake!Wewe Raynavero mimi pia EGM,humble imemuuma sana kuambiwa kasoma hkl,na kweli hiko kikomb ni cha failures,ya kuvutavuta kama vile ualimu ilivyokuwaga kote umekosa anaulizwa "hata ualimu pia amekosa?" japo sikatai kuna wanaosomea hobby ila wengi ndo hali zinakuwa tia maji tia maji
we soma tu lasaba La mkoloniMm la saba msoma comment sina team
wazee wa tmt kwa ontario hao wanajuana vizuri sisi wengine acha tuwe watazamajiRaynavero huu uzi ni mtamu kwa tunaowaelewa humble na engineer wameanzia wapi,wanatuburudisha maana hawa wana maneno sana ya shombo ya tambo kama Haji Manara na Jerry Muro ila itakula kwa humble alivyosema mat.o bora angemtaja mtani wake wa jadi tu engineer,wafia elimu hawatomuelewa,hata minsingewajua pia nisingemuelewa Humble African.
Mkuu don't take it so serious...mimi na huyu bwana tunajuana vizuri tangu kwenye magroup ya WhatsApp ya Forex.Mazee unachekelea suala la watu kupata depression na kujimaliza kwa suicide?
Ndio sababu hii topic iko chit chart na sio majukwaa mingine serious mkuu. Relax Kaparo .Aiseee...
Imebidi ni comment.
Humble African
Naona umekiuka mojawapo ya 5 virtues.
Kama ni chit-chat it's okay!
@amu ukiweka space hapo katikati kwenye hilo jina kama hivi Humble African utakuwa umefanikiwa kutag mtu mwenye majina mawili la baba yake na mama yake yaani.@Humbleafrican
Anaitwa Gwamaka .....duh!!...
Yule jamaa boya sana. Eti nilikua naongelea uhalisia wa maisha yao bila kumtaja akanitolea povuAhahaahaaaaa mkuu ndo umeamua kujibu mapigo baada ya kuambiwa wewe ni mwana HKL
Maelezo kama haya yako yanaproves namna ulivyo na akili timamu kumzidi engineer mjinga asiejua kujieleza na kutetea hoja zake zaidi ya kutukana watu hovyo. Sometimes huwa nasita kuamini kama huyu boya ni engineer kweli... Yaani ni mjinga hadi akili zake ababebewa na kinyozi.Wewe Raynavero mimi pia EGM,humble imemuuma sana kuambiwa kasoma hkl,na kweli hiko kikomb ni cha failures,ya kuvutavuta kama vile ualimu ilivyokuwaga kote umekosa anaulizwa "hata ualimu pia amekosa?" japo sikatai kuna wanaosomea hobby ila wengi ndo hali zinakuwa tia maji tia maji
Ah ah ah ah ahCCNP Engineer Humble African anakuita huku....
Ifike mahali kila mmoja kati yenu aweke screenshot ya salio bank maana mpambano huu hautoisha bila mmoja wenu kukubali kushindwa.....
Nahisi salio la account lipanguza makali.....