Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
1. Mgomo wa walimu, wametumia walimu waliogoma na wameenda kupata pesa tu na sio sensa
2. Serikali kandamizi, ingeweza kuongea na waislamu wakakubaliana. mabavu sio suluhu
3. Mgawanyiko wa wanajamii, raia wengi hawaiamini serikali
4. Ahadi nyingi walizoahidiwa hazijatekelezwa iweje leo uwaambie sensa itawasaidia
wadau zoezi limefeli ongezeeni sababu hapo chini za kufeli kwa hili zoezi.
2. Serikali kandamizi, ingeweza kuongea na waislamu wakakubaliana. mabavu sio suluhu
3. Mgawanyiko wa wanajamii, raia wengi hawaiamini serikali
4. Ahadi nyingi walizoahidiwa hazijatekelezwa iweje leo uwaambie sensa itawasaidia
wadau zoezi limefeli ongezeeni sababu hapo chini za kufeli kwa hili zoezi.