Sababu ya Man Utd kubebwa hii hapa

Stori za kijiweni peleka kijiweni, wenzetu hawafanyi kazi kwa staili za usimba na uyanga so acha propaganda zisizo na mashiko, halafu Liverpoool ina mataji 18 na siyo 19 waliyonayo Man Utd, mbali na hayo Howard Web Alichezesha mechi msimu ulopita ambayo Man Utd ilipigwa 3-0 dhidi ya Newcastle je alifungiwa? Andy Marriner alichezesha mechi mbili za Man Utd dhidi ya Chelsea Stamford Bridge na Man Utd ikafungwa mara zote likiwemo goli la offside la Drogba je alifungiwa?, na mechi iliyofuata refa huyo huyo alichezesha mechi kipindi cha akina Wes Brown Drogba alimvuta Brown na Terry kafunga goli je Andy Marriner alifungiwa? Ferguson alipolalamika aliishia kufungiwa na FA je David Gill hakuwepo amsaidie? acha propaganda zisizo na mashiko na jikite kwenye soka.
 
Stori za kijiweni peleka kijiweni, wenzetu hawafanyi kazi kwa staili za usimba na uyanga so acha propaganda zisizo na mashiko, halafu Liverpoool ina mataji 18 na siyo 19 waliyonayo Man Utd, mbali na hayo Howard Web Alichezesha mechi msimu ulopita ambayo Man Utd ilipigwa 3-0 dhidi ya Newcastle je alifungiwa? Andy Marriner alichezesha mechi mbili za Man Utd dhidi ya Chelsea Stamford Bridge na Man Utd ikafungwa mara zote likiwemo goli la offside la Drogba je alifungiwa?, na mechi iliyofuata refa huyo huyo alichezesha mechi kipindi cha akina Wes Brown Drogba alimvuta Brown na Terry kafunga goli je Andy Marriner alifungiwa? Ferguson alipolalamika aliishia kufungiwa na FA je David Gill hakuwepo amsaidie? acha propaganda zisizo na mashiko na jikite kwenye soka.

Mkuu jamaa timu yake ni Liverloser so anaona Ferg and company ndio waliochangia/wanaochangia timu yake kuvurunda
 
Tempers wont take you anywhere!

fdreamon1m62d9e83.gif
mimi na wewe nani ana jazba. Hadi ukasema nimeshinda ubishani, sijui mimi bingwa? Hii picha inachekesha. Ingawa ulishasusa sijui umerudi vipi
 
Tatizo wewe hueleweki. Mara unasema David Gill. Tukikubana huko unahama fasta na kuelezea sababu nyingine. Ukibabwa kwingine ghafla unarudi tena na argument ya David Gill. Kwanza Gill kaingia kwenye board ya FA mwaka 2006 baada ya kuanguka kwa Liverpool. Na success kubwa ya Man Utd ilikuwa kabla ya 2006. Baada ya hapo Chelsea ndiyo ilidominate, sasa Man City.

Argument yako ya Gill ku-interfere aliianzisha Benitez lakini hakuna kocha mwingine alieyemuunga mkono, because it was a very silly argument. In fact he was elected by the other chief executives of the Premier league clubs, including wanaotoka hizo club ambazo unadai wanalalamika Man Utd kupendelewa. Kama wanaona anapendelea kwa nini wasingemwondoa kwenye huo wadhifa then?

Au kwa vile juzi kawa vice-president ndiyo imekuwa shida? Fans have always raised suspicion on referee favouritism against united and Gill’s position in FA has contributed to many doubts. It has also been said that ferguson bribes referees and uses Gill’s influence to win matches.

The recent ban to John Terry has been attributed to Gill wanting Terry out of United clash with Chelsea which United ended up winning through some controversial decisions from the referee. These things are the one which makes you suspicion of Gill.

Kama vile unafanisha mipira ya kwetu na hii ya wenzetu. They don’t work like us ambao viongozi wa soka wanajifungia ndani na kupiga kura mchezaji Fulani achezee timu gain. Wenzetu wanafanya maamuzi kulingana na sheria.

Kama nilivyosema tokea mwanzo upendeleo upo kwa timu zote kubwa hasa zinapocheza nyumbani including Man Utd, Chelsea, Arsenal, Man City, etc.

Halafu FA inahusikaje na Premier League?

Sieleweki vipi tena? Mambo yote ya Gill na mengineyo nayaongea kwa pamoja, sasa unataka niongee unachotaka wewe tu. Mambo ya Gill nishaongea, na mengine nimeongea pia. Nadhani there is an end to everything, I will to choose to stop here. Sijaona ulichonibana sana sana unazidi kujichanganya tu.
Kwanza kama unavyosema, itakuwa ni coincedence ya kufurahisha kidogo, kama unavyosema miaka ambayo Gill anaingia FA, Man U haifanyi vizuri sana, Liverpool inaamka, na Benitez anaanza kulalamika kufanyiwa vimbwanga.
Unasema hakuna alimsapoti Benitez. Fine, kwa wakati huo, labda. Lakini post uliyoijibu kuhusu Martinez sijui hujajua unajibu nini, na Moyes (rafiki mzuri tu wa Fergie) aliwaambia wachunguze uhusiano wa head of PGMOB, Riley na Man U. Hao nao???
Kuhusu kuondolewa kwa Gill, hilo suala siwezi kulijibu kwa sababu hujafikiria wakati unauliza.
Suala la Terry na Gill mimi wala silijui, we ndo unalisema.
Data hizi nilizoziweka sijazitunga, nimezitoa huko huko, sasa sijui nafananishaje mpira wa huku kwetu na wao. Unasema they dont work like us, una maanisha hamna conspiracy au corruption. Kabla Juventus hajashuswa daraja, na refa hajafungiwa ujerumani, watu wengi walifikiri hivyo pia, 'eti ni ulaya, hakuna hayo mambo'.
Suala kuwa FA inahusikaje na premier ligi ni kichekesho!!
 
Stori za kijiweni peleka kijiweni, wenzetu hawafanyi kazi kwa staili za usimba na uyanga so acha propaganda zisizo na mashiko, halafu Liverpoool ina mataji 18 na siyo 19 waliyonayo Man Utd, mbali na hayo Howard Web Alichezesha mechi msimu ulopita ambayo Man Utd ilipigwa 3-0 dhidi ya Newcastle je alifungiwa? Andy Marriner alichezesha mechi mbili za Man Utd dhidi ya Chelsea Stamford Bridge na Man Utd ikafungwa mara zote likiwemo goli la offside la Drogba je alifungiwa?, na mechi iliyofuata refa huyo huyo alichezesha mechi kipindi cha akina Wes Brown Drogba alimvuta Brown na Terry kafunga goli je Andy Marriner alifungiwa? Ferguson alipolalamika aliishia kufungiwa na FA je David Gill hakuwepo amsaidie? acha propaganda zisizo na mashiko na jikite kwenye soka.

Usijibu story za vijiweni, dont bother, ni ushauri tu

Hata hivyo aliyechezesha mechi hiyo ni Mike Dean na siyo Marriner. Marriner hajawahi kuchezesha game ya Man na Chelsea. Mike Dean alikuwa demoted to Championship baada ya kuboronga hyo game. Haya tafuta mwingine
 
huyu jamaa ni mpotoshaji sana, unasema unamuongelea Gill wakat anaongoza man utd na pia unasema Liverpool ilianza kuamka ndio Gill kwa kushirikiana na FA wakaikandamiza, hivi unafahamu unachokisema mkuu? In england football is a 1st lover na media za england zisingeweza nyamazia hili swala kama lingekuwa na ukweli, na england ni moja ya ligi bora duniani kwa sasa na unatambua hilo.
Kilichowangusha Liverpool baada ya kushika nafasi ya epl under Benitez ni; msimu uliofuata wakauza wachezaji muhimu ktk kikosi (Alonso and Abeloa to real madrid and other team) bila ya kutafuta mbadala sahihi ya hawa watu, msimu uliofuatia wakauza Machelano to barcelona bila ya kutafuata mbadala sahihi ya huyu mtu, management problems, benitez most of the playerz aliowasajili hawakuzaa matunda wakawa mzigo ktk timu kama Aquran
So Gill na FA hawausiki kwa lolote kudidimia kwa Liverpoor mkuu

Kwanza kwa taarifa yako hamna media za kinafiki kama za England, zikiongozwa na gazeti la "the sun" na anyedhamini ligi kuu kupitia television ya SKY, Ruppert Murdoch(mmiliki wa the SUN). Hawa ndo walipotosha ukweli wa sakata la Hillsborough mpaka tume maalum ilipoundwa. Kama hujui kuhusu hii story tafuta. Na jamaaa anajua kufanya biashara kupitia mpira. Italy walijivua gamba mapema, wakafanya uchunguzi wakagundua vitu, Juve wakashushwa daraja.

Aliyesema Liverpool haikuwa na matatizo mengine ni nani?? Nimesharudia hili suala kwenye post zangu kadhaa, nadhani hujazisoma.
Unajua influence ya Fergie haianzii au haitokani na soka tu. Yeye ni sir baada ya Tony Blair kushauri Malkia iwe hivyo. Alikuwa mtu wa karibu wakati wa campaign za Tony Blair mwaka 1997, mara kadhaa akiongea nae kwa simu kumuuliza anachoweza kusaidia. (haya si maneno yangu ni information na diary watu wameandika). Tafuta Allastair Campbell's diary.
kama unafikiri hizi ni story za kijiweni endelea kuamini, usizijibu.
 
Hizi human erro mbona zinaelekeaga upande wa wapinzani tu? That day, Shevley (Liverpool) alitolewa kwa red card kwa kosa lisilo na kichwa wala miguu, muda si mrefu, Van Persie akafanya faulo mbaya na hakupata hata njano.

Van Persie kampiga Cabaye kipepsi mbele ya Lines Man, nayo kwa human error hakuonekana.

Lini tutaona human error zikitokea in favor of Man U's opponents?

Hilo kosa unalosema halina kichwa wala miguu msimu ulopita lilimtoa Jonny Evans kwa kadi nyekundu Man Utd walipocheza na Bolton Old Trafford, Evans na Stuart Holden waliufata mpira kwa staili ile ile ya Shelvey na Evans, human errors huwa zinatokea hata dhidi ya Man Utd hasa ilipocheza na Newcastle msimu ulopita OT Newcastle walipata penati ya magumashi, je hukuliona hilo? Drogba aliifunga Man akiwa offside je nn kilitokea? mui muue haki yake mpe na siku zote mti utowao matunda ndo wakupopolewa haters mtaifanya Man Utd izidi kupaa, Viva Man Utd. Kaa ukijua football ni game of mistakes England ilifunga goli dhidi ya Germany kwenye world cup but refa akapeta kwa kufikiri mpira haukuvuka mstari, vivyo hivyo England ilifungwa goli na Ukraine kwenye Euro kwa staili hiyo likakataliwa kuwa halikuvuka mstari but replays zilionyesha otherwise, so tuache unazi au walete technology mpirani kitu ambacho kitaharibu ladha ya mpira.
 
Stori za kijiweni peleka kijiweni, wenzetu hawafanyi kazi kwa staili za usimba na uyanga so acha propaganda zisizo na mashiko, halafu Liverpoool ina mataji 18 na siyo 19 waliyonayo Man Utd, mbali na hayo Howard Web Alichezesha mechi msimu ulopita ambayo Man Utd ilipigwa 3-0 dhidi ya Newcastle je alifungiwa? Andy Marriner alichezesha mechi mbili za Man Utd dhidi ya Chelsea Stamford Bridge na Man Utd ikafungwa mara zote likiwemo goli la offside la Drogba je alifungiwa?, na mechi iliyofuata refa huyo huyo alichezesha mechi kipindi cha akina Wes Brown Drogba alimvuta Brown na Terry kafunga goli je Andy Marriner alifungiwa? Ferguson alipolalamika aliishia kufungiwa na FA je David Gill hakuwepo amsaidie? acha propaganda zisizo na mashiko na jikite kwenye soka.
Hata hivyo aliyechezesha mechi hiyo ni Mike Dean na siyo Marriner. Marriner hajawahi kuchezesha game ya Man na Chelsea. Mike Dean alikuwa demoted to Championship baada ya kuboronga hiyo game.

Andre Marriner ni moja ya marefa au pengine ndo pekee (sina uhakika) ambaye kwa kipindi cha karibuni amechezesha mechi kadhaa za man utd na karibia zote anachapwa. Hii nayo ni kweli, ila asiwepo hata mmoja ambaye hatetereki?? na kiukweli Mechi hizo zote man u anapigwa na timu nzuri, man city, everton, na newcastle ya kina demba ba. Na uzuri ni kuwa mechi hizo zote hazina utata. take an example man u alivyopigwa na everton kimoja msimu huu, walizidiwa. Njoo na mifano zaidi ili tukubaliane.

Je ulitaka Howard webb awe na 100% kwamba mechi zake zote man u ashinde ili uamini yuko biased, ingekuwa ni mpira sasa au maigizo?
 
Kwanza kwa taarifa yako hamna media za kinafiki kama za England, zikiongozwa na gazeti la "the sun" na anyedhamini ligi kuu kupitia television ya SKY, Ruppert Murdoch(mmiliki wa the SUN). Hawa ndo walipotosha ukweli wa sakata la Hillsborough mpaka tume maalum ilipoundwa. Kama hujui kuhusu hii story tafuta. Na jamaaa anajua kufanya biashara kupitia mpira. Italy walijivua gamba mapema, wakafanya uchunguzi wakagundua vitu, Juve wakashushwa daraja.

Aliyesema Liverpool haikuwa na matatizo mengine ni nani?? Nimesharudia hili suala kwenye post zangu kadhaa, nadhani hujazisoma.
Unajua influence ya Fergie haianzii au haitokani na soka tu. Yeye ni sir baada ya Tony Blair kushauri Malkia iwe hivyo. Alikuwa mtu wa karibu wakati wa campaign za Tony Blair mwaka 1997, mara kadhaa akiongea nae kwa simu kumuuliza anachoweza kusaidia. (haya si maneno yangu ni information na diary watu wameandika). Tafuta Allastair Campbell's diary.
kama unafikiri hizi ni story za kijiweni endelea kuamini, usizijibu.

Mkuu wangu sasa umeanza kuingiza siasa ktk soka la epl, haya mambo ya Tony Blair, sakata la Hillsborough, sijui Rupert Mudorch sijui hata yameingiaje ktk mada hii.. ndio kuruka ruka huku alivyokuambia EMT, ukibanwa una ama ama. ok any way

Hivi wafahamu the chief executive of Premier league and FA (1992-1997) were Rick Parry and (2005-2008) were Brian Barwick during Sir Alex's reign at Man Utd, both of them were Liverpool fans/employees. Then how can Fergie run the FA and still there is no proof? na kipindi hiki ndio Sir Alex alibeba mataji mengi yasio na mfano wakati Liverloser wakapotea jumla jumla, David Gill/Sir Alex wanausikaje mkuu?

mi_mdau pls Put this on mind na hacha bla bla kama za Wenger mwaka wa saba (7) huu hana kombe; FIFA and FA are transparent organizations and will always be. Conspiracy theories are only an excuse to hide the fact that their team is all to blame for playing shit football on the field/over spend transfers/sacking managers like puppets .
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Andre Marriner ni moja ya marefa au pengine ndo pekee (sina uhakika) ambaye kwa kipindi cha karibuni amechezesha mechi kadhaa za man utd na karibia zote anachapwa. Hii nayo ni kweli, ila asiwepo hata mmoja ambaye hatetereki?? na kiukweli Mechi hizo zote man u anapigwa na timu nzuri, man city, everton, na newcastle ya kina demba ba. Na uzuri ni kuwa mechi hizo zote hazina utata. take an example man u alivyopigwa na everton kimoja msimu huu, walizidiwa. Njoo na mifano zaidi ili tukubaliane.

Je ulitaka Howard webb awe na 100% kwamba mechi zake zote man u ashinde ili uamini yuko biased, ingekuwa ni mpira sasa au maigizo?

U'r a hater na cna sababu za kukubaliana nawe so Man Utd wakifungwa inakuwa fair wakishindwa cyo fair, tuliza kwanza akili halafu ufanye u'r arguement with a critical mind, nimekueleza scenario za Andy Marriner alivyochezesha mechi kati ya Man Utd na Chelsea kwenye tukio la kwanza Drogba alimvuta brown ili asiruke na Terry akafunga goli kwa kichwa is that fair? pili in a corresponding fixture Drogba alifunga goli akiwa clearly offside na Man Utd walilala 2-1 was that fair, for Godsake grow up, Arsenal walifunga goli Dhidi ya QPR clearly offside je walitumia influence ya nani? Moyes unayemsema anasema mchezaji wako Suarez alistahili kadi nyekundu kwa kumkwatua Sylvain Distin je unalijua hilo? na nn kilifanyika? Liverpool walifunga goli ambalo halikuwa offside, je Man Utd walihonga ili goli likataliwe? good riddance.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu wangu sasa umeanza kuingiza siasa ktk soka la epl, haya mambo ya Tony Blair, sakata la Hillsborough, sijui Rupert Mudorch sijui hata yameingiaje ktk mada hii.. ndio kuruka ruka huku alivyokuambia EMT, ukibanwa una ama ama. ok any way

Hivi wafahamu the chief executive of Premier league and FA (1992-1997) were Rick Parry and (2005-2008) were Brian Barwick during Sir Alex's reign at Man Utd, both of them were Liverpool fans/employees. Then how can Fergie run the FA and still there is no proof?

Put this on mind; FIFA and FA are transparent organizations and will always be. Conspiracy theories are only an excuse to hide the fact that their team is all to blame for playing shit football on the field/over spend transfers/sacking managers like puppets .

Shida yako wewe ni ushabiki, haya nayosema ya media si umezungumza mwenyewe, sasa ulitaka usijibiwe au. We si ndo ulizungumzia vyombo vya habari vya england. Usichoelewa nilichokisema ni nini au unajilazimisha kutokuelewa? SAF has influence, thats y mambo ya Tony Blair yameingia hapo.
Mambo ya kina Parry na hata Dein nayajua na nimeshayazungumza kwenye post za nyuma, zitafute,sirudii. Kama unataka nikukubalie kila kitu sawa.
Unazungumzia FIFA? Eti FA ni transparent? Usigusie huu mjadala kuhusu FA, ni mpana mno, they are no where near transparency
6a01630241df75970d017ee41e0fcc970d-800wi
 
U'r a hater na cna sababu za kukubaliana nawe so Man Utd wakifungwa inakuwa fair wakishindwa cyo fair, tuliza kwanza akili halafu ufanye u'r arguement with a critical mind, nimekueleza scenario za Andy Marriner alivyochezesha mechi kati ya Man Utd na Chelsea kwenye tukio la kwanza Drogba alimvuta brown ili asiruke na Terry akafunga goli kwa kichwa is that fair? pili in a corresponding fixture Drogba alifunga goli akiwa clearly offside na Man Utd walilala 2-1 was that fair, for Godsake grow up, Arsenal walifunga goli Dhidi ya QPR clearly offside je walitumia influence ya nani? Moyes unayemsema anasema mchezaji wako Suarez alistahili kadi nyekundu kwa kumkwatua Sylvain Distin je unalijua hilo? na nn kilifanyika? Liverpool walifunga goli ambalo halikuwa offside, je Man Utd walihonga ili goli likataliwe? good riddance.


Andre Marriner namjua kwa sababu ndo aliyeinyima Liverpool mpira wa kurusha wakati linesman wake anasema tofauti, ikazaa goli la pili kwa everton. Sasa nimtetee ili iweje. Na usisahau wakati Rooney anawafunga Man City kwa tik tak, refa alikuwa Marriner. Kwa kifupi si mfano mzuri kwa sababu amechezesha game 16 za Man U, kati ya hizo 12 walishinda.

Hata hivyo aliyechezesha mechi hiyo ni Mike Dean na siyo Marriner. Marriner hajawahi kuchezesha game ya Man na Chelsea. Mike Dean alikuwa demoted to Championship baada ya kuboronga hiyo game. Haya tafuta mwingine

David Moyes aliongea kuhusu Man U. Unataka nisemeje, ni kweli Suarez anapenda kudive na mtukutu kama alivyosema kabla ya game. Pengine alistahili kwa sababu ni intentional na unaweza kumvunja mtu ankle.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom