Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
ati liverpool ina mataji 19 ya ubingwa?
Ref wa jana Clattenburg hakuwa amechezesha game 38 za Man u katika michuano yoyote. Game yake ya mwisho kabla ya jana alitoa kadi nyekundu kwa evans na man u walilala 6-1 dhidi ya city. Aliporudi akatoa faida kwa Man u
Asilimia 18 ya penalt alizotoa Howard webb maishani mwake, ameipa Man U. Na huyu ndo refa aliyechezesha mechi nyingi za Manchester kuliko mwingine yoyote.
Mbona hata hapo kwenu Man U mbona kuna average players wengi, au wachezaji kama De gea,Ferdinand, Evans, Carrick, Fletcher, Young, Nani na Scholes wa sasa hivi na wenyewe ni World Class Players?Hivi Wigan Athletics ikiwa chini ya huyu huyu Roberto Martinez si ndiyo iliifunga Man Utd msimu uliopita na kuifanya ipoteze mwelekeo hadi kukosa Ubingwa? Siku hiyo marefa walitoka Spain au Italy?
Wakati mwingine wasawahili tunakuwa na malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu. Kwani mara ngapi hata Ferguson mwenyewe ameadhibiwa na FA kwa kuwashambulia waamuzi? Timu za Liverpool na Arsenal kwa msimu huu ni vimeo hata wakibebwa hawawezi kuchukua ubingwa sasa haya malalamiko ya nini? Kwanini wasisajili wachezaji wazuri ambao ni world class players waone kama hawatakuwa na matokeo mazuri? Liverpool ikifungwa na Westbromwich Albion hamlalamiki, lakini ikifungwa na Man utd mapiga kelele.
Hivi hapo kwenu Man U mbona kuna wachezaji wa kawaida tu, wachezaji kama De gea,Ferdinand, Evans, Carrick, Fletcher, Young, Nani na Scholes wa sasa hivi na wenyewe ni World Class Players?
Abramovich alipoinunua Chelsea alifanya usajili wa wachezaji wazuri, makocha wazuri bila kusahau viongozi wazuri-na hapo alimsajili Peter Kenyon aliyekuwa Man utd. Muda mfupi baada ya kujenga kikosi kamili cha ushindi Chelesea ikaanza kupata mafanikio.
Miaka yote hiyo ya Kenyon kuwa United hadi anaondoka kwenda Chelesea Liverpool haijawahi kuchukua ubingwa wa EPL, na kwa bahati mbaya sana kipindi hicho nakumbuka aliyekuwa kwenye board ya FA alikuwa ni Peter Hill Wood wa Arsenal. Sasa mtu unapoanza kumlalamikia Gill aliyeingia huko FA hivi karibuni wakati ukweli uko bayana kwamba Liverpool imepoteza mwelekeo siku nyingi hapo unashindwa kusomeka kabisa.
Bila kusajili wachezaji wa kiwango cha juu kama Man utd, Chelsea na Man City na pia bila kuajiri kocha mwenye uwezo mkubwa wa kiwango cha Dunia mtabaki kulialia na kuimba kila siku kwamba mnaonewa, mnaonewa, mnaonewa. Man utd wanabebwa, wanabebwa, wanabebwa. Wakati huo timu nyengine zinaendelea kuhesabu vikombe tu msimu mmoja hadi mwingine.
Huu utafiti wako una data mushkeli kabisa. Hebu soma wa mwenzio huyu (samahani kwa lugha tofauti)
To begin with, I , being a die-hard Arsenal fan might get stick from gunners supporters for writing up this article.But being a football fan too i write on things the way i see it.It is not being written to compare clubs with United etc.I believe praise is due for Manchester United's success and no one can hide away from that fact.
We can not deny that Manchester united has been the most successsul club in the Premier League over the past decade.They have won count-less number of trophies and almost all the trophies available out there to win.While the trophies which they have won over the past few years they have full deserved it, the secret of their success over the past three or four seasons even when they have not being playing at their best is down to key factors some of which will be explained below.However last season was not such a good season but again they were the closest challengers to Manchester City.
I have come up with possible reasons as to why Manchester United have been the most successful club in the past decade.
1) Fergie,his coaching and the tactics he employs.
Sir Alex Ferguson, undoubtedly is the best manger to have graced the Premier League.He is currently the longest serving manager in history after over-taking Sir Matt Busby's record on 19th December 2010.He has been in-charge of United for 25 years now and is currently the longest serving League manager followed by Arsene Wenger of Arsenal.He has won the Manager of the Year awards most times in British football history.Under his tenure United has won a whopping 12 Premier League titles including a hat-rick of league titles in the seasons 2006-2007,2007-2008,2008-2009 and recently 2010-2011.His team has won a total of 6 Premier League titles in the past decade,4 League Cups from which three having been won in the past decade.5 Fa Cup's have been won from which 1 Fa Cup in the current decade,a total of 2 Champions League from which one of them comes from the current decade and 1 Fifa Club World Cup in 2008.His success speaks volumes about his coaching and players like D.Beckham,G.Neville,Roy Keane who have left the club still speak highly of him.He gets along well with his players who always speak highly of him and maintains strict discipline combined with giving players their own space which enables him to maintain good relationship with his players.However he is reported to have gotten "crazy" at times when his players are not performing well, especially during the half-time interval when he gives a lot of stick to his players as he gets angry if his players are not performing well..The tactics employed by this "great manager" are versatile,with the same footballing style adopted throughout every match but making changes here and there according to the opponents his team is facing and situation at that current moment.He is never shy of making bold substitutions and always speaks his mind in all his conferences.Even Jose Mourinhowho criticized every other manager in the league had praise for the success he had achieved over the years.
He is probably the most important reason for United's success.
2) Winning mentality amongst the whole squad.
Having have had so much success, the team has embedded a winning mentality which is very crucial for the team's continued success.Players likeVidic,Ferdinand,Rooney,Evra,Giggs are all used to winning things at Manchester Unitedand when any new signing arrives at the club they share their experience with the the new players and the new players thus develop the winning mentality ever so quickly.Even when things are looking impossible, this mentality drives them to compete much harder in order to achieve the impossible in many cases, example whenever United has been under the pressure to win their crucial game against their rivals which may decide the title,they thrive under that pressure and most often than not come out on top due to their winning mentality and do not crack under pressure.
3) Mentally and physically strong even when the chips are down(Never say die-attitude)
Manchester United have always been a team who has and always have had players who are mentally and physically strong.For example the likes of Rooney,Giggs,Roy Keane,VanNistelrooy,Scholes,Vidic and many others.Neither of them are afraid to "mix it up" and neither of them shy away from different battles that arise on the pitch.They always show their opponent through their body language and attitude that no-body can take them easy and are always up for a fight.Obviously they don't win always,but again obviously it's impossible to win every time.Last year when United did not have a strong enough squad with their midfield being weak and injuries taking their toll, they still manged to finish second to city.At one time they were twelve points behind City and later went on to overtake City in the latter stages of the season which was incredible to say the least.Nobody had thought that United would edge ahead of City as it seemed inevitable that City would win the Premier League title.However United eventually lost out on the last day of the season in absolutely "dramatic" fashion due to the drama that unfolded on the last day.However the way United kept going speaks volumes of their "mental toughness".
4) A squad with enough depth and quality
Manchester United always seem to have a squad which has enough depth,experienceand quality combined to challenge for all the top honours.These three traits are a must for any club who wants to win the Premier League.For example, when A.Valencia was injured last season Nani was available,the likes of Welbeck and Hernandez fighting for the starting place and P.Jones helping United to an extent to cope with the absence of Rio ferdinand.United always seem to have the players who can cover for injured players or perform when the other players are not in form.Remember Berbatov scoring important goals when Rooney was not in form,Giggs who does not even play every match due to his age but his crucial goals in the 2010-2011 season and seasons before that have helped United win the title and not to forget Macheda whose remarkable goal two years back helped United to win the title but still the boy has not been a regular in the side since then speaks volumes of the squad depth and quality United have always had.With the likes of Scholesand Giggs around and if they can get a good midfield player they can re-claim the trophy which they lost last season to City.
5) Having Players like Vidic,Rooney,Scholes,Giggs
Having the privilege of having players like Giggs and Scholes at your club makes the task of achieving success at your club much easier.The wealth of knowledge these two have, the experience they provide United in tight games and also the experience they share with the younger players at the club is immense.Both these Manchester United's legends although not as good as they used to be have provided the experience,goals and assists which has helped United to a hat-rick of Premier League titles.Giggs as we know is often called "Mr.Premier League".He is currently the most decorated player in English football history and has remained at Manchester United throughout his career which speaks highly about his loyalty to the club,all this at a time when loyalty is pretty much dead in football.Rooney has always been one of United's most popular players.In recent seasons he has also grown as a person and his goals tally for the club 129 goals in 251 appearances speaks itself about his immense talent and contribution he has made at the club.His contribution has been as significant as the likes of Ferdinand,Giggs and others in helping the club achieve the amount of success they have had over the years.One other player who also deserves a mention is Vidic,the back bone of United's defense.He is a strong,quick defender who reads the game well and has also helped United achieve all the Premier League title success since his arrival in 2006.His importance in the team is so much that when he became injured last season, part reason for United not winning the title was his absence and United that season conceded more goals than they used to.He is one of the best defenders in the world also having won the Premier League "Player Of The Year" in 2010-2011 when he helped his team win the title and led from the front.He will be crucial to United's run-in this season.
Every season is a different one and the past record does not decide the outcome of the current season just like City proved last year.So let's see what happens this season.So what do you guys think?Has Manchester United been the most successful club in the past decade?Do you think their are other reasons as well for their success?
ilishasahihiswa nikakubaliana nae ni 18! Chagua neno jingine. Maana inaelekea una kazi ya kuchagua neno moja moja la kucriticise
Hahaa, Kumbe ilikuwa ubishani?? Ndo maana umeshindwa basi
I didnt come with any unproven theory, wala perception, wala maelezo tupu. Nilikuja na data (au facts). Kama unanipinga (na sio kunibishia), fanya hivyo kwa facts, na siyo theory ambayo haina uthibitisho kama hiyo uliyosema.Congratulations kwa weye uliyenibishia na kunidhihaki......mimi nimekubali kushindwa ila nitayaamini haya daima!
I think a lot of this perception is due to the phenomenon known as "Confirmation bias", which says that human observations are biased toward confirming the observer's conscious and unconscious expectations and view of the world (or, in plain terms, "we see what we expect to see")
I don't think any other club polarises opinion as much as Manchester United does. There are multiple football fans whose support for clubs varies from year to year, but has one common denominator - a dislike for Manchester United. If you add this to the fact that there always are certain dubious decisions in a game, these anti-United fans are quick to term any dubious decision that goes United's way as 'favouritism shown by the referee', while completely overlooking all decisions that go the other way.
I didnt come with any unproven theory, wala perception, wala maelezo tupu. Nilikuja na data (au facts). Kama unanipinga (na sio kunibishia), fanya hivyo kwa facts, na siyo theory ambayo haina uthibitisho kama hiyo uliyosema.
Au hujui kuwa kuna watu wana expect kitu flani ila wanataka kuprove kuwa wanachoexpect au wanachoona si sahihi. Hizo ni theory tu na duniani hakuna theory inayokataliwa. PROOF ndo mambo yote.
kama uliona nilileta hoja ili nishinde unakosea sana, ni bora kukaa kimya mpaka uwe na uthibitisho kuwa niliyosema si kweli na ndo maana unaona nakudhihaki. Unajua unaposema labda watu wengi wanaichukia Man U, inawezekana ni kweli kabisa, lakini kila mtu ana sababu yake ya kufanya hivyo. Hii haimaanishi kuwa kila anayeichukia Man U eti ni kwa sababu ya mafanikio yake, au tu kwa sababu wako timu tofauti. Kila mtu ana sababu zake. Zangu ni hizo hapo juu na usizichanganye na za wengine wasioipenda Man u kwa sababu zao wanazozijua wao.
Nimekubali wewe BINGWA sasa vipi tena unakuwa nagging hivi? Yaani nisiwe na msimamao wangu kwa kuwa wewe ni BINGWA? Wewe una facts mimi nina belief (sio theory kama unavyotaka wewe) Yaishe bana tuendelee na maisha mengine. Enough said that is!
Una jazba. Nani kasema usiwe na msimamo wako. Anzisha thread yako uwe na msimao wako usiopingika. Na andika kabisa kuwa ni msimamo wako na haupingiki. Nilichotoa mimi sio msimamo, hata kama ni msimamo, based on facts. Sio msimamo based on beliefs.
Hamna anayebisha diving imezidi, suarez irritates even liverpool fans smtyms. Ila mbona husemi kuwa Man U ana. Average ya kupata penalt kila game 4, which means bado yuko on top.
Fuatilia kizungumkuti cha uchaguzi wa marefa kipindi hiki ambacho Man Utd inapata upinzani mkubwa kutoka kwa timu zaidi ya moja.
Roberto Martinez fined £10,000 for claiming referees favour Manchester United. (huyu wala si wa timu kubwa)
Martinez said: "You know what he is trying to do. I have come to United three times before today and for whatever reason we don't seem to be measured in the same manner as the team at home.
Kama unanielewa, nasema huwezi kumuongelea Gill wakati hakuwepo, tunamuongelea wakati anaongoza Man Utd, by then Liverpool ilikuwa imeamka tena.
Kitu kingine ni kuwa sijasema Liverpool imeangushwa exclusively na Gill, na wala sijasema Man Utd ni timu mbaya. Ila Man U inabebeka, na Liverpool inakandamizika.
Ila toka kipindi cha Benitez na kwa sababu game za msimu huu ni chache fuatilia, utaona liverpool ina "bahati mbaya", labda utapenda kuiita hivyo. Na Man Utd wana "bahati nzuri".
David dein alishawahi kuwa pale kama GiLl, hakusemwa vibaya, je Gill anaonewa? Rick Parry aliwahi kuwa pale, hakusemwa vibaya, Gill anaonewa, Man U inaonewa. Facts speaks for themselves
Tatizo wewe hueleweki. Mara unasema David Gill. Tukikubana huko unahama fasta na kuelezea sababu nyingine. Ukibabwa kwingine ghafla unarudi tena na argument ya David Gill. Kwanza Gill kaingia kwenye board ya FA mwaka 2006 baada ya kuanguka kwa Liverpool. Na success kubwa ya Man Utd ilikuwa kabla ya 2006. Baada ya hapo Chelsea ndiyo ilidominate, sasa Man City.
Argument yako ya Gill ku-interfere aliianzisha Benitez lakini hakuna kocha mwingine alieyemuunga mkono, because it was a very silly argument. In fact he was elected by the other chief executives of the Premier league clubs, including wanaotoka hizo club ambazo unadai wanalalamika Man Utd kupendelewa. Kama wanaona anapendelea kwa nini wasingemwondoa kwenye huo wadhifa then?
Au kwa vile juzi kawa vice-president ndiyo imekuwa shida? Fans have always raised suspicion on referee favouritism against united and Gill's position in FA has contributed to many doubts. It has also been said that ferguson bribes referees and uses Gill's influence to win matches.
The recent ban to John Terry has been attributed to Gill wanting Terry out of United clash with Chelsea which United ended up winning through some controversial decisions from the referee. These things are the one which makes you suspicion of Gill.
Kama vile unafanisha mipira ya kwetu na hii ya wenzetu. They don't work like us ambao viongozi wa soka wanajifungia ndani na kupiga kura mchezaji Fulani achezee timu gain. Wenzetu wanafanya maamuzi kulingana na sheria.
Kama nilivyosema tokea mwanzo upendeleo upo kwa timu zote kubwa hasa zinapocheza nyumbani including Man Utd, Chelsea, Arsenal, Man City, etc.
Halafu FA inahusikaje na Premier League?
Martinez alipigwa faini coz alishindwa kudhibitisha madai yake au wewe ulifikiri FA ni kama TFF (viongozi wanajifungia ndani alafu wanapiga kura mchezaji huyu achezee simba na huyu achezee yanga), LolHamna anayebisha diving imezidi, suarez irritates even liverpool fans smtyms. Ila mbona husemi kuwa Man U ana. Average ya kupata penalt kila game 4, which means bado yuko on top.
Fuatilia kizungumkuti cha uchaguzi wa marefa kipindi hiki ambacho Man Utd inapata upinzani mkubwa kutoka kwa timu zaidi ya moja.
Roberto Martinez fined £10,000 for claiming referees favour Manchester United. (huyu wala si wa timu kubwa)
Martinez said: "You know what he is trying to do. I have come to United three times before today and for whatever reason we don't seem to be measured in the same manner as the team at home.