Sababu ya Man Utd kubebwa hii hapa

Sababu ya Man Utd kubebwa hii hapa

Huwezi kupata mafanikio ukiwa na wachezaji kama kina Carol,Henderson,Downing,Alen,Caragher na makocha dizain ya Daglish,Hoodgson au Rodgers kwenye soka la ushindani kama EPL.

Hii ni sababu moja na naikiri ni kubwa sana, anayejua mpira hawezi kukataa. Ila chukua muda utanielewa nachokisema. Ila kwa taarifa yako, Rodgers ni bonge la kocha, hana wachezaji tu.
 
Hii ni sababu moja na naikiri ni kubwa sana, anayejua mpira hawezi kukataa. Ila chukua muda utanielewa nachokisema. Ila kwa taarifa yako, Rodgers ni bonge la kocha, hana wachezaji tu.

Sasa kama tatizo lenu unalijua, kwamba hamna wachezaji haya makelele yote ya kuilaumu Man Utd na Gill yanatoka wapi?
Sajilini wachezaji wa kiwango cha Dunia halafu uone kama hamtachukua ubingwa wa EPL.

Hii tabia ya kuendekeza ushabiki maandazi wa simba na yanga hapa kwetu tunataka kulazimisha kwamba na Uingereza ndivyo ilivyo. Ndio maana unajaribu kufananisha FA ya uingereza na TFF. Kwakuwa hapa kwetu TFF ndio inaendesha ligi kuu pamoja na kupanga marefa unadhani na Uingereza ndivyo ilivyo.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Sasa kama tatizo lenu unalijua, kwamba hamna wachezaji haya makelele yote ya kuilaumu Man Utd na Gill yanatoka wapi?
Sajilini wachezaji wa kiwango cha Dunia halafu uone kama hamtachukua ubingwa wa EPL.

Hii tabia ya kuendekeza ushabiki maandazi wa simba na yanga hapa kwetu tunataka kulazimisha kwamba na Uingereza ndivyo ilivyo. Ndio maana unajaribu kufananisha FA ya uingereza na TFF. Kwakuwa hapa kwetu TFF ndio inaendesha ligi kuu pamoja na kupanga marefa unadhani na Uingereza ndivyo ilivyo.

Kuongea na watu vilaza kama nyie msiojua mpira ni shida sana, unaongea sana huna facts. Unasemaje FA hawahusiki na ligi kuu ya uingereza, we umekariri nini? Ukisikia hawaendeshi ligi unaelewa hawahusiki nayo kabisa. Hebu angalia mfano wa jana tu huu hapa na uache kuongea maneno mengi. Mi na wewe sijui nani shabiki maandazi !! Na EMT aone huu mfano hapa.

Meanwhile, the FA launched a formal probe into Chelsea's complaint.
A statement said: "'The FA has begun an investigation relating to allegations made following Sunday's fixture at Stamford Bridge between Chelsea and Manchester United.(hii mechi sio ya premier league???)
"The FA will make no further comment at this time."
The FA will now speak to Clattenburg, his assistants Michael McDonough
and Simon Long and fourth official Michael Jones.(hawa marefa siyo wa PGMOB???!!)

They are also set to make fresh contact with Chelsea, to ask for their version of events........
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kuongea na watu vilaza kama nyie msiojua mpira ni shida sana, unaongea sana huna facts. Unasemaje FA hawahusiki na ligi kuu ya uingereza, we umekariri nini? Ukisikia hawaendeshi ligi unaelewa hawahusiki nayo kabisa. Hebu angalia mfano wa jana tu huu hapa na uache kuongea maneno mengi. Mi na wewe sijui nani shabiki maandazi !! Na EMT aone huu mfano hapa.

Meanwhile, the FA launched a formal probe into Chelsea's complaint.
A statement said: "'The FA has begun an investigation relating to allegations made following Sunday's fixture at Stamford Bridge between Chelsea and Manchester United.(hii mechi sio ya premier league???)
"The FA will make no further comment at this time."
The FA will now speak to Clattenburg, his assistants Michael McDonough
and Simon Long and fourth official Michael Jones.(hawa marefa siyo wa PGMOB???!!)

They are also set to make fresh contact with Chelsea, to ask for their version of events........

Kama maelezo haya ya EMT hutaki kuyaelewa basi una tatizo lako binafsi na hapo sina sababu ya kuendelea kujibishana na wewe, kwakuwa iko wazi kwamba unasumbuliwa na ushabiki maandazi wa simba na yanga. To hell with your looseful!!


Yaani facts zako ni very misleading. Kwanza kabisa inaonyesha hujui hata tofauti kati ya FA na Premier League. Kwako unaona kama kitu kimoja which is not.

Premier league ni organisation ambayo ina-consist the top English Football League clubs ambazo ni timu 20. The Premier league ndiyo inayoendesha na kusimamia Ligi Kuu ya Uingereza.

FA ni chama cha soka cha Uingereza. FA inasimamia mashindano ya soka mojawapo ikiwa the FA cup, lakini siyo Ligi Kuu ya Uingereza. The FA sanctions all competitive football matches in England at national level, but it does not specifically run Ligi Kuu ya Uingereza.

Nyadhifa za David ziko FA, siyo Premier League. Kama angekuwa na hizo nyadhifa ndani ya Premier League labda tungeweza ku-assume anaweza kuwafavour Man Utd.

Kwa hiyo basi assumption pekee ambayo unaweza kuijenga ni kwamba David Gill anai-favour Man Utd kwenye FA Cup kwa sababu FA ndiyo yenye mamlaka na hayo mashindano.

Na kama unahisi kuwa FA ndiyo wanao-appoint marefa, the fact is that the appointments are made by the Professional Game Match Officials Board (PGMOB), who are also in charge of all Premier League referees.

PGMO consists of a select group who officiate in all Premier League and some Football League matches as well as a national list who officiate in Football League matches.

The FA is only responsible for development of referees at grassroots and amateur level. FA haihusika kabisa na kuchagua nani awe refa katika mechi fulani. Kwa wenzetu wamejipanga vizuri. Usifananishe na kwetu.

Ironically inawezekana FA walikuwa wanaipendelea Liverpool wakati ligi ilipokuwa chini yao maana tokea Premier league inanzishwe Liverpool ime-decline.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Sasa wanaibeba man u ili iwe nini? Hata mpira wanacheza vizuri hivyo haiwezekani timu mbovu kubebwa miaka yote na kuchukua vikombe.Kwa nini man u haikubebwa ilipopigwa 6 na man city? Haya masuala mengineyo ni mapungufu ya kawaida katika mchezo wa soka vile marefa ni binadamu pia.
 
Kama maelezo haya ya EMT hutaki kuyaelewa basi una tatizo lako binafsi na hapo sina sababu ya kuendelea kujibishana na wewe, kwakuwa iko wazi kwamba unasumbuliwa na ushabiki maandazi wa simba na yanga. To hell with your looseful!!
Unachekesha sana. Simba na Yanga zinatoka wapi humu. Umeona nimetaja Simba, Yanga au TFF?? Tafuta post nyingine uziongelee maana naona mara ya pili hii unazitaja wakati mi hata sikugusia.
Hivi fuatilia post yangu ya kwanza kabisaa nilipomtaja Mike Riley. Nilimtaja kama head wa chombo gani? nilisema FA ndo wanachagua marefa?? Acha unazi. EMT anakwepesha tu ila ukweli ni kuwa FA ana influence sana tu ligi kuu. Mfano umeona unaupotezea. Kwa nini FA ikifungia mchezaji (eg Terry na Suarez) wanakosa mechi za ligi na FA cup, kama FA hasimamii ligi?? Si wangekosa za FA cup pekee kama anavyosema EMT!!Je, si maamuzi kama haya yanyoathiri ligi?? maana EMT anakazania kuwa FA hawainfluence kabisa ligi kuu. Msipotoshe ukweli. FA ndio wanaofanya uchunguzi kuhusu marefa kama wakituhumiwa kuboronga. Na baada ya hapo ndo watatoa mapendekezo kwa PGMOB. Sasa unasemaje haiusiki kabisa na suala la marefa?? Haiwateui wao lakini inawasimamia pia kwa njia nyingine. Kataa wewe sasa.. au muite EMT atakusaidia
 
Sasa wanaibeba man u ili iwe nini? Hata mpira wanacheza vizuri hivyo haiwezekani timu mbovu kubebwa miaka yote na kuchukua vikombe.Kwa nini man u haikubebwa ilipopigwa 6 na man city? Haya masuala mengineyo ni mapungufu ya kawaida katika mchezo wa soka vile marefa ni binadamu pia.

Ungesoma post yangu ya kwanza vizuri ungeona hii sentensi
"Ref wa jana Clattenburg hakuwa amechezesha game 38 za Man u katika michuano yoyote (JF tungesema alipigwa ban). Game yake ya mwisho kabla ya jana alitoa kadi nyekundu kwa evans na man u walilala 6-1 dhidi ya city. Aliporudi akatoa faida kwa Man u". Alipigwa ban km marefa wengi ambao mifano yao ipo hapo, uvivu tu wa kuisoma na kuielewa (au ubishi).

Kama unajua mpira utaelewa kuwa timu kubwa (au nzuri) ni rahisi kubebeka kuliko timu isiyo na wachezaji wazuri. Hakuna anayepinga Man U siyo timu nzuri, wala anayesema Liverpool haina matatizo mengine (kwa sasa ni wachezaji). Hakuna anayesema Man U isipobebwa haiwezi kuifunga chelsea. Halafu ukiuweka ushabiki pembeni, ukasoma post vizuri utakuja na arguments nzuri kuliko hizi (sisemi ukubaliane na post yangu).
 
Hii ni sababu moja na naikiri ni kubwa sana, anayejua mpira hawezi kukataa. Ila chukua muda utanielewa nachokisema. Ila kwa taarifa yako, Rodgers ni bonge la kocha, hana wachezaji tu.
Nashangaa unapiga makelele kwamba FA,Marefa wanaipendelea ManU wakati timu yako ina wachezaji wabovu.Hiyo analysis yako sijaona ukizingatia aina ya red card au penati zenyewe maana kuna penati/red card za halali kabisa.Nemanja Vidic amepewa red card mara 3 kwenye game za Liverpool na mkashinda zote,incident ya caragher kutaka kumvunja Nani na hakupewa card wewe unaiona ni sawa
 
Huwezi kupata mafanikio ukiwa na wachezaji kama kina Carol,Henderson,Downing,Alen,Caragher na makocha dizain ya Daglish,Hoodgson au Rodgers kwenye soka la ushindani kama EPL.
Kwenye blue kaangalie statistics zake za msimu uliopita af ndo utajua ni mchezaji wa namna gani mlinganishe na hizo mido zenu.
Kwenye red washabiki wa liver na tunaoangalia game za liver tunajua uzuri wake na nini cha maana alichokifanya mpaka sasa.
 
@mi_mdau soma hapo chini



  • ManU wana historia na viongozi wazuri wanajua kusajili wachezaji wazuri na kupanga mikakati mizuri ya kuongeza mapato ya klabu,kabla ya David Gill alikuwa Peter Kenyon na Abromovich alivyonunua Chelsea kitu cha kwanza kilikuwa ni kumpa kibarua Kenyon ambaye aliwasaidia kusajili wachezaji wazuri na kuifanya Chelsea kufanya vizuri. Mmoja ya sababu ya kuboronga kwa Liverpool ni ni kuwa na watendaji wabovu mmoja wao ni David Commoli ambaye ndiye alifanya usajili mbovu wa kina Andy Carrol,Jordan Henderson,Stewart Downing kwa jumla ya pauni 80 mil


  • Vilevile kitendo cha kuwauza wachezaji tegemeo kama Xabi Alonso,Luis Garcia na Mascherano na kushindwa kabisa kuziba pengo lao na kusajili wachezaji wabovu kama Alberto Aquilani,


  • Mara ya mwisho Liverpool kuchukua kombe ni 1989,je David Gill alikuwa anaisaidia ManU enzi hizo(1990-2012)


  • Roman Abromovich kanunua Chelsea kasajili vizuri kachukua ubingwa wa England mara 3,kipindi ambacho ManU alikuwa akikutana na Chelsea lazima afungwa au sare je hao FA,David Gill walikuwa wapi?


  • Arsene Wenger alifanikiwa kutengeneza kikosi kikali mpaka kikamaliza msimu hakijafungwa nyie mlikuwa wapi?


  • Hizo takwimu zako zinaongelea red card na penati but sijaona ukizungumzia uhalali wa hayo matokeo maana kadi/penati nyingine ni za halali kabisa


  • Sijaona ukizungumzia matukio ya utata yaliyotokea huko nyuma kwenye game za ManU VS Chelsea


  • Sijaona ukizungumza kuwa Vidic alipewa red card mara 3 na game zote mkashinda,unakumbuka Caragher alitaka kumvunja NANI mguu lakini hakupewa card?


  • Tatizo lingine la timu yako ni kupania mechi kubwa (ManU,Everton, Chelsea,Arsenal,ManCity) but mnafungwa na timu ndogo kama Stoke,West Brom,
 
Nashangaa unapiga makelele kwamba FA,Marefa wanaipendelea ManU wakati timu yako ina wachezaji wabovu.Hiyo analysis yako sijaona ukizingatia aina ya red card au penati zenyewe maana kuna penati/red card za halali kabisa.Nemanja Vidic amepewa red card mara 3 kwenye game za Liverpool na mkashinda zote,incident ya caragher kutaka kumvunja Nani na hakupewa card wewe unaiona ni sawa

Kuna kitu washabiki wa Man U mnakikosa hapa. Penati za halali zipo, na hizo za Vidic aliyekuwa anampa ni Torres (Torres yule wa Liverpool), alikuwa hakabiki. Ulitaka refa afanyeje? Au unafikiri tunasema kuwa anapendelewa kila game? la hasha. Ila on average game nyingi.
Unazungumzia card ya carragher???????-- "Man u alilala 3-1 kwa liverpool msimu wa 2010-11, refa akiwa Phil Dowd. Fergie akamuwakia kwa nini hakumtoa Carragher na Red. Game iliyofuata ya Man u (the very next game), Dowd akaishika, Man u wakapewa penat wakadraw 1-1dhidi ya Blackburn wakapata League title ya 19."
 
  • ManU wana historia na viongozi wazuri wanajua kusajili wachezaji wazuri na kupanga mikakati mizuri ya kuongeza mapato ya klabu,kabla ya David Gill alikuwa Peter Kenyon na Abromovich alivyonunua Chelsea kitu cha kwanza kilikuwa ni kumpa kibarua Kenyon ambaye aliwasaidia kusajili wachezaji wazuri na kuifanya Chelsea kufanya vizuri. Mmoja ya sababu ya kuboronga kwa Liverpool ni ni kuwa na watendaji wabovu mmoja wao ni David Commoli ambaye ndiye alifanya usajili mbovu wa kina Andy Carrol,Jordan Henderson,Stewart Downing kwa jumla ya pauni 80 mil


  • Vilevile kitendo cha kuwauza wachezaji tegemeo kama Xabi Alonso,Luis Garcia na Mascherano na kushindwa kabisa kuziba pengo lao na kusajili wachezaji wabovu kama Alberto Aquilani,


  • Mara ya mwisho Liverpool kuchukua kombe ni 1989,je David Gill alikuwa anaisaidia ManU enzi hizo(1990-2012)


  • Roman Abromovich kanunua Chelsea kasajili vizuri kachukua ubingwa wa England mara 3,kipindi ambacho ManU alikuwa akikutana na Chelsea lazima afungwa au sare je hao FA,David Gill walikuwa wapi?


  • Arsene Wenger alifanikiwa kutengeneza kikosi kikali mpaka kikamaliza msimu hakijafungwa nyie mlikuwa wapi?


  • Hizo takwimu zako zinaongelea red card na penati but sijaona ukizungumzia uhalali wa hayo matokeo maana kadi/penati nyingine ni za halali kabisa


  • Sijaona ukizungumzia matukio ya utata yaliyotokea huko nyuma kwenye game za ManU VS Chelsea


  • Sijaona ukizungumza kuwa Vidic alipewa red card mara 3 na game zote mkashinda,unakumbuka Caragher alitaka kumvunja NANI mguu lakini hakupewa card?


  • Tatizo lingine la timu yako ni kupania mechi kubwa (ManU,Everton, Chelsea,
Arsenal,ManCity) but mnafungwa na timu ndogo kama Stoke,West Brom,

Mambo mengi unayozungumzia hapo, kwamba kwa nn Liverpool inafanya vibaya, kwa nini Gill anahusika nilishazungumza post za nyuma kwa kirefu tu, tafuta utaona. Ila nalotaka kukuelewesha hapa ni kuwa post yangu haizungumzii penati na red card tu (fikiria kwa upana zaidi). Inazungumzia maamuzi (penati na red cards, na maamuzi mengine mabovu) plus 'mkono' wa Man U kwenye uchaguzi wa marefa.
 
Ndugu yangu jibu hizo hoja sio unarukaruka


Hizo takwimu zako zinaongelea red card na penati but sijaona ukizungumzia uhalali wa hayo matokeo maana kadi/penati nyingine ni za halali kabisa
Nimekueleza hapa mbona hujazungumzia uhalali wa hayo matukio redcard/penati wewe unasema tu Mark Hasley aliwapa Manupenati


Incident ya Caragher dhidi ya Nani,ile rafu Caragher hakustahili kadi?

ManU walidroo na Blackburn ndio wakachukua ubingwa wa 19?

Sijaona ukizungumzia matukio ya utata yaliyotokea huko nyuma kwenye game za ManU VS Chelsea?

Roman Abromovich kanunua Chelsea kasajili vizuri kachukua ubingwa wa England mara 3,kipindi ambacho ManU alikuwa akikutana na Chelsea lazima afungwa au sare je hao FA,David Gill walikuwa wapi?


Mara ya mwisho Liverpool kuchukua kombe ni 1989,je David Gill alikuwa anaisaidia ManU enzi hizo(1990-2012)?

Unasema post yako haizungumzii penati+red card,maamuzi mabovu yapi uliyoongelea ukiacha penati+red card?
 
+255,nakubaliana na wewe kuwa Rodgers ni mmoja wa makocha bora na ndio mtu sahihi kujenga Liverpool mpya but sikubaliani na madai ya huyu jamaa eti ManU inabebwa na FA,Gill ili iizipi Liverpool,wakati sababu za LFC kufanya vibaya zinajulikana
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu jibu hizo hoja sio unarukaruka



Nimekueleza hapa mbona hujazungumzia uhalali wa hayo matukio redcard/penati wewe unasema tu Mark Hasley aliwapa Manupenati


Incident ya Caragher dhidi ya Nani,ile rafu Caragher hakustahili kadi?

ManU walidroo na Blackburn ndio wakachukua ubingwa wa 19?

Sijaona ukizungumzia matukio ya utata yaliyotokea huko nyuma kwenye game za ManU VS Chelsea?

Roman Abromovich kanunua Chelsea kasajili vizuri kachukua ubingwa wa England mara 3,kipindi ambacho ManU alikuwa akikutana na Chelsea lazima afungwa au sare je hao FA,David Gill walikuwa wapi?


Mara ya mwisho Liverpool kuchukua kombe ni 1989,je David Gill alikuwa anaisaidia ManU enzi hizo(1990-2012)?

Unasema post yako haizungumzii penati+red card,maamuzi mabovu yapi uliyoongelea ukiacha penati+red card?
Ndo maana nasema wewe husomi vizuri. Mambo ya carragher na marefa wanaofanya maamuzi mabovu nimekuonyesha kwenye hiyo post yangu ya mwisho kabla ya hii. Hata post ya mwanzo hamna mahali nimeeleza kuwa alichofanya carragher ni sawa, ila adhabu anayopata huyo refa. Ndo maana nakwambia sizungumzii kadi tu. Kama hata hujui Man U alidraw na nani kupata ubingwa nina wasiwasi kama unajua mengine! Au nikuulize alidraw na nani kupata ubingwa wa 19? We unasoma sentensi moja unaaacha, lazima utaona naruka ruka tu.
 
hahahaha hapa hatuongei kama bata papapapa nimecheka sana kuhusu sijui niite maelekezano au mabishano!
 
[h=2]PREMIER LEAGUE 2010-2011 - FULL TABLE[/h]



[TABLE="width: 640"]
[TR]
[TH="class: col1"]Pos.[/TH]
[TH="class: col2"]Team[/TH]
[TH="class: col3"]Pl[/TH]
[TH="class: col4"]W[/TH]
[TH="class: col5"]D[/TH]
[TH="class: col6"]L[/TH]
[TH="class: col7"]GF[/TH]
[TH="class: col8"]GA[/TH]
[TH="class: col9"]+/-[/TH]
[TH="class: col10"]Pts[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]1[/TD]
[TH]Manchester United[/TH]
[TD]38[/TD]
[TD]23[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]78[/TD]
[TD]37[/TD]
[TD]41[/TD]
[TD]80[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]2[/TD]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Chelsea[/TH]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]38[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]21[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]8[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]9[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]69[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]33[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]36[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]71[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3[/TD]
[TH]Manchester City[/TH]
[TD]38[/TD]
[TD]21[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]60[/TD]
[TD]33[/TD]
[TD]27[/TD]
[TD]71[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]4[/TD]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Arsenal[/TH]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]38[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]19[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]11[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]8[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]72[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]43[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]29[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]68[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5[/TD]
[TH]Tottenham Hotspur[/TH]
[TD]38[/TD]
[TD]16[/TD]
[TD]14[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]55[/TD]
[TD]46[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]62[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]6[/TD]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Liverpool[/TH]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]38[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]17[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]7[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]14[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]59[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]44[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]15[/TD]
[TD="bgcolor: #F5F5F5"]58[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




ManU alikuwa na point 80 while Chelsea alikuwa na point 71,tofauti ni point 9 then unasema droo na Blackburn ndio iliwapa ubingwa ManU
 
Inaonekana hii mada umeandikiwa maana naona unashindwa hata kuitetea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom