Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,866
Wasaidizi wa Mwenyekiti Wetu Wa Chama Taifa na Rais wapo busy kuandaa matamasha wao kwa wao kumpongeza na kumchukulia fomu moja,Ajabu ni kwamba huku mtaani Kiongozi wetu ushawishi wake unashuka kwa kiwango kikubwa sana.
Maisha magumu
Hakuna umeme
Hakuna maji ya bomba
Mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali ni mkubwa sana
Mgombea wa CCM hana haja ya kufanya kampeni kwani utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 ndio inatakiwa kuongea kwa niaba ya Wagombea wa CCM wakati wa uchaguzi.
-Wa Tanganyika yupo safarini,Wa Zanzibar yupo field.
Nikiangazia utendaji kazi kwa mujibu wa ilani wa Zanzibar yupo field mwenyewe anafika kila kona ila huyu wa Tanganyika anafanya kazi na kuongea na wananchi kwa kutumia simu,kwa ufupi wa Zanzibar yupo FIELD
Huyu wa Tanganyika yupo safarini muda mwingi na kwenye ceremonial activities tu mitaani kwa Wananchi haonekani.
Mambo yafuatayo yatamgombanisha Rais na wananchi.
1. Mambo ambayo wananchi wanajua yanawezekana kutatuliwa halafu hayatatuliwi.
2. Wateule wake kujikita na mambo ya uchaguzi 2025 wakati Kuna vitu vingi havipo sawa kwa wananchi.
PRACTICALLY
1. Watumishi wa serikali wanapaswa kujikita Kuhudumia wananchi.
2. Watendaji wa chama wajikite kuimarisha chama.
Hapa kwetu watumishi wa serikali nao wanajikita kwenye maandalizi ya uchaguzi.
It's awkward
Maisha magumu
Hakuna umeme
Hakuna maji ya bomba
Mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali ni mkubwa sana
Mgombea wa CCM hana haja ya kufanya kampeni kwani utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 ndio inatakiwa kuongea kwa niaba ya Wagombea wa CCM wakati wa uchaguzi.
-Wa Tanganyika yupo safarini,Wa Zanzibar yupo field.
Nikiangazia utendaji kazi kwa mujibu wa ilani wa Zanzibar yupo field mwenyewe anafika kila kona ila huyu wa Tanganyika anafanya kazi na kuongea na wananchi kwa kutumia simu,kwa ufupi wa Zanzibar yupo FIELD
Huyu wa Tanganyika yupo safarini muda mwingi na kwenye ceremonial activities tu mitaani kwa Wananchi haonekani.
Mambo yafuatayo yatamgombanisha Rais na wananchi.
1. Mambo ambayo wananchi wanajua yanawezekana kutatuliwa halafu hayatatuliwi.
2. Wateule wake kujikita na mambo ya uchaguzi 2025 wakati Kuna vitu vingi havipo sawa kwa wananchi.
PRACTICALLY
1. Watumishi wa serikali wanapaswa kujikita Kuhudumia wananchi.
2. Watendaji wa chama wajikite kuimarisha chama.
Hapa kwetu watumishi wa serikali nao wanajikita kwenye maandalizi ya uchaguzi.
It's awkward