Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Za chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la Chawa
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la Chawa
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..