Sababu ya Man Utd kubebwa hii hapa

Sababu ya Man Utd kubebwa hii hapa

Hii kipande ninai-archive just in case. Nitakua nawaonesha hawa watu wanapopiga kelele,maana wana mikelele halafu wapo wengi,na hawapendi kukubali FACTS. It must be hurting inside ku-support timu ambayo one in every three wins is contentious. Hawataki tu kukubali.
Mike Riley, kiongozi wa marefa ligi kuu uingereza- alikuwa refa kipindi cha nyuma kidogo, aliyempa rooney penati ya kudive 2004 Man u ikiwapiga arsenal 2-0. Arsenal siku hiyo wakapoteza rekodi yao ya kutofungwa katika game 49. Mwaka 97/98-2004 amechezesha game za Man u 23, katika kipindi hicho amewapa utd penalty 12, ila 3 tu against them, ametoa kadi nyekundu 5 kwa wapinzani, at old trafford ametoa penat 10 katika game 14. Huyu ndo anaamua nani achezeshe game ipi kwa sasa

Ref wa jana Clattenburg hakuwa amechezesha game 38 za Man u katika michuano yoyote. Game yake ya mwisho kabla ya jana alitoa kadi nyekundu kwa evans na man u walilala 6-1 dhidi ya city. Aliporudi akatoa faida kwa Man u

Mike Jones alimpa Demba Ba penalty old trafford, mechi aliyochezesha man u after that akawapa Man u penat 2 dhid ya Stoke.

Asilimia 18 ya penalt alizotoa Howard webb maishani mwake, ameipa Man U.

Unamkumbuka Mark Halsey (aliyechezeshalast match Liverpool vs Manure)- aliwapa WBA penat walipodraw na Man u 1-1 at old trafford. (May 2005). Ilikuwa game yake ya 5 kuchezesha Man u hiyo season. Hakugusa mechi ya Man u mwaka mzima baada ya hapo. Alipozigusa 11 zilizofuata zote Man u alishinda, mojawapo ni ile ya Anfield ya mwisho, with 3 controversial decisions kwenda kwa Man U.

Michael Oliver took charge of Man u 2-1 loss at wolves feb 2011. Dec 2011 ndo akaja kugusa tena mechi ya Man u, mechi zote mbili Man u akshinda, akiwanyoma fulham penat kwenye mojawapo. Wiki chache zilizopita wakawapa penat ya kichekesho Man U baada ya welbeck kujirusha vs Wigan, unakumbuka?

Martin Atkinson ndo alishika mechi aliyopoteza Man u dhidi ya chelsea 2011. Akakaa mwaka mzima bila kupewa game ya Man u. Zaidi, akaadhibiwa kwa maamuzi yake ya siku hiyo. Hakugusa mechi yoyote ya ligi kuu kwa mwezi mzima, akapewa mechi tatu za ligi za chini msimu huo.

Man u alilala 3-1 kwa liverpool msimu wa 2010-11, refa akiwa Phil Dowd. Fergie akamuwakia kwa nini hakumtoa Carragher na Red. Game iliyofuata ya Man u (the very next game), Dowd akaishika, Man u wakapewa penat wakadraw 1-1dhidi ya Blackburn wakapata League title ya 19.

Chris Foy alichezesha mechi ya man utd ikilala 1-0 dhidi ya arsenal msimu uliopita. Mwaka mzima, Foy hajagusa mechi yoyote ya Man U. Game 2 za man u zilizofuata, alizochezesha, dhidi crystal palace, carling cup akawapa Man u penalty. Dhidi ya city, FA cup, akawapa penalty na red akala Kompany mapema tu.

Mike Jones, akachezesha Man u na Newcastle, ilikuwa draw ya 1-1, alimpa demba ba penat. Jones hakupewa mechi yoyote tena kwenye level yoyote kwa mwezi mzima. Game ya united aliyopewa baada ya hapo, Man u waliipiga. Stoke 2-0, penati 2 laini kwa Man U
Na Man U si alipigwa 3-2 na spurs? Si unajua Chris foy ndo alichezesha, si unajua hakuwapa penati? Hatachezesha game weekend ijayo, atachezesha mechi ya League 2 kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 4.

Mike Jones amefanywaje sasa maana hakutoa penalty ya wazi kwa Suarez dhidi ya norwich. Ye anachezesha game ya WBa vs QPR.
Na Howard Webb je?? Yeye alitoa kadi nyekundu kwa Jordi Gomez, ambayo imetenguliwa na FA, anashika game ya Newcastle na Man U, utampenda!! Kosa linamgharimu Foy lakini si hawa wengine, why???!!

Kusoma hujui, hata picha nayo huitambui?
 
Kosa alilofanya Evans kwenye mechi ya Man Utd v Man City lina tofauti gani na kosa alilofanya Ivanovic jana kwenye mechi ya Chelsea na Man City? Evans was rightly sent off. The same was Ivanovic. Both were the last men who denied Balatolli and Young the chance to score.

Haikuwa na shida kabisa na hata kadi ya Ivanovic haina shida kabisa, Mtawala Fergie anataka kudictate kila kitu na Facts hazidanganyi
 
Di Matteo is adamant there was contact between Fernando Torres and Jonny Evans and believes the Manchester United defender should have been sent off as he denied the Spaniard a goalscoring opportunity.
After the Blues had overturned a two-goal deficit, they were reduced to nine men when first Branislav Ivanovic was dismissed before Torres received a second yellow card for diving following Evans' challenge.
"The key decisions from the referee today probably influenced the result,'' said Di Matteo. "He sent off Fernando Torres and the third goal is offside and it clearly has decided the game.
"So it's a shame, because it was a good game of football with two good teams and the officials ruined it.
"He's (Torres) put the ball between his legs and is through and gets a kick on his shin and he goes down. It's a free-kick for us and I think it should have been a sending off for Evans because he's through to the goal. Everything went for United and that really makes us unhappy.
Evans has backed referee Mark Clattenburg for sending off Torres. Asked whether there was any contact between himself and Torres, Evans told Sky Sports 1: "At the time I didn't feel like I'd made contact but I've seen it again and there was a bit of contact. I didn't feel like it was enough to bring him down.
"He probably realised he wasn't getting the ball and I think the referee's made the right decision in sending him off.''
Ferguson believes Torres had only himself to blame for being sent off.
"Did he intend to dive? I thought he went down,'' said the Scot. "I think Jonny may have just caught him a little bit but he can either carry on running - which he could have done - but he chose to go down. He could have carried on and scored so I cannot understand it. It's his own fault.
"You have to give credit to Chelsea, they never gave in. They showed a great desire to get back in the game. I think the sending off from the right-back was the turning point. I think we wouldn't have won at that point. But we put Chicharito (Hernandez) on and he gets the winning goal and I think the momentum was with us then.''
Ferguson did, however, admit the visitors were fortunate with the winning goal, scored by Hernandez in an offside position.
"They say that the winning goal came from an offside, so that's the bit of luck I think we got,'' he said. "I said before the game we've had some shocking decisions down here. It's very difficult to come here and get all the decisions - I must say that. It's very difficult.''
The United boss even took issue with Antonio Valencia's own booking for diving under pressure from John Obi Mikel.
"I thought that it got a bit nasty," he said. "The booking of Antonio, I can't quite understand, because he's right through. There's no reason for him to go down.
"He was definitely taken, and he's been booked for it, because it was Mikel, you see, and Mikel's already been booked. I think that's the reason the referee had to do that because he would've had to send Mikel off.''
Evans added: "I think that's probably the hardest game we've had this season, especially towards the end of the first half. Chelsea really came at us and put the pressure on us and it was tough. We were probably lucky to see it out 2-1 at half-time.
"You've got to show character in games like this. We came out for the second half and you've got to stand up coming here to Stamford Bridge. It's a tough game, we knew we were going to be under pressure and they get the equaliser and the sendings off in-between that but we managed to finish it off in the end.''
Match-winner Hernandez claims all he is worried about is securing the three points and not if he was offside for his goal.
"We don't care. We win. We have the three points, that's the only thing on my mind,'' the Mexican said. "For some people it will be be very controversial and for other people it won't. We're very happy because we get the three points.''
 
kwa nini watu wote waiseme man tu na isisemwe arsenal,chelsea n.k? naungana na mleta uzi ...why always man?
 
Di Matteo is adamant there was contact between Fernando Torres and Jonny Evans and believes the Manchester United defender should have been sent off as he denied the Spaniard a goalscoring opportunity.
After the Blues had overturned a two-goal deficit, they were reduced to nine men when first Branislav Ivanovic was dismissed before Torres received a second yellow card for diving following Evans' challenge.
"The key decisions from the referee today probably influenced the result,'' said Di Matteo. "He sent off Fernando Torres and the third goal is offside and it clearly has decided the game.
"So it's a shame, because it was a good game of football with two good teams and the officials ruined it.
"He's (Torres) put the ball between his legs and is through and gets a kick on his shin and he goes down. It's a free-kick for us and I think it should have been a sending off for Evans because he's through to the goal. Everything went for United and that really makes us unhappy.
Evans has backed referee Mark Clattenburg for sending off Torres. Asked whether there was any contact between himself and Torres, Evans told Sky Sports 1: "At the time I didn't feel like I'd made contact but I've seen it again and there was a bit of contact. I didn't feel like it was enough to bring him down.
"He probably realised he wasn't getting the ball and I think the referee's made the right decision in sending him off.''
Ferguson believes Torres had only himself to blame for being sent off.
"Did he intend to dive? I thought he went down,'' said the Scot. "I think Jonny may have just caught him a little bit but he can either carry on running - which he could have done - but he chose to go down. He could have carried on and scored so I cannot understand it. It's his own fault.
"You have to give credit to Chelsea, they never gave in. They showed a great desire to get back in the game. I think the sending off from the right-back was the turning point. I think we wouldn't have won at that point. But we put Chicharito (Hernandez) on and he gets the winning goal and I think the momentum was with us then.''
Ferguson did, however, admit the visitors were fortunate with the winning goal, scored by Hernandez in an offside position.
"They say that the winning goal came from an offside, so that's the bit of luck I think we got,'' he said. "I said before the game we've had some shocking decisions down here. It's very difficult to come here and get all the decisions - I must say that. It's very difficult.''
The United boss even took issue with Antonio Valencia's own booking for diving under pressure from John Obi Mikel.
"I thought that it got a bit nasty," he said. "The booking of Antonio, I can't quite understand, because he's right through. There's no reason for him to go down.
"He was definitely taken, and he's been booked for it, because it was Mikel, you see, and Mikel's already been booked. I think that's the reason the referee had to do that because he would've had to send Mikel off.''
Evans added: "I think that's probably the hardest game we've had this season, especially towards the end of the first half. Chelsea really came at us and put the pressure on us and it was tough. We were probably lucky to see it out 2-1 at half-time.
"You've got to show character in games like this. We came out for the second half and you've got to stand up coming here to Stamford Bridge. It's a tough game, we knew we were going to be under pressure and they get the equaliser and the sendings off in-between that but we managed to finish it off in the end.''
Match-winner Hernandez claims all he is worried about is securing the three points and not if he was offside for his goal.
"We don't care. We win. We have the three points, that's the only thing on my mind,'' the Mexican said. "For some people it will be be very controversial and for other people it won't. We're very happy because we get the three points.''
Kwenye hizo reds kunaonyesha kujiuma uma.
 
Kwenye hizo reds kunaonyesha kujiuma uma.
Dude, you look so biased anyway!! Lets wait and see where it ends. Sidhani kama kuna siku utakuja kusema kwa hili na hili Man Utd walionewa, I think it will never happen. Kwangu mimi napenda mpira uchezwe na timu bora ipatikane!! Ikitokea timu zinafanya magumashi au zinafanya makosa kwa nini wasiadhibiwe? By the way... Chelsea kufungwa si mara ya kwanza lakini huwa hamkubali. The same goes to Arsenal and the likes!! Chezeni mpira acheni kulalamika lalamika kila wakati, it doesn't help.
 
mi_mdau kwanza kabisa liverpool imechukua top flight mara 18 na haijawahi kuchukua ligi kuu(iliyoanzishwa 1992). kuhusu kupendelewa na Webb na marefa wengine, watu wanaangalia yale maamuzi yaliyotolewa in favour of Man utd, lakini yale mengine hawayaangalii. Webb alishawahi kumpa red card Cristiano alipojikinga uso na mikono yake mpira ukielekea usoni. Msimu wa 2009/2010 Chelski waliifunga utd home and away, kwenye mechi ya kwanza chelski walishinda 1-0, kabla ya kufunga goli JT alimsukuma beki wa utd(evans) hivyo goli likafungwa, mechi ya pili Drogba alifunga goli akiwa ameotea(angalia picha ya wa-ukenyenge). Goli la Hernandez alikuwa offside na wala sio goli la kwanza la offside kufungwa kwenye ligi kuu wala halitakuwa la mwisho kwa sababu mwamuzi msaidizi ni binadamu, kwenye split second Hernandez alikuwa ameingia kwenye nyavu kuufuata mpira, mpira ukarudi, rafael anapiga rebound, hernandez anatoka offside pos anakuwa onside, ilikuwa ni haraka mno kwa mwamuzi msaidizi kuona. Sijui kwanini watu hamuongelei penalti ambayo utd walinyimwa David Luiz alivyoshika mpira, nadhani matokeo yangekuwa 3-0 na mchezo kubadilika kabisa.
Game ya FA dhidi ya City, Kompany alikuwa anaenda kumaliza career ya Nani, ile ilikuwa ni straight red labda kama hukuangalia mechi. Liver ni timu kubwa UK kusema kama kuna conspirancy dhidi yao naona si sahihi ni ishu ya muda wakipata mmiliki mzuri na kocha mwenye malengo ya muda mrefu watafanya vizuri, kumbuka kwamba Man ilikuwa tishio sana 1950's ikaja kutokea ajali ya Munich, baadaye 1968 wakachukua UCL(katika mfumo wa muda ule) then wakashuka daraja baadaye wakapanda daraja, fergie aliajiriwa 1986 na baada ya miaka 7 akachukua kombe la ligi kuu. Kwa hiyo siku moja Liver inaweza kuja kuwa vizuri. Viongozi wa vilabu huwa wanakuwa katika uongozi wa FA hata hapa tz.
Gang Chomba vieira alifanya unsporting behaviour red card ilikuwa haki yake, na wachezaji watano wa Arse8 waliadhibiwa baada ya ile game.
Mwana Mtoka Pabaya shelvey aliingia na open studs hiyo ni red, kabla ya hapo alifanya dissent to the referee.

Game plan ya Chelsea jana ilishindwa. Wale wakina Oscar na Hazard ni kama vile hawakabi kabisa, no tracking back, timu inabaka vurnerable kwenye counter attack, mechi zinazokuja chelski watakuwa na wakati mgumu sana.
 
Last edited by a moderator:
65304_292919700818825_1247925582_n.jpg

:becky::becky::becky:
 
Refaree ni binadamu kama wewe! kuna human error! anaweza fanya mistake or a stupid mistake(Blunder).

Goli mbili za mwanzo zilifungwa wakati chelsea wakiwa pungufu au wamekamilika??
mbona hapa bongo kamati ya ligi inajumuisha viongozi wa timu

achana nao hao watachonga mpaka kesho..alafu cha ajabu mtu huyo huyo alieandika pumba hapo juu timu yake ikipendelewa atakaa kimyaa....wazushi tuuu embu kwanza wacheki table hapo chini

[TABLE="class: miniTable"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TH][/TH]
[TH]P[/TH]
[TH]W[/TH]
[TH]D[/TH]
[TH]L[/TH]
[TH]GD[/TH]
[TH]Pts[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Chelsea
[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]12[/TD]
[TD]22[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Manchester United[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD]21[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Manchester City[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]21[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Tottenham Hotspur[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]17[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Everton[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Arsenal
[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Fulham[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]14[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]West Bromwich Albion[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]14[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]West Ham United[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]14[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Newcastle United[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]-2[/TD]
[TD]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Swansea City[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Liverpool
[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]-2[/TD]
[TD]10[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Stoke City[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]-1[/TD]
[TD]9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Sunderland[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]-2[/TD]
[TD]9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Wigan Athletic[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]-6[/TD]
[TD]8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Norwich City[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]-11[/TD]
[TD]7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Aston Villa[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]-7[/TD]
[TD]6[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Reading[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]-6[/TD]
[TD]4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Southampton[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD]-12[/TD]
[TD]4[/TD]
[/TR]
[TR="class: last"]
[TD="class: tableRowTeam"]Queens Park Rangers[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
mi_mdau kwanza kabisa liverpool imechukua top flight mara 18 na haijawahi kuchukua ligi kuu(iliyoanzishwa 1992). kuhusu kupendelewa na Webb na marefa wengine, watu wanaangalia yale maamuzi yaliyotolewa in favour of Man utd, lakini yale mengine hawayaangalii. Webb alishawahi kumpa red card Cristiano alipojikinga uso na mikono yake mpira ukielekea usoni. Msimu wa 2009/2010 Chelski waliifunga utd home and away, kwenye mechi ya kwanza chelski walishinda 1-0, kabla ya kufunga goli JT alimsukuma beki wa utd(evans) hivyo goli likafungwa, mechi ya pili Drogba alifunga goli akiwa ameotea(angalia picha ya wa-ukenyenge). Goli la Hernandez alikuwa offside na wala sio goli la kwanza la offside kufungwa kwenye ligi kuu wala halitakuwa la mwisho kwa sababu mwamuzi msaidizi ni binadamu, kwenye split second Hernandez alikuwa ameingia kwenye nyavu kuufuata mpira, mpira ukarudi, rafael anapiga rebound, hernandez anatoka offside pos anakuwa onside, ilikuwa ni haraka mno kwa mwamuzi msaidizi kuona. Sijui kwanini watu hamuongelei penalti ambayo utd walinyimwa David Luiz alivyoshika mpira, nadhani matokeo yangekuwa 3-0 na mchezo kubadilika kabisa.
Game ya FA dhidi ya City, Kompany alikuwa anaenda kumaliza career ya Nani, ile ilikuwa ni straight red labda kama hukuangalia mechi. Liver ni timu kubwa UK kusema kama kuna conspirancy dhidi yao naona si sahihi ni ishu ya muda wakipata mmiliki mzuri na kocha mwenye malengo ya muda mrefu watafanya vizuri, kumbuka kwamba Man ilikuwa tishio sana 1950's ikaja kutokea ajali ya Munich, baadaye 1968 wakachukua UCL(katika mfumo wa muda ule) then wakashuka daraja baadaye wakapanda daraja, fergie aliajiriwa 1986 na baada ya miaka 7 akachukua kombe la ligi kuu. Kwa hiyo siku moja Liver inaweza kuja kuwa vizuri. Viongozi wa vilabu huwa wanakuwa katika uongozi wa FA hata hapa tz.
Gang Chomba vieira alifanya unsporting behaviour red card ilikuwa haki yake, na wachezaji watano wa Arse8 waliadhibiwa baada ya ile game.
Mwana Mtoka Pabaya shelvey aliingia na open studs hiyo ni red, kabla ya hapo alifanya dissent to the referee.

Game plan ya Chelsea jana ilishindwa. Wale wakina Oscar na Hazard ni kama vile hawakabi kabisa, no tracking back, timu inabaka vurnerable kwenye counter attack, mechi zinazokuja chelski watakuwa na wakati mgumu sana.

Nianze kwa kusema kuwa hizo hesabu za mataji hata za Man u zinaanza toka ligi haijabdilishwa jina, kimsingi ni jina tu. Nashukuru kwa kusahihisha, ni 18 for Liverpool. Je unakumbuka malalamiko ya benitez kuhusu uamuzi na kupangiwa mechi za mchana mfululizo wakati akiwa kocha?? By then LFC were serious title contenders. Usikatae kuwa haiwezekani kuwa na conspiracy against LFC, it is very possible. Nikiweza ntacompile data kuhusu hilo halafu mniprove wrong. Season hii pekee ni kama game 4 maamuzi yameicost Liverpool na kocha ashalalamika, jana ni mfano mwingine.
Suala la Luiz kushika linaongelewa as if kila mpira unaomgonga mtu mkononi unatakiwa kuwa penalty, si sawa.
Kuhusu maamuzi tata kuongelewa upande mmoja, nilichojaribu kufanya si kuonyesha. Kuwa Man utd anapendelewa, ila anapendelewa mara ngapi ukilinganisha na wapinzani wake. Data za howard webb ziko wazi, Data za Mike riley zinaeleza vizuri (kwa kulinganisha). Ofcoz lazima kutakuwa na maamuzi yaliyoenda against Man Utd, ila ni mangapi ukilinganisha na wengine? Ndio umuhimu wa hizo statistics.
Shelvey na Evans that day wote walionyesha studs, Van persie hakufanya tofauti, it was only less aggressive ukilinganisha na shelvey. Bado haifanyi kuwa halali.
Utaratibu wa viongozi kuwa kwenye vyama ni sehemu nyingi tu,hatukatai. Lakini common sense lazima itumike mara nyingine, sio suala la utaratibu tu. Gill amekaa kwenye board toka 2006, now 2012 abakuwa vice chairman, lazima atakuwa na influence tu. Na kwa nini walikuwa wakina david dein, rick parry,hawakulalamikiwa?
Referees selection ni issue na data nilizotoa zinajieleza.
Man Utd ni timu nzuri lakini hawatakiwi kusaidiwa au kuonekana wanasaidiwa kila siku.
 
Last edited by a moderator:
achana nao hao watachonga mpaka kesho..alafu cha ajabu mtu huyo huyo alieandika pumba hapo juu timu yake ikipendelewa atakaa kimyaa....wazushi tuuu embu kwanza wacheki table hapo chini

[TABLE="class: miniTable"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TH][/TH]
[TH]P[/TH]
[TH]W[/TH]
[TH]D[/TH]
[TH]L[/TH]
[TH]GD[/TH]
[TH]Pts[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Chelsea
[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]12[/TD]
[TD]22[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Manchester United[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]11[/TD]
[TD]21[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Manchester City[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]21[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Tottenham Hotspur[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]17[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Everton[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Arsenal
[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Fulham[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]14[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]West Bromwich Albion[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]14[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]West Ham United[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]14[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Newcastle United[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]-2[/TD]
[TD]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Swansea City[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Liverpool
[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]-2[/TD]
[TD]10[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Stoke City[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]-1[/TD]
[TD]9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Sunderland[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]6[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]-2[/TD]
[TD]9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Wigan Athletic[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]2[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]-6[/TD]
[TD]8[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Norwich City[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]-11[/TD]
[TD]7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Aston Villa[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]3[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]-7[/TD]
[TD]6[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Reading[/TD]
[TD]8[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]4[/TD]
[TD]-6[/TD]
[TD]4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tableRowTeam"]Southampton[/TD]
[TD]9[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]7[/TD]
[TD]-12[/TD]
[TD]4[/TD]
[/TR]
[TR="class: last"]
[TD="class: tableRowTeam"]Queens Park Rangers[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

We ndo unaongea pumba,Table imefanya nini sasa?? Asiyejua table ni nani. Unatuonyesha table ili tuone mnavyopendelewa au. Kajifunze jinsi ya kuargue siyo unaropoka kama wale watu wa vijiweni ambao hata mipira hawaangalii.
 
Haikuwa na shida kabisa na hata kadi ya Ivanovic haina shida kabisa, Mtawala Fergie anataka kudictate kila kitu na Facts hazidanganyi

I don't support Man Utd or Liverpool lakini allegation yako kuwa David Gill anaikandamiza Liverpool ni vigumu kuikubali. Utasema pia the decline of Arsenal ni kwa sababu ya David Gill?

Kwanza rival wala siyo kati ya timu tuu, bali unaextend mpaka kwenye miji. Kuna rival kubwa kati ya miji ya Manchester na Liverpool. Zamani Liverpool ndiyo ulikuwa mji mkubwa kaskazini mwa Uingereza, lakini siku hizi mambo yamebadilika. Siku hizi kuna modern cities, like Manchester, Leads, etc.

Decline ya Liverpool imesababishwa na more than just Manchester Utd.
 
I don't support Man Utd or Liverpool lakini allegation yako kuwa David Gill anaikandamiza Liverpool ni vigumu kuikubali. Utasema pia the decline of Arsenal ni kwa sababu ya David Gill?

Kwanza rival wala siyo kati ya timu tuu, bali unaextend mpaka kwenye miji. Kuna rival kubwa kati ya miji ya Manchester na Liverpool. Zamani Liverpool ndiyo ulikuwa mji mkubwa kaskazini mwa Uingereza, lakini siku hizi mambo yamebadilika. Siku hizi kuna modern cities, like Manchester, Leads, etc.

Decline ya Liverpool imesababishwa na more than just Manchester Utd.

Inategemea unaongelea decline ya Liverpool kipindi gani. Mi naongelea kipindi david Gill yupo na ferguson,wakati ambapo liverpool ilikuwa inaamka, ikafika fainali ya uefa mara 2 ndani ya miaka mitatu na kuchukua kombe kwa mara ya 5. Ilikuwa karibu kuchukua tena kuchukua league title na ndipo ugomvi na ferguson ukakolea. Aliongea haya mambo, marefa, kupangiwa game za mchana mfululizo. Pamoja na sababu nyingine (sera za wamiliki na matokeo ya uwanjani) vikamwondoa benitez. Toka hapo Liverpool ikarudi tena chini na sasa inajenga upya timu baada ya kuwa na wamiliki wapya, kocha mpya, style mpya na uchezaji mpya. Nilishasema kama mtu haamini siasa ipo kwenye soka basi hajui vizuri soka, hasa ya ulaya. Ni uingereza tu ndo wanafiki kuwa soka lao ni safi, huu ni unafiki kama uliokuwepo italy na ujerumani. Juve walishushwa daraja, hakunaaliyetegemea. Ni watu tu waliamua kufanya uchunguzi basi. Siyo kwamba ilikuwa wazi sana. Kila timu ina sababu zake za kupanda au kushuka. Decline ya arsenal kwa mfano ni tofauti, wao zaidi wanashinda kuretain wachezaji wao na wanaimarisha wapinzani (RVP ni mfano mzuri). CR asingweza kuuzwa kwa arsenal au liverpool hata wangetoa sh ngapi. Gill hawezi kuhangaika na arsenala au man city ambao hawawezi kuwabadilishia historia hivi karibuni.
Suala la rivarly halibadiliki hata siku moja, ni traditional. Hata liverpool wana wapinzani wnegine wa mji (everton) ila upinzani wao si wa jadi kama wa liverpool na Man utd, haubadiliki
 
Inategemea unaongelea decline ya Liverpool kipindi gani. Mi naongelea kipindi david Gill yupo na ferguson,wakati ambapo liverpool ilikuwa inaamka, ikafika fainali ya uefa mara 2 ndani ya miaka mitatu na kuchukua kombe kwa mara ya 5. Ilikuwa karibu kuchukua tena kuchukua league title na ndipo ugomvi na ferguson ukakolea. Aliongea haya mambo, marefa, kupangiwa game za mchana mfululizo. Pamoja na sababu nyingine (sera za wamiliki na matokeo ya uwanjani) vikamwondoa benitez. Toka hapo Liverpool ikarudi tena chini na sasa inajenga upya timu baada ya kuwa na wamiliki wapya, kocha mpya, style mpya na uchezaji mpya. Nilishasema kama mtu haamini siasa ipo kwenye soka basi hajui vizuri soka, hasa ya ulaya. Ni uingereza tu ndo wanafiki kuwa soka lao ni safi, huu ni unafiki kama uliokuwepo italy na ujerumani. Juve walishushwa daraja, hakunaaliyetegemea. Ni watu tu waliamua kufanya uchunguzi basi. Siyo kwamba ilikuwa wazi sana. Kila timu ina sababu zake za kupanda au kushuka. Decline ya arsenal kwa mfano ni tofauti, wao zaidi wanashinda kuretain wachezaji wao na wanaimarisha wapinzani (RVP ni mfano mzuri). CR asingweza kuuzwa kwa arsenal au liverpool hata wangetoa sh ngapi. Gill hawezi kuhangaika na arsenala au man city ambao hawawezi kuwabadilishia historia hivi karibuni.
Suala la rivarly halibadiliki hata siku moja, ni traditional. Hata liverpool wana wapinzani wnegine wa mji (everton) ila upinzani wao si wa jadi kama wa liverpool na Man utd, haubadiliki

Nikuulize swali fupi tuu. Kwa mtazamo wako, Liverpool ilianza ku-decline lini?
 
mi_mdau kwanza kabisa liverpool imechukua top flight mara 18 na haijawahi kuchukua ligi kuu(iliyoanzishwa 1992). kuhusu kupendelewa na Webb na marefa wengine, watu wanaangalia yale maamuzi yaliyotolewa in favour of Man utd, lakini yale mengine hawayaangalii. Webb alishawahi kumpa red card Cristiano alipojikinga uso na mikono yake mpira ukielekea usoni. Msimu wa 2009/2010 Chelski waliifunga utd home and away, kwenye mechi ya kwanza chelski walishinda 1-0, kabla ya kufunga goli JT alimsukuma beki wa utd(evans) hivyo goli likafungwa, mechi ya pili Drogba alifunga goli akiwa ameotea(angalia picha ya wa-ukenyenge). Goli la Hernandez alikuwa offside na wala sio goli la kwanza la offside kufungwa kwenye ligi kuu wala halitakuwa la mwisho kwa sababu mwamuzi msaidizi ni binadamu, kwenye split second Hernandez alikuwa ameingia kwenye nyavu kuufuata mpira, mpira ukarudi, rafael anapiga rebound, hernandez anatoka offside pos anakuwa onside, ilikuwa ni haraka mno kwa mwamuzi msaidizi kuona. Sijui kwanini watu hamuongelei penalti ambayo utd walinyimwa David Luiz alivyoshika mpira, nadhani matokeo yangekuwa 3-0 na mchezo kubadilika kabisa.
Game ya FA dhidi ya City, Kompany alikuwa anaenda kumaliza career ya Nani, ile ilikuwa ni straight red labda kama hukuangalia mechi. Liver ni timu kubwa UK kusema kama kuna conspirancy dhidi yao naona si sahihi ni ishu ya muda wakipata mmiliki mzuri na kocha mwenye malengo ya muda mrefu watafanya vizuri, kumbuka kwamba Man ilikuwa tishio sana 1950's ikaja kutokea ajali ya Munich, baadaye 1968 wakachukua UCL(katika mfumo wa muda ule) then wakashuka daraja baadaye wakapanda daraja, fergie aliajiriwa 1986 na baada ya miaka 7 akachukua kombe la ligi kuu. Kwa hiyo siku moja Liver inaweza kuja kuwa vizuri. Viongozi wa vilabu huwa wanakuwa katika uongozi wa FA hata hapa tz.
Gang Chomba vieira alifanya unsporting behaviour red card ilikuwa haki yake, na wachezaji watano wa Arse8 waliadhibiwa baada ya ile game.
Mwana Mtoka Pabaya shelvey aliingia na open studs hiyo ni red, kabla ya hapo alifanya dissent to the referee.

Game plan ya Chelsea jana ilishindwa. Wale wakina Oscar na Hazard ni kama vile hawakabi kabisa, no tracking back, timu inabaka vurnerable kwenye counter attack, mechi zinazokuja chelski watakuwa na wakati mgumu sana.

Refa aliyempa red Torres siyo yule aliyekubali goli la offside alilofunga Torres dhidi ya Reading msimu huu?
 
Nikuulize swali fupi tuu. Kwa mtazamo wako, Liverpool ilianza ku-decline lini?

Walishinda taji la ligi last tym 1990. From there ni kama decline kwa sababu hawajachukua tena ligi. Ila kipindi kirefu hapo katikati liverpool imemaintain top four, 2004-2008 ikawa inaamka tena, toka hapo tena ni decline kwa sababu hata top four hakuna.
 
Walishinda taji la ligi last tym 1990. From there ni kama decline kwa sababu hawajachukua tena ligi. Ila kipindi kirefu hapo katikati liverpool imemaintain top four, 2004-2008 ikawa inaamka tena, toka hapo tena ni decline kwa sababu hata top four hakuna.

So, what caused the decline from 1990? David Gill?
Do you think the move from former league system to the Premierleague contributed to the decline of Liverpool's dominance?
Because baada ya hapo ndo tuliona timu kama Blackburn, Newcastle Utd, Nottingham Forest zinakuja juu. Why was this?
 
.......By then LFC were serious title contenders. Usikatae kuwa haiwezekani kuwa na conspiracy against LFC, it is very possible. .......
Suala la Luiz kushika linaongelewa as if kila mpira unaomgonga mtu mkononi unatakiwa kuwa penalty, si sawa.
Kuhusu maamuzi tata kuongelewa upande mmoja, nilichojaribu kufanya si kuonyesha. Kuwa Man utd anapendelewa, ila anapendelewa mara ngapi ukilinganisha na wapinzani wake. .......Gill amekaa kwenye board toka 2006, now 2012 abakuwa vice chairman, lazima atakuwa na influence tu. Na kwa nini walikuwa wakina david dein, rick parry,hawakulalamikiwa?
Referees selection ni issue na data nilizotoa zinajieleza.
Man Utd ni timu nzuri lakini hawatakiwi kusaidiwa au kuonekana wanasaidiwa kila siku.

Mkuu, Benitez alikuwa hajui kuwa kushinda league ni kama vile mashindano ya marathon, msimu wa 2008/2009 liver walianza kwa kasi kubwa ilipofika boxing day na kuendelea wakaanza kutoa draws mfululizo, ratiba ya ucl ikawa inawabana, na muda huohuo Benitez akasaini mkataba mpya na klabu ambao baadaye ulikuja kumpa pesa nyingi pale alipoondoka kwa mutual consent. Kumbuka kuwa ni muda huu Liverpool iliishinda utd old Trafford baada ya kipindi kirefu tangu muda wa Gerald Houllier(2001), tena Liverpool ilishinda 4-1, Vidic alipewa red card. Kama David Gill angekuwa na hizo nguvu za kupendelea man utd nje ya uwanja sidhani kwamba angeachia Man utd ipigwe 4 na liver tena nyumbani.
Vile vile kama david gill angekuwa na hizo nguvu sidhani kama angekubali Man utd kufungwa na Wigan na kutoa draw ya 4-4 vs evarton katika game za mwisho mwisho hivyo gap la utd na city kupungua.
Man kuonekana wanasaidiwa au wanapewa penalties ni kwa sababu wanashambulia zaidi na wanafika zaidi katika goli la upinzani, wanafanya counter attacks zaidi ambazo zinaweza kusababisha refa kushindwa kwenda na kasi ya mpira kuhama kutoka timu/upande mmoja kwenda upande/timu nyingine hivyo kutoa maamuzi yasiyo sahihi. Pia maranyingi refa hutoa benefit of the doubt kwa yule aliye katika nafasi ya kufunga goli, sio kwa yule anafungwa/kuzuia goli.
 
I don't support Man Utd or Liverpool lakini allegation yako kuwa David Gill anaikandamiza Liverpool ni vigumu kuikubali. Utasema pia the decline of Arsenal ni kwa sababu ya David Gill?

Kwanza rival wala siyo kati ya timu tuu, bali unaextend mpaka kwenye miji. Kuna rival kubwa kati ya miji ya Manchester na Liverpool. Zamani Liverpool ndiyo ulikuwa mji mkubwa kaskazini mwa Uingereza, lakini siku hizi mambo yamebadilika. Siku hizi kuna modern cities, like Manchester, Leads, etc.

Decline ya Liverpool imesababishwa na more than just Manchester Utd.

washabiki wa kibongo wananifurahisha kweli....yaani jinsi watu walivyozoea kuilalamikia man utd sasa hivi wanasema david gill anaikandamiza liverpool? :biggrin1: aisee kuna watu wananivunjaga mbavu humu ndani usihangaike sana kubishana nao utaongea mpaka kesho...

manchester utd ndio waliwaleta tom and gillett liverpool sio? wakati wananunua expensive players wakati walikua hawana enough money ya kuwahudumia ni kosa la man utd huh...kenny daglish alivoletwa liverpool akaamua kuspend 30million pound on andy carroll na kuwanunua mediocre players like adams, henderrson na downing ni kosa la man utd huh


yaani sikujua wabongo hawajui soka la europe...jamani bora tuaze kuongelea yanga, simba, azam na wengineo wa hapa labda ndio tutaelewana vizuri acheni mipira ya ulaya kwa wengine...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom