kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
kwa jinsi zoezi linavyoendelea , napata shak kama takwimu kwenye madodoso zintakuwa sahihi.Pia takwimu ya idadi ya watanzania na shaka kama itakuwa sahihi.Udini uliochochewa na unaoendelea kuchochewa na baadhi ya Wanasiasa kwa faida yao wenyewe..Hili CCM hatutalikwepa maana tumekuwa tukifikiria ni mtaji kumbe ni janga la taifa kipindi kifupi kijacho!!!