Sababu ya Man Utd kubebwa hii hapa

Sababu ya Man Utd kubebwa hii hapa

Wewe mfuatiliaji sana wa siasa za soka, ivi nkuulize kama Gill anafanya mitikasi ya kuizuia liverpool isichukue ubingwa wa ligi, kwanini asizuie FA na Carling? Au FA na carling ni makombe ambayo hayapo chini ya FA?

Usijidai buree kama eti liverpool inazuiwa ma Gill, timi yako liverpool ni mbovuuuu!!! Wangeizuia man city isichukue ubingwa! Mukishakufungwa mnakua hamina jipya

sasa kama wewe ni mtu wa mpira huoni tofauti ya hayo makombe na ligi kuu. Ukishinda kikombe cha ligi ambacho kwanza nikusahihishe kwa sasa kinaitwa CAPITAL ONE na sio CARLING tena, unaenda kucheza europa league ambayo si kubwa na inachosha kwa kuwa ina mechi nyingi zaidi. Havina zawadi wala heshima kama ligi kuu. Mfano mzuri ni unapoizarau Liverpool wakati ndio bingwa wa Kikombe cha Ligi kwa sasa. Nimekujibu ila umeulizwa swali la kitoto sana. Na kwa taarifa yako kufa kwa timu hakutokei ghafla, misimu kadhaa iliyopita liverpool ilikuwa inafanya vizuri kwenye ligi, ikachukua eufa champions league, na kufika fainali ndani ya misimu miwili. ikashika nafasi ya pili wakati huo ikiwa na benitez. Timu ikaanza kuboronga baada ya Benitez kuanza kusema ukweli, what a conincedence??? Na kweli mission ikakamilika Man Utd na Liverpool wote kwa sasa wana 19 league tiltles, Liverpool wakiwa hawana dalilli ya kuongeza kingine karibuni. Kama we ni mtu wa mpira fuatilia matukio ya mechi zote au ukishindwa sema ntakuletea data ya haya mambo.
 
kuna refa anaitwa Mike Rirey, huyu jamaa ni Man UTD damu.
Yeye huwa anadili na wachezaji wakorofi wa timu pinzani na Man UTD na ndio maana katika enzi yake ashawahi kufokewa na kusukumwa mpaka chini na Paul di Canio, ashawahi kutemewa mate na Gavana Paul Ince na ashawahi kutukanwa na Kaka mkuu Patrick Vieira katika mechi ambayo iliisha kwa sare ya bila kufungana.

lakini palitokea na vurugu kuubwa uwanjani old traford.
Katika tukio la kushangaza siku hiyo Vieira akiwa na mpira Ruud Van Nisteeroy alikuja na kumrukia kwa nyuma na Vieira akadondoka chini.

ili kumpandisha hasira Vieira basi Ruud Van akasimama mbele ya Vieira aliyekuwa chini huku maneno yakimtoka.

Ndipo Vieira akainua mguu na kutisha kama anamrushia teke.
Na hapo Ruud van akakimbia hatua kadhaa nyuma huku akimlalamikia refa ambaye alikuwa eneo la tukio na kumpa Vieira kadi nyekundu.

Mechi haikuishia kuharibika hapo kwani dakika za usiku Rirey akatoa penati ambayo Ruud Van aliipiga na kugonga mwamba na mpira kuisha na ndipo wachezaji wa Arsenal wakiongozwa na Generali Martin Keown na Brigadia Generali Ray Palour walipoongoza kipigo kwa Ruud van na baadhi ya wachezaji wenzie.

Hivyo naungana na mtoa mada kuwa wajomba wanapendelewa na waamuzi.
Ni kama Juventus kule Italia.

Usinikumbushe hiyo mechi mdau. Yaani hawa jamaa kila siku ni kubebwa tu. Kama kuna kituko waamuzi wanafanya, basi kile cha Liverpool ni kiboko. Man U hamna kitu, ni vile marefa hawatoi nafasi ya mechi kuamuliwa na watu 22.

That day last season refa aliwaacha wenyewe wakanyukwa na Man City ndani nje
 
Yaani nimeshindwa hata kua neutral maana umezidisha siasa na mapenzi yako binafsi. Chelsea walianza ligi kwa kupewa penalt nyingi sana na nyingi zenye utata pia chelsea wamewahi kupewa goli la offside ya zaidi ya watu 4 yaani hata kuendelea kueleza ni kujichosha tu. Kwahy wewe unatakiwa uangalie makosa na kuyachambua kisoka zaidi na si kukimbilia kwny siasa na mapenzi binafsi. Pia juzi tumeshuhudia Arteta akipata goli la kuotea lakini tunajua kua kwa mazingira yale ni vigumu kwa refa kumudu maamuzi.

chambua soka ueleweke na watu waendelee kuujua mpira na si uzushi, siasi na mapenzi yako binafsi.
 
Matapishi tupu haya! Yananukaaaaaaaaa!

leta ambayo si matapishi. Ndolanga anawapendaga sana nyie.... "bwa bwa bwaa, kama bata" Yani unabwabwaja, huna facts.
 
Bangi unayovuta inatoka Mara,Arusha au Mbeya? Peleka hizo bangi zako chitchat.

Hivi akija mtu akaangalia mimi na wewe tulivyopost, nani ataonekana mfuasi wa Ponda?????
 
Yaani nimeshindwa hata kua neutral maana umezidisha siasa na mapenzi yako binafsi. Chelsea walianza ligi kwa kupewa penalt nyingi sana na nyingi zenye utata pia chelsea wamewahi kupewa goli la offside ya zaidi ya watu 4 yaani hata kuendelea kueleza ni kujichosha tu. Kwahy wewe unatakiwa uangalie makosa na kuyachambua kisoka zaidi na si kukimbilia kwny siasa na mapenzi binafsi. Pia juzi tumeshuhudia Arteta akipata goli la kuotea lakini tunajua kua kwa mazingira yale ni vigumu kwa refa kumudu maamuzi.

chambua soka ueleweke na watu waendelee kuujua mpira na si uzushi, siasi na mapenzi yako binafsi.

tunazungumzia maamuzi ambayo yanaleta tofauti kwenye mchezo, si maamuzi ya kawaida ambayo refa hana budi kuyatoa. Unataka niwe neutral ili iweje?? sio lazima niwe neutral. Sijatoa facts ili niwe neutral ila kuonyesha ukweli. Board ya FA kwa mfano in wajumbe wa vilabu kadhaa vya uingereza, lakini ni tatizo mtu anapokaa muda mrefu huku ikionekana wazi kupendelea timu yake. Kisheria anaruhusiwa ila ni ushawishi wake. David Moyes, kocha wa everton na rafiki wa Fergie aliwahi kuomba uchunguzi ufanyike kuhusu uhusiano kati ya Mike Riley na Man Utd. FA walimtishia ajieleze naona kapiga kimya
 
26639_449151571809254_560298313_n.jpg

Duh WA-UKENYENGE umemaliza kila kitu kuna watu wana wivu na Man mpaka unashangaa.
 
Last edited by a moderator:
Hizi human erro mbona zinaelekeaga upande wa wapinzani tu? That day, Shevley (Liverpool) alitolewa kwa red card kwa kosa lisilo na kichwa wala miguu, muda si mrefu, Van Persie akafanya faulo mbaya na hakupata hata njano.

Van Persie kampiga Cabaye kipepsi mbele ya Lines Man, nayo kwa human error hakuonekana.


Lini tutaona human error zikitokea in favor of Man U's opponents?

povu lote la nini! Tusubili j5 kwenye carling cup! tena tutapanga kikosi cha pili! chezea red devils eeeeh!
 
Huyu aliyeleta uzi na wenzake wanasumbuliwa na wivu wa kitoto tu. Walitaka wafanye faulu kama hizi refa akae kimya akihofu kuambiwa anaibeba Man U. Tatizo la timu kama LIVERPOOL, CHELSEA, ARSENAL zinajengwa kisaikolojia kukamia baadhi ya mechi na ndio maana wanacheza kwa mibavu pasipo akili wanaumiza wachezaji wa timu pichani hasa wa MAN U, mleta uzi angekuwa na hoja angeliona hilo lakini ushabiki unamsumbua.

Kuhusu mechi ya CHELSEA na MAN U, kwa mtu mwenye hoja yenye nguvu kweli utasema refa aliibeba MAN U bila hata aibu! Beki ya CHELSEA wote tumeona ailiponawa mpira uliopigwa na Valencia na bado refa hakuwapa MAN U penati, MAN U wapo kimyaaaa ila nyinyi ndio mnajua sana kuongea. CHELSEA imezidiwa mpira ikaanza mibavu isiyo na maana, hamkuona ya RAMILES na wenzake hao kwenye picha.

Wahenga walisema hata kichaa akikaa kimya huweza onekana mwenye akili timamu. Kama huna hoja jaribu kuficha ujinga wako katika soka kwa kukaa kimya.

Umeongelea LIVERPOOL, kama kwenye ligi inaonewa na FA kwani kwenye kombe la FA, CARLING anaandaa nani? na mbona huwa inafanya vizuri? Au ni kwa sababu inapangwa na vitimu vya daraja la pili na tatu? Huko UEFA ndogo mnakotaka mmefanya nini cha maana?
 
Yaani nimeshindwa hata kua neutral maana umezidisha siasa na mapenzi yako binafsi. Chelsea walianza ligi kwa kupewa penalt nyingi sana na nyingi zenye utata pia chelsea wamewahi kupewa goli la offside ya zaidi ya watu 4 yaani hata kuendelea kueleza ni kujichosha tu. Kwahy wewe unatakiwa uangalie makosa na kuyachambua kisoka zaidi na si kukimbilia kwny siasa na mapenzi binafsi. Pia juzi tumeshuhudia Arteta akipata goli la kuotea lakini tunajua kua kwa mazingira yale ni vigumu kwa refa kumudu maamuzi.

chambua soka ueleweke na watu waendelee kuujua mpira na si uzushi, siasi na mapenzi yako binafsi.
Huyu mchochezi angekuwa anajua soka angetuambia pia ule mkono uliozuia krosi ya Valencia ndani ya mstatili wa Chelsea na refa akauchuna, je refa alikuwa fair au hakuwa fair? Kama ingekuwa MAN U inabebwa isingefungwa na Totenham tena ndani ya dimba la Old traford na Everton tena timu uliyosema makocha wao ni marafiki wakubwa.
 
sasa kama wewe ni mtu wa mpira huoni tofauti ya hayo makombe na ligi kuu. Ukishinda kikombe cha ligi ambacho kwanza nikusahihishe kwa sasa kinaitwa CAPITAL ONE na sio CARLING tena, unaenda kucheza europa league ambayo si kubwa na inachosha kwa kuwa ina mechi nyingi zaidi. Havina zawadi wala heshima kama ligi kuu. Mfano mzuri ni unapoizarau Liverpool wakati ndio bingwa wa Kikombe cha Ligi kwa sasa. Nimekujibu ila umeulizwa swali la kitoto sana. Na kwa taarifa yako kufa kwa timu hakutokei ghafla, misimu kadhaa iliyopita liverpool ilikuwa inafanya vizuri kwenye ligi, ikachukua eufa champions league, na kufika fainali ndani ya misimu miwili. ikashika nafasi ya pili wakati huo ikiwa na benitez. Timu ikaanza kuboronga baada ya Benitez kuanza kusema ukweli, what a conincedence??? Na kweli mission ikakamilika Man Utd na Liverpool wote kwa sasa wana 19 league tiltles, Liverpool wakiwa hawana dalilli ya kuongeza kingine karibuni. Kama we ni mtu wa mpira fuatilia matukio ya mechi zote au ukishindwa sema ntakuletea data ya haya mambo.
Hivi timu mbovu yenye sifa ya kufukuza makocha mnafikiri itakuwa na mategemeo ya kuchukua kikombe chenye ushindani kama ligi kuu! Unaota mchana, jaribu tena kuonea vikombe vya mchangani tu.

Tatizo la Liverpool mmezoea kukamia mnapocheza na timu kubwa kama MAN U kwa kutaka kuziba aibu ya uozo wenu inapokuja kucheza na timu kama Fulham,Westbrom, QPR zinawapiga 3 kama mmesimama.
 
Huyu aliyeleta uzi na wenzake wanasumbuliwa na wivu wa kitoto tu. Walitaka wafanye faulu kama hizi refa akae kimya akihofu kuambiwa anaibeba Man U. Tatizo la timu kama LIVERPOOL, CHELSEA, ARSENAL zinajengwa kisaikolojia kukamia baadhi ya mechi na ndio maana wanacheza kwa mibavu pasipo akili wanaumiza wachezaji wa timu pichani hasa wa MAN U, mleta uzi angekuwa na hoja angeliona hilo lakini ushabiki unamsumbua.

Kuhusu mechi ya CHELSEA na MAN U, kwa mtu mwenye hoja yenye nguvu kweli utasema refa aliibeba MAN U bila hata aibu! Beki ya CHELSEA wote tumeona ailiponawa mpira uliopigwa na Valencia na bado refa hakuwapa MAN U penati, MAN U wapo kimyaaaa ila nyinyi ndio mnajua sana kuongea. CHELSEA imezidiwa mpira ikaanza mibavu isiyo na maana, hamkuona ya RAMILES na wenzake hao kwenye picha.

Wahenga walisema hata kichaa akikaa kimya huweza onekana mwenye akili timamu. Kama huna hoja jaribu kuficha ujinga wako katika soka kwa kukaa kimya.

Umeongelea LIVERPOOL, kama kwenye ligi inaonewa na FA kwani kwenye kombe la FA, CARLING anaandaa nani? na mbona huwa inafanya vizuri? Au ni kwa sababu inapangwa na vitimu vya daraja la pili na tatu? Huko UEFA ndogo mnakotaka mmefanya nini cha maana?
 
OFSIDE.jpg Kama una macho tazama mwenyewe Chicharito alipo
 
...Hii ndio [tunafuatilia sana siasa za soka la Uingereza]..tunakuwa watumwa wa siasa za soka la Uingereza kama tulivyotawaliwa...mwishowe tunadai TANZANIA = ZIMBABWE + UNGUJA + PEMBA...Ebo, kwa nini tusijadili jinsi TOTO AFRICAN [MWANZA] INAVYOKABILIWA NA UKATA [FEDHA] HADI INAUZA MECHI? Kwa nini tusijadili kuporomoka kwa maadili ya UTAIFA wetu hadi Naibu Waziri wa Elimu [na Mafunzo ya Ufundi] anawekwa mtu "KILAZA a.k.a KIHIYO" huku wasomi wa kada ya ualimu wakishangilia na kumpigia makofi (na vigelegele) vya CCM OYEEE...!
 
Huyu aliyeleta uzi na wenzake wanasumbuliwa na wivu wa kitoto tu. Walitaka wafanye faulu kama hizi refa akae kimya akihofu kuambiwa anaibeba Man U. Tatizo la timu kama LIVERPOOL, CHELSEA, ARSENAL zinajengwa kisaikolojia kukamia baadhi ya mechi na ndio maana wanacheza kwa mibavu pasipo akili wanaumiza wachezaji wa timu pichani hasa wa MAN U, mleta uzi angekuwa na hoja angeliona hilo lakini ushabiki unamsumbua.

Kuhusu mechi ya CHELSEA na MAN U, kwa mtu mwenye hoja yenye nguvu kweli utasema refa aliibeba MAN U bila hata aibu! Beki ya CHELSEA wote tumeona ailiponawa mpira uliopigwa na Valencia na bado refa hakuwapa MAN U penati, MAN U wapo kimyaaaa ila nyinyi ndio mnajua sana kuongea. CHELSEA imezidiwa mpira ikaanza mibavu isiyo na maana, hamkuona ya RAMILES na wenzake hao kwenye picha.

Wahenga walisema hata kichaa akikaa kimya huweza onekana mwenye akili timamu. Kama huna hoja jaribu kuficha ujinga wako katika soka kwa kukaa kimya.

Umeongelea LIVERPOOL, kama kwenye ligi inaonewa na FA kwani kwenye kombe la FA, CARLING anaandaa nani? na mbona huwa inafanya vizuri? Au ni kwa sababu inapangwa na vitimu vya daraja la pili na tatu? Huko UEFA ndogo mnakotaka mmefanya nini cha maana?

Hujui mpira we ni mshabiki tu. Mbona wanatoa hizo tu, toeni na picha za foul za Man U. Na kama umeona nachoongea soma post zangu zote hasa ile yenye facts kuhusu referees. Nimeeleza kwa mifano marefa zaidi ya watano. Naongea kwa data sibwabwaji na wala siongelei ushabiki. Kama unaona nina wivu wa kitoto njoo na hoja za kikubwa sio za kitoto. Chelsea jana wamecheza mpira mpaka walipokuwa pungufu. We ni mnazi tu, huna facts. We unajua timu inayoongoza kwa mataji ya Ulaya kwa uingereza?? nakusihi rejea post yangu kuhusu marefa utaelewa nachosema, mi siongelei game 1 tu
 
Kusema kweli refa aliharibu mpira wa jana. Ile game ingekuwa one of the greatest matches in the premiership. Marefa wengi huwa wanaharibu box office matches. Wapo wanaosema kwenye mechi kubwa wanafanya kazi under pressure. Pia zipo conspiracy theories nyingi tuu za marefa kufanya vibaya.

Kwa mfano mechi ya Everton na Liverpool. Wakati Suarez alivyomchezea rafu Distin, hakustahili kupewa kadi nyekundu? Kulikuwa na intention moja tuu ya Suraez ambayo ni kufanya damage. Lakini alipewa kadi ya njano tuu. Hapa unaweza kusema refa ana double standards. Then, goli la Suarez lilipokataliwa eti alikuwa offside, wakati wala hakuwa offside. Wengine wanaweza kusema it was a sweet justice done to Suruez for not being sent off, lakini ulikuwa ni uamuzi mbaya wa refa which cost Liverpool three points.

Sasa tuje mechi ya Chelsea v Man Utd. Kabla ya mechi watu walikuwa wanatania kuwa it was great decision Ferguson kumchezesha Mark Clattenberg badala ya Howward Webb. Lakini kusema ukweli ile ilikuwa ni mechi kubwa sana kwa Clattenberg. Kwa wataalamu wa body language, ukiangalia replay kwa makini, utaona kuwa wakati refa anampa Torres yellow card ya pili kama vile alidhani anampa yellow card ya kwanza only to realise that tayari alishampa yellow. Lakini kumpa red Ivanovic red was a fair decision. No doubt he was the last man, na sheria inasema lazima apewe red.

Lakini refa alipompa red Torres kila mtu aliona something was not right. Everyone, including, the referee himself and Man Utd fans were surprised. Hivi karibuni marefa wamekuwa wakijaribu ku-stamp out diving. , It is pathetic that professional footballers have to dive to win themselves freekicks/penalties. Tuliona wiki hii kwa Gervinho, Neville, Suarez, Torres na Valencia. Hao ni wachezaji watano in three matches. Lakini marefa lazima wawe 100% certain kuwa mchezaji amedive.

Kwenye kesi ya Torres ilikuwa wazi kuwa Evans alimgusa, so it was appalling decision to send him off. This brought Chelsea to nine men, which then resulted in them conceding the winning goal (which was also offside yet not called) and losing three points. Hata hivyo Torres nae alianguka kilaini mno. Kama Sterling wa Liverpool alivyoguswa kwa numa jana na kuanguka kilaini. Chelsea wana nafasi ya ku-proof kesho kutwa kuwa it was the referee who cost them yesterday.

Kwa mara nyingine tena maamuzi ya marefa wanalalamikiwa kuipendelea Man Utd. Mechi ijayo Man Utd wanacheza na Arsenal na ukiangalia kelele nyingi zinatoka kwa watu wa Arsenal. Lakini goli la Arteta juzi, alikuwa kabisa offiside lakini likakubaliwa. So, it is a bit rich to start talking about referring decisions before a ball has been kicked. We know that Man Utd get favourable decisions but if Arsenal lose on Saturday it will be more to do with the fact that the team is simply not good enough.

Kitu ambacho kinafanya football to be the most exciting game in the world ni controversial decisions kama za jana. If wrong decision go against your team kweli inauma. But in the next game, a wrong decision will go in favour of your team. That's football. Mechi kama hizi huwa zinajirudia. Wapenzi wa Chelsea mnakumbuka ushindi wa mezani mliopewa na refa mwaka jana dhidi ya Wigan at Stanford Bridge? Kama kusingekuwa na controversial decisions jana wala usingeanzisha hii thread. Ndiyo maana napinga camera technology. Surely, you don't want another rugby.

Kitu ambacho nimekuwa shocked nacho though ni malalamiko kuwa Clattenburg is accused of racially abusing Mikel and calling another Chelsea player a 'Spanish twat." Kama kweli alisema haya, then does not deserve to be a referee again.
 
huyu mchochezi angekuwa anajua soka angetuambia pia ule mkono uliozuia krosi ya valencia ndani ya mstatili wa chelsea na refa akauchuna, je refa alikuwa fair au hakuwa fair? Kama ingekuwa man u inabebwa isingefungwa na totenham tena ndani ya dimba la old traford na everton tena timu uliyosema makocha wao ni marafiki wakubwa.

ball to hand, na sijui namchochea nani, mi sio PONDA bwana nimekuja na facts tu. nenda page ya kwanza soma Post yangu kuhusu marefa halafu uendelee kuniita mchochezi
Soma hiyo post yangu kuhusu marefa uone kilichomtoke aliyechezesha game ya Man u na Totenham. Halafu rudi uongee tena kuwa mi ni mchochezi au Fergie na David Gill ndo wachochezi
 
Kusema kweli refa aliharibu mpira wa jana. Ile game ingekuwa one of the greatest matches in the premiership. Marefa wengi huwa wanaharibu box office matches. Wapo wanaosema kwenye mechi kubwa wanafanya kazi under pressure. Pia zipo conspiracy theories nyingi tuu za marefa kufanya vibaya.

Kwa mfano mechi ya Everton na Liverpool. Wakati Suarez alivyomchezea rafu Distin, hakustahili kupewa kadi nyekundu? Kulikuwa na intention moja tuu ya Suraez ambayo ni kufanya damage. Lakini alipewa kadi ya njano tuu. Hapa unaweza kusema refa ana double standards. Then, goli la Suarez lilipokataliwa eti alikuwa offside, wakati wala hakuwa offside. Wengine wanaweza kusema it was a sweet justice done to Suruez for not being sent off, lakini ulikuwa ni uamuzi mbaya wa refa which cost Liverpool three points.

Sasa tuje mechi ya Chelsea v Man Utd. Kabla ya mechi watu walikuwa wanatania kuwa it was great decision Ferguson kumchezesha Mark Clattenberg badala ya Howward Webb. Lakini kusema ukweli ile ilikuwa ni mechi kubwa sana kwa Clattenberg. Kwa wataalamu wa body language, ukiangalia replay kwa makini, utaona kuwa wakati refa anampa Torres yellow card ya pili kama vile alidhani anampa yellow card ya kwanza only to realise that tayari alishampa yellow. Lakini kumpa red Ivanovic red was a fair decision. No doubt he was the last man, na sheria inasema lazima apewe red.

Lakini refa alipompa red Torres kila mtu aliona something was not right. Everyone, including, the referee himself and Man Utd fans were surprised. Hivi karibuni marefa wamekuwa wakijaribu ku-stamp out diving. , It is pathetic that professional footballers have to dive to win themselves freekicks/penalties. Tuliona wiki hii kwa Gervinho, Neville, Suarez, Torres na Valencia. Hao ni wachezaji watano in three matches. Lakini marefa lazima wawe 100% certain kuwa mchezaji amedive.

Kwenye kesi ya Torres ilikuwa wazi kuwa Evans alimgusa, so it was appalling decision to send him off. This brought Chelsea to nine men, which then resulted in them conceding the winning goal (which was also offside yet not called) and losing three points. Hata hivyo Torres nae alianguka kilaini mno. Kama Sterling wa Liverpool alivyoguswa kwa numa jana na kuanguka kilaini. Chelsea wana nafasi ya ku-proof kesho kutwa kuwa it was the referee who cost them yesterday.

Kwa mara nyingine tena maamuzi ya marefa wanalalamikiwa kuipendelea Man Utd. Mechi ijayo Man Utd wanacheza na Arsenal na ukiangalia kelele nyingi zinatoka kwa watu wa Arsenal. Lakini goli la Arteta juzi, alikuwa kabisa offiside lakini likakubaliwa. So, it is a bit rich to start talking about referring decisions before a ball has been kicked. We know that Man Utd get favourable decisions but if Arsenal lose on Saturday it will be more to do with the fact that the team is simply not good enough.

Kitu ambacho kinafanya football the most loved game in the world, ni controversial decisions kama za jana. Kama kusingekuwa na controversial decisions jana wala usingeanzisha hii thread. Surely, you don't want another rugby.

Kitu ambacho nimkuwa schocked ni malalamiko kuwa Clattenburg is accused of racially abusing Mikel and calling another Chelsea player a 'Spanish twat."

Kwa mechi ya Liverpool na Everton, refa alitakiwa ampe suarez kadi ya njano kwa foul ya kwanza kabisa alimfanyia miralas. asingefanya ule ujinga wa pili. Goli lilitakiwa kusimama, huwezi kusawazisha kosa kwa kosa.
Refa Clattenburg mechi yake ya mwisho kuchezesha ya Man utd ilikuwa kati ya city na utd. Alitoa red card kwa evans na Man u walilala 6-1. Kama kawaida inavyowatokea marefa wengine, refa huyu hakupangwa kabisa kuchezesha mechi ya Man utd, mpaka hiyo jana. Aliyoyafanya yameonekana. Nikatae sio kwamba ni game kubwa kwake, si kisingizio.
 
Refa Clattenburg mechi yake ya mwisho kuchezesha ya Man utd ilikuwa kati ya city na utd. Alitoa red card kwa evans na Man u walilala 6-1. Kama kawaida inavyowatokea marefa wengine, refa huyu hakupangwa kabisa kuchezesha mechi ya Man utd, mpaka hiyo jana. Aliyoyafanya yameonekana. Nikatae sio kwamba ni game kubwa kwake, si kisingizio.

Kosa alilofanya Evans kwenye mechi ya Man Utd v Man City lina tofauti gani na kosa alilofanya Ivanovic jana kwenye mechi ya Chelsea na Man City? Evans was rightly sent off. The same was Ivanovic. Both were the last men who denied Balatolli and Young the chance to score.
 
Back
Top Bottom