Mkuu unaweza ku- comment tena kuhusu hii post yako kwa kuangalia trend ya Man U ilivyoanguka msimu huu, na kupanda kwa kwa Liverpool.
Hahahaha. Inawezekana labda Fergie na Gill ndiyo walikuwa wanaiwekea Liverpool kauzibe?
On the other hand, inawezekana labda ni coincidence tuu?
UPINZANI NA LIVERPOOL- Vijana wengi walioanza kufuatilia mpira wa uingereza katikati na mwishoni mwa miaka ya tisini wanaweza wasielewe sana kama Man u na Liverpool ni Simba na Yanga za Uingereza. Sababu ni kuwa Kipindi hiki Liverpool haijafanikiwa sana katika mpira wa Uingereza (hasa ligi), tofauti na timu kama arsenal na chelsea, na sasa Man City. David Gill kama kiongozi wa man u na Ferguson wanafanya kila njia kuendelea kuisimamisha Liverpool ibaki na mataji yake 19 ya ligi ili Man U yenye idadi hiyo pia kwa saa iipite na kutawala ligi hiyo. Si rahisi kulielewa hili kama mtu si mfuatiliaji mzuri wa siasa za soka, ila fuatilia maamuzi ya mechi za liverpool yanavyokuwa, inapopambana na timu yoyote ile katika ligi ya uingereza. Wengine hushangaa kwa nini liverpool na ubaya wake inafanya vizuri mashindano ambayo si ya ligi (UEFA, EUROPA LEAGUE, FA, CARLING). Ni kwa sababu mkono wa marefa wa ligi haufiki sana huko (FACT). Liverpool (ingawa kwa sasa inatengeneza timu) italizwa sana na mtu huyu kama ilivyonyimwa goli la dakika za mwishoni jana (28/10/2012) dhidi ya Everton.
Mkuu the Rise of LFC sio coincidence, jamaa hapo juu alikija na facts tu ingawa wengi walimpinga lakini ukweli wake ndo unajionyesha. LFC miaka yote alikuwa anatengeza team lakini top official wa FA wakiikandamiza. Nakumbuka msimu wa 2009/10 jamaa walikuwa vizuri sana wakaletewa jungu na walipitwa point 1 na Manure
Nakumbuka kuna game ya Arsenal na LFC tulidraw 4 4 Arshavin akipiga hat trick ya hatari, lv ilikuwa ipo vizuri sana.
Royalty ya SAF ndo ishaisha hivyo, let's hope good enjoyable football katika hili. BIG UP LIVERPOOL.
Oh come back tuendelee na hii dabate please?
Msimu uliopita Liverpool walifanya vizuri sana kwenye ligi kidogo wabebe kombe. Coincidentally, Man Utd walifanya vibaya sana.
Wakati Liverpool ikifanya vizuri na Man Utd ikifanya vibaya, Faggie na Gill hawakuwepo tena.
Hapo baadhi ya watu waliweza kuikubali hoja yako kwa kigezo kuwa watu hao wawili ndo walikuwa chanzo cha Liverpool kutofanya vizuri.
Lakini naona ni bota tuka-revist tena hii thread kuona kama ulichokisema wakati ule ni sahihi.
Msimu huu Liverpool imefanya sana siyo tuu kwenye Champions League, bali kwenye ligi kiasi cha kocha wao kuwa roho juu.
Hapa kweli unaweza bado kudai kuwa Faggie na Gill ndo wamesababisha Liverpool kufanya vibaya msimu huu?
RRONDO, MosDef, Malafyale, alsaidy, Gwamahala, M-mbabe, SG8, Janjaweed, zumbemkuu, Kalumbesa, Amavubi, The Magnificent, Mkeshaji, Mphamvu, asakuta same, Ehud, Piere. Fm, LiverpoolFC, Ed n Edd nEddy, 'TF', norkim1991, Frajasa, neva, Amanizzle, Blac kid, John locke, Mr. Wise, Full Moon, Mwihadisa, Okhondima, Ulayas, kdc, fredericko, Mzee wa kuthubutu, mwakajanawetu, Shakazulu, Mawenzi, TUJITEGEMEE, shanature, Prisoner 46664, escober, Pazi, Jaguar, Ulimakafu, SIM, MTK, TIQO, kbosho, grafani11, Pianist, mtotowamjini, ngonjera zinatosha, piper, Belo
Oh come back tuendelee na hii dabate please?
Msimu uliopita Liverpool walifanya vizuri sana kwenye ligi kidogo wabebe kombe. Coincidentally, Man Utd walifanya vibaya sana.
Wakati Liverpool ikifanya vizuri na Man Utd ikifanya vibaya, Faggie na Gill hawakuwepo tena.
Hapo baadhi ya watu waliweza kuikubali hoja yako kwa kigezo kuwa watu hao wawili ndo walikuwa chanzo cha Liverpool kutofanya vizuri.
Lakini naona ni bota tuka-revist tena hii thread kuona kama ulichokisema wakati ule ni sahihi.
Msimu huu Liverpool imefanya sana siyo tuu kwenye Champions League, bali kwenye ligi kiasi cha kocha wao kuwa roho juu.
Hapa kweli unaweza bado kudai kuwa Faggie na Gill ndo wamesababisha Liverpool kufanya vibaya msimu huu?
RRONDO, MosDef, Malafyale, alsaidy, Gwamahala, M-mbabe, SG8, Janjaweed, zumbemkuu, Kalumbesa, Amavubi, The Magnificent, Mkeshaji, Mphamvu, asakuta same, Ehud, Piere. Fm, LiverpoolFC, Ed n Edd nEddy, 'TF', norkim1991, Frajasa, neva, Amanizzle, Blac kid, John locke, Mr. Wise, Full Moon, Mwihadisa, Okhondima, Ulayas, kdc, fredericko, Mzee wa kuthubutu, mwakajanawetu, Shakazulu, Mawenzi, TUJITEGEMEE, shanature, Prisoner 46664, escober, Pazi, Jaguar, Ulimakafu, SIM, MTK, TIQO, kbosho, grafani11, Pianist, mtotowamjini, ngonjera zinatosha, piper, Belo
kitu kingine kama kubebwa kwa penati basi Liverpool ndio wanabebwa....Liverpool ndio wamepewa penati nyingi kuliko timu yoyote kwenye historia ya EPL
1.Liverpool
2.Arsenal
3.Man utd
4.Newcastle
5.Chelsea
.
.
.
10.Man city
Revealed! Teams awarded the most penalties in PL history | talkSPORT
cc: EMT Malafyale MosDef Sizinga
Mkuu EMT kumbuka hizo hoja zilijengwa kwa kuzingatia mkusanyiko wa msimu zaidi ya mitano , hata msimu uliopita kwenye big match Liverpool walikandamizwa baadhi ya mechi kwa maamuzi mabovu ya marefu.
Napenda kukiri kuwa msimu huu Liverpool wameyumba sana na hilo limechangiwa na kocha aliyepo , usajili usio makini, kushuka kwa morali wa timu , bila kusahau kuondoka kwa wachezaji wenye vipaji binafsi vya kuibeba timu katika siku mbaya kimchezo ( mf suarez).
Hivyo hatuwezi kuizungumzia Liverpool kwa kutazama msimu huu mmoja , hebu tusubiri angalau misimu mitatu mkuu.
EMT
heshima kwako
Liverpool msimu uliopita naweza kusema walifamya vizuri kwa sababu ya suarez na msaada wa sturidge ambaye ameumia.
magoli 30 au 20 ya suarez yangekuwepo msimu bado liverpool wangekuwa nafasi nzuri.
Mkuu EMT kumbuka hizo hoja zilijengwa kwa kuzingatia mkusanyiko wa msimu zaidi ya mitano , hata msimu uliopita kwenye big match Liverpool walikandamizwa baadhi ya mechi kwa maamuzi mabovu ya marefu.
Napenda kukiri kuwa msimu huu Liverpool wameyumba sana na hilo limechangiwa na kocha aliyepo , usajili usio makini, kushuka kwa morali wa timu , bila kusahau kuondoka kwa wachezaji wenye vipaji binafsi vya kuibeba timu katika siku mbaya kimchezo ( mf suarez).
Hivyo hatuwezi kuizungumzia Liverpool kwa kutazama msimu huu mmoja , hebu tusubiri angalau misimu mitatu mkuu.