Sababu za kwa nini CCM itaanguka kwenye uchaguzi wa 2025

Tusahau kuiondoa ccm kwa katiba na tume hii.

Kwa katiba hii rais ni kama Mungu wa watanzania, anaamua na kufanya atakacho
 
Kwanza ieleweke 2025 chama cha mapinduzi kina nafasi kubwa ya kuanguka kwenye uchaguzi mkuu. Endapo kama mama sa100 ndo atapewa nafasi ya kupeperusha bendara ya CCM kazi itakuwa nyepesi sana ya kuanguka kwa sababu zifuatazo;

  • ufisadi kutamalaki chini ya uongozi wake, hapa hata hutakiwi kupepesa macho kuona ufisadi ulivyotamalaki kwenye uongozi huu. Rejea ripoti ya CIG
  • Uzanzibar wake. Huyu mama kaonesha wazi kupendelea Zanzibar kwenye teuzi hata mambo yasioya muungano kaweka ndugu zake wa Zanzibar. Mikopo na pesa nyingi inaelekezwa Zanzibar huku wanaolipia gharama hizo ni watanganyika.
  • Mama kuongoza kampeni ya kuuza mapande ya ardhi ya watanganyika kwa ndugu zake wa uarabuni huku wazawa wakiamishwa kama misukule cheki sakata La Loliondo, DP world n.k
  • Ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya vitu muhimu kama chakula, usafiri. Hapa serikali ya awamu ya 6 imechemka vibaya, vitu muhimu havishikiki sokoni. Chakula bei juu, usafiri bei juu, bill za DAWASA NA TANESCO bei juu kils kitu bei juu kinachofanya maisha ya wananchi kuendelea kuwa magumu. Wananchi wanajihoji au kwa kuwa viongozi hao wanakuta misosi mezani, mafuta na magari bure ndo maana wanashindwa kumpunguzia mzigo hii wananchi??
  • mfumo dume, bado watanzania wengi hawaamini katika mfumo jike kuongoza kwa nafasi kubwa kama mkuu wa nchi. Hivyo wengi wanaona mama samia bado hatoshi kupambana kama rais wa nchi. Ukitaka kuamini hili hata ukiuliza akina mama wa mtaani kuhusu samia wengi wanadai hawaoni anachokifanya, akina mama wao wanamlalamikia juu ya kupanda kwa bei masokoni bila tamko la kudhibiti na bei zikatembea vizuri.
  • makundi ndani ya CCM, ndani ya CCM kumeibuka makundi hatari hasa baada ya kifo cha Magufuli. Kundi la kwanza SUKUMA GANG kundi linalojitanabaisha kwa kupinga ufisadi na kudumisha uzalendo kwa nchi huku likituumu kundi lingine na kuliita MSOGA GANG watu wazuri hawafi, walamba asali, wazee wa kutumia neema na fursa za nchi kwa maslahi yao binafsi na watoto wao. Sasa haya makundi yameshalelewa na hivyo yanaendelea kutopendana ndani kwa ndani chamani. Na siasa zao wanazicheza kwa siri sana.
  • uelewa wa wananchi umeongezeka sana, so zile zama za siasa nyepesi za vipande vya kanga na kofia zinaisha muda wake. Watanzania wengi sasa hivi wanajielewa, vijana wengi wamesoma hawana ajira hivyo wakiulizwa na wazazi na ndugu zao huko vijijini sababu ya kutoajiriwa kwao wanawaelimisha wazazi wao huko vijijini kwamba ni kwa sababu ya ufisadi wa ccm na kuwapa ajira watoto wao. Hiyo inakaa kichwani kwa wananchi hivyo wanasubiri 2025
  • wasifiaji au machawa kwa kufupi hawa ni wanafiki wanasifia machoni huku rohoni wana husda. Hawawezi kusema ukweli juu ya uhalisia wa mambo hivyo mwisho wa siku Ccm itajikuta majimbo mengi wabunge wa upinzani watachukua
bureti na mbili na namba tatu ni bomu la hatari kwa CCM kama wakipata mpinzani mwenye kujielewe na kama kuna tume huru CCM yangu haichomoki hapa.CCM inaitaji kujichunguza na kujirekebisha haraka sana kama inataka kuwepo madarakani 2025 bila ubabe.
 
Kwanza ieleweke 2025 chama cha mapinduzi kina nafasi kubwa ya kuanguka kwenye uchaguzi mkuu. Endapo kama mama sa100 ndo atapewa nafasi ya kupeperusha bendara ya CCM kazi itakuwa nyepesi sana ya kuanguka kwa sababu zifuatazo;

  • ufisadi kutamalaki chini ya uongozi wake, hapa hata hutakiwi kupepesa macho kuona ufisadi ulivyotamalaki kwenye uongozi huu. Rejea ripoti ya CIG
  • Uzanzibar wake. Huyu mama kaonesha wazi kupendelea Zanzibar kwenye teuzi hata mambo yasioya muungano kaweka ndugu zake wa Zanzibar. Mikopo na pesa nyingi inaelekezwa Zanzibar huku wanaolipia gharama hizo ni watanganyika.
  • Mama kuongoza kampeni ya kuuza mapande ya ardhi ya watanganyika kwa ndugu zake wa uarabuni huku wazawa wakiamishwa kama misukule cheki sakata La Loliondo, DP world n.k
  • Ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya vitu muhimu kama chakula, usafiri. Hapa serikali ya awamu ya 6 imechemka vibaya, vitu muhimu havishikiki sokoni. Chakula bei juu, usafiri bei juu, bill za DAWASA NA TANESCO bei juu kils kitu bei juu kinachofanya maisha ya wananchi kuendelea kuwa magumu. Wananchi wanajihoji au kwa kuwa viongozi hao wanakuta misosi mezani, mafuta na magari bure ndo maana wanashindwa kumpunguzia mzigo hii wananchi??
  • mfumo dume, bado watanzania wengi hawaamini katika mfumo jike kuongoza kwa nafasi kubwa kama mkuu wa nchi. Hivyo wengi wanaona mama samia bado hatoshi kupambana kama rais wa nchi. Ukitaka kuamini hili hata ukiuliza akina mama wa mtaani kuhusu samia wengi wanadai hawaoni anachokifanya, akina mama wao wanamlalamikia juu ya kupanda kwa bei masokoni bila tamko la kudhibiti na bei zikatembea vizuri.
  • makundi ndani ya CCM, ndani ya CCM kumeibuka makundi hatari hasa baada ya kifo cha Magufuli. Kundi la kwanza SUKUMA GANG kundi linalojitanabaisha kwa kupinga ufisadi na kudumisha uzalendo kwa nchi huku likituumu kundi lingine na kuliita MSOGA GANG watu wazuri hawafi, walamba asali, wazee wa kutumia neema na fursa za nchi kwa maslahi yao binafsi na watoto wao. Sasa haya makundi yameshalelewa na hivyo yanaendelea kutopendana ndani kwa ndani chamani. Na siasa zao wanazicheza kwa siri sana.
  • uelewa wa wananchi umeongezeka sana, so zile zama za siasa nyepesi za vipande vya kanga na kofia zinaisha muda wake. Watanzania wengi sasa hivi wanajielewa, vijana wengi wamesoma hawana ajira hivyo wakiulizwa na wazazi na ndugu zao huko vijijini sababu ya kutoajiriwa kwao wanawaelimisha wazazi wao huko vijijini kwamba ni kwa sababu ya ufisadi wa ccm na kuwapa ajira watoto wao. Hiyo inakaa kichwani kwa wananchi hivyo wanasubiri 2025
  • wasifiaji au machawa kwa kufupi hawa ni wanafiki wanasifia machoni huku rohoni wana husda. Hawawezi kusema ukweli juu ya uhalisia wa mambo hivyo mwisho wa siku Ccm itajikuta majimbo mengi wabunge wa upinzani watachukua
Haya ni matamanio.

Yanaweza kuwa matamanio ya wengi.

Lakini ni kama Dua, Dua la kuku... Dua la kuku kwa mwewe..


Uchaguzi bado una changamoto.

Mchakato ukibadilishwa nitakuwa na Imani na hiyo ndoto.
 
Ni aibu sana kwa watu ambao wanaishi kwa kodi zetu ktk maisha yao yote ikiwa ni pamoja na kutibiwa nje ya nchi, kupima afya nje, kulipwa mafao manono, magari makali, madereva, walinzi, wapambe na bado mtu unaliingiza Taifa hilohilo ktk mikataba ya kihuni kabisa na hasara kubwa bila hofu ya Mungu. laana kubwa sana kwao, famiilia, wajukuu, vitukuu hadi kizazi zha kumi!
 
Kwanza ieleweke 2025 chama cha mapinduzi kina nafasi kubwa ya kuanguka kwenye uchaguzi mkuu. Endapo kama mama sa100 ndo atapewa nafasi ya kupeperusha bendara ya CCM kazi itakuwa nyepesi sana ya kuanguka kwa sababu zifuatazo;

  • ufisadi kutamalaki chini ya uongozi wake, hapa hata hutakiwi kupepesa macho kuona ufisadi ulivyotamalaki kwenye uongozi huu. Rejea ripoti ya CIG
  • Uzanzibar wake. Huyu mama kaonesha wazi kupendelea Zanzibar kwenye teuzi hata mambo yasioya muungano kaweka ndugu zake wa Zanzibar. Mikopo na pesa nyingi inaelekezwa Zanzibar huku wanaolipia gharama hizo ni watanganyika.
  • Mama kuongoza kampeni ya kuuza mapande ya ardhi ya watanganyika kwa ndugu zake wa uarabuni huku wazawa wakiamishwa kama misukule cheki sakata La Loliondo, DP world n.k
  • Ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya vitu muhimu kama chakula, usafiri. Hapa serikali ya awamu ya 6 imechemka vibaya, vitu muhimu havishikiki sokoni. Chakula bei juu, usafiri bei juu, bill za DAWASA NA TANESCO bei juu kils kitu bei juu kinachofanya maisha ya wananchi kuendelea kuwa magumu. Wananchi wanajihoji au kwa kuwa viongozi hao wanakuta misosi mezani, mafuta na magari bure ndo maana wanashindwa kumpunguzia mzigo hii wananchi??
  • mfumo dume, bado watanzania wengi hawaamini katika mfumo jike kuongoza kwa nafasi kubwa kama mkuu wa nchi. Hivyo wengi wanaona mama samia bado hatoshi kupambana kama rais wa nchi. Ukitaka kuamini hili hata ukiuliza akina mama wa mtaani kuhusu samia wengi wanadai hawaoni anachokifanya, akina mama wao wanamlalamikia juu ya kupanda kwa bei masokoni bila tamko la kudhibiti na bei zikatembea vizuri.
  • makundi ndani ya CCM, ndani ya CCM kumeibuka makundi hatari hasa baada ya kifo cha Magufuli. Kundi la kwanza SUKUMA GANG kundi linalojitanabaisha kwa kupinga ufisadi na kudumisha uzalendo kwa nchi huku likituumu kundi lingine na kuliita MSOGA GANG watu wazuri hawafi, walamba asali, wazee wa kutumia neema na fursa za nchi kwa maslahi yao binafsi na watoto wao. Sasa haya makundi yameshalelewa na hivyo yanaendelea kutopendana ndani kwa ndani chamani. Na siasa zao wanazicheza kwa siri sana.
  • uelewa wa wananchi umeongezeka sana, so zile zama za siasa nyepesi za vipande vya kanga na kofia zinaisha muda wake. Watanzania wengi sasa hivi wanajielewa, vijana wengi wamesoma hawana ajira hivyo wakiulizwa na wazazi na ndugu zao huko vijijini sababu ya kutoajiriwa kwao wanawaelimisha wazazi wao huko vijijini kwamba ni kwa sababu ya ufisadi wa ccm na kuwapa ajira watoto wao. Hiyo inakaa kichwani kwa wananchi hivyo wanasubiri 2025
  • wasifiaji au machawa kwa kufupi hawa ni wanafiki wanasifia machoni huku rohoni wana husda. Hawawezi kusema ukweli juu ya uhalisia wa mambo hivyo mwisho wa siku Ccm itajikuta majimbo mengi wabunge wa upinzani watachukua
Ccm inaamini kuwa mfumo wa watu kujua kusoma na kuandika tu bado unafanya kazi kumbe umepitwa na wakati.

2. Wengi wamegundua sababu za mama kuuza mali za familia baada ya baba kufariki- hili limeonekana.

3. Wengi wamegundua kuwa baada ya baba kufariki nyumba inasimamiwa na mama na inaongozwa na baba wa kambo.

4. Awamu ya pili na ya sita zimefanana na zina matatizo makubwa
 
Uchaguzi huwa wanaiba kura, kikubwa tunachotaka, vipengele vya mkataba vinavyoiuza Tanganyika viondolewe
 
Shida sio nani atashinda shida nani anaweza simama huko kwenye upinzani na aka fit
 
Kitendo cha kupewa uhuru wa kuikosoa Serikali hadharani bila hofu yoyote ni credit kubwa sana kwa Mama yetu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa ni Rais bora kuliko mtangulizi wake na 2025 atashinda kwa kishindo kikubwa. Jiulize mtoa post enzi za Jiwe ungeandika huu upuuzi wako?
 
Atashinda maana wapinzani wakabila na wabaguzi .

Labda kije chama kipya chini ya slogan ya Magufuli.
 
Kwanza ieleweke 2025 chama cha mapinduzi kina nafasi kubwa ya kuanguka kwenye uchaguzi mkuu. Endapo kama mama sa100 ndo atapewa nafasi ya kupeperusha bendara ya CCM kazi itakuwa nyepesi sana ya kuanguka kwa sababu zifuatazo;

  • ufisadi kutamalaki chini ya uongozi wake, hapa hata hutakiwi kupepesa macho kuona ufisadi ulivyotamalaki kwenye uongozi huu. Rejea ripoti ya CIG
  • Uzanzibar wake. Huyu mama kaonesha wazi kupendelea Zanzibar kwenye teuzi hata mambo yasioya muungano kaweka ndugu zake wa Zanzibar. Mikopo na pesa nyingi inaelekezwa Zanzibar huku wanaolipia gharama hizo ni watanganyika.
  • Mama kuongoza kampeni ya kuuza mapande ya ardhi ya watanganyika kwa ndugu zake wa uarabuni huku wazawa wakiamishwa kama misukule cheki sakata La Loliondo, DP world n.k
  • Ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya vitu muhimu kama chakula, usafiri. Hapa serikali ya awamu ya 6 imechemka vibaya, vitu muhimu havishikiki sokoni. Chakula bei juu, usafiri bei juu, bill za DAWASA NA TANESCO bei juu kils kitu bei juu kinachofanya maisha ya wananchi kuendelea kuwa magumu. Wananchi wanajihoji au kwa kuwa viongozi hao wanakuta misosi mezani, mafuta na magari bure ndo maana wanashindwa kumpunguzia mzigo hii wananchi??
  • mfumo dume, bado watanzania wengi hawaamini katika mfumo jike kuongoza kwa nafasi kubwa kama mkuu wa nchi. Hivyo wengi wanaona mama samia bado hatoshi kupambana kama rais wa nchi. Ukitaka kuamini hili hata ukiuliza akina mama wa mtaani kuhusu samia wengi wanadai hawaoni anachokifanya, akina mama wao wanamlalamikia juu ya kupanda kwa bei masokoni bila tamko la kudhibiti na bei zikatembea vizuri.
  • makundi ndani ya CCM, ndani ya CCM kumeibuka makundi hatari hasa baada ya kifo cha Magufuli. Kundi la kwanza SUKUMA GANG kundi linalojitanabaisha kwa kupinga ufisadi na kudumisha uzalendo kwa nchi huku likituumu kundi lingine na kuliita MSOGA GANG watu wazuri hawafi, walamba asali, wazee wa kutumia neema na fursa za nchi kwa maslahi yao binafsi na watoto wao. Sasa haya makundi yameshalelewa na hivyo yanaendelea kutopendana ndani kwa ndani chamani. Na siasa zao wanazicheza kwa siri sana.
  • uelewa wa wananchi umeongezeka sana, so zile zama za siasa nyepesi za vipande vya kanga na kofia zinaisha muda wake. Watanzania wengi sasa hivi wanajielewa, vijana wengi wamesoma hawana ajira hivyo wakiulizwa na wazazi na ndugu zao huko vijijini sababu ya kutoajiriwa kwao wanawaelimisha wazazi wao huko vijijini kwamba ni kwa sababu ya ufisadi wa ccm na kuwapa ajira watoto wao. Hiyo inakaa kichwani kwa wananchi hivyo wanasubiri 2025
  • wasifiaji au machawa kwa kufupi hawa ni wanafiki wanasifia machoni huku rohoni wana husda. Hawawezi kusema ukweli juu ya uhalisia wa mambo hivyo mwisho wa siku Ccm itajikuta majimbo mengi wabunge wa upinzani watachukua
Kushindwa kutafuta muwekezaji kwenye kiwanja cha ndege cha chato tupate ndege nyingi.

Kushindwa kutafuta muwekezaji kwenye mbuga za wanya za Buligi tupate watalii wengi.

Kushindwa kutafuta muwekezaji kwenye mahakama zetu ili kupunguza kesi au kuzimaliza kabisa.
 
Kwanza ieleweke 2025 chama cha mapinduzi kina nafasi kubwa ya kuanguka kwenye uchaguzi mkuu. Endapo kama mama sa100 ndo atapewa nafasi ya kupeperusha bendara ya CCM kazi itakuwa nyepesi sana ya kuanguka kwa sababu zifuatazo;

  • ufisadi kutamalaki chini ya uongozi wake, hapa hata hutakiwi kupepesa macho kuona ufisadi ulivyotamalaki kwenye uongozi huu. Rejea ripoti ya CIG
  • Uzanzibar wake. Huyu mama kaonesha wazi kupendelea Zanzibar kwenye teuzi hata mambo yasioya muungano kaweka ndugu zake wa Zanzibar. Mikopo na pesa nyingi inaelekezwa Zanzibar huku wanaolipia gharama hizo ni watanganyika.
  • Mama kuongoza kampeni ya kuuza mapande ya ardhi ya watanganyika kwa ndugu zake wa uarabuni huku wazawa wakiamishwa kama misukule cheki sakata La Loliondo, DP world n.k
  • Ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya vitu muhimu kama chakula, usafiri. Hapa serikali ya awamu ya 6 imechemka vibaya, vitu muhimu havishikiki sokoni. Chakula bei juu, usafiri bei juu, bill za DAWASA NA TANESCO bei juu kils kitu bei juu kinachofanya maisha ya wananchi kuendelea kuwa magumu. Wananchi wanajihoji au kwa kuwa viongozi hao wanakuta misosi mezani, mafuta na magari bure ndo maana wanashindwa kumpunguzia mzigo hii wananchi??
  • mfumo dume, bado watanzania wengi hawaamini katika mfumo jike kuongoza kwa nafasi kubwa kama mkuu wa nchi. Hivyo wengi wanaona mama samia bado hatoshi kupambana kama rais wa nchi. Ukitaka kuamini hili hata ukiuliza akina mama wa mtaani kuhusu samia wengi wanadai hawaoni anachokifanya, akina mama wao wanamlalamikia juu ya kupanda kwa bei masokoni bila tamko la kudhibiti na bei zikatembea vizuri.
  • makundi ndani ya CCM, ndani ya CCM kumeibuka makundi hatari hasa baada ya kifo cha Magufuli. Kundi la kwanza SUKUMA GANG kundi linalojitanabaisha kwa kupinga ufisadi na kudumisha uzalendo kwa nchi huku likituumu kundi lingine na kuliita MSOGA GANG watu wazuri hawafi, walamba asali, wazee wa kutumia neema na fursa za nchi kwa maslahi yao binafsi na watoto wao. Sasa haya makundi yameshalelewa na hivyo yanaendelea kutopendana ndani kwa ndani chamani. Na siasa zao wanazicheza kwa siri sana.
  • uelewa wa wananchi umeongezeka sana, so zile zama za siasa nyepesi za vipande vya kanga na kofia zinaisha muda wake. Watanzania wengi sasa hivi wanajielewa, vijana wengi wamesoma hawana ajira hivyo wakiulizwa na wazazi na ndugu zao huko vijijini sababu ya kutoajiriwa kwao wanawaelimisha wazazi wao huko vijijini kwamba ni kwa sababu ya ufisadi wa ccm na kuwapa ajira watoto wao. Hiyo inakaa kichwani kwa wananchi hivyo wanasubiri 2025
  • wasifiaji au machawa kwa kufupi hawa ni wanafiki wanasifia machoni huku rohoni wana husda. Hawawezi kusema ukweli juu ya uhalisia wa mambo hivyo mwisho wa siku Ccm itajikuta majimbo mengi wabunge wa upinzani watachukua
Kwa Katiba na NEC hii CCM itatangazwa imeshinda hata ikikataliwa kwa 100%
JamiiForums-93732544.jpg
IMG-20230406-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom