Sababu kuu zenye Mantiki zilizowafanya na zinazowafanya Wayahudi wengi Wasimuamini Yesu Kristo

Mimi ni Muislamu LAKINI amini nakwambia achana kabisa na huyo mtu aitwae Yesu. He is something else.
Yesu atabaki kuwa Yesu.

Kuhusu Wayahudi kutokumkubali isikuchanganye SANA mkuu, hata Yesu mwenyewe alisha sema Nabii hakubaliki kwao.
Chafu imezaliwa huku inaongea asee ni kwere arifu 😂😂😂😂
 
Swali namba tatu napingana nalo, nikimaanisha kuwa kristo alitimiza hilo.
Hata sasa watu wanazaliwa wanamjua Mungu, wala haihitaji kufundishwa ili umjue Mungu bali Mungu yupo kwenye dhamiri zetu wenyewe toka ukiwa kichanga.
Unamuongelea Mungu yupi ambae ukizaliwa tu tangu kichanga unakuwa unamjua?

Hivi unajua kama kuna nchi hadi leo hii haziamini katika uwepo wa Mungu unaemuamini wewe? Hao watakuwa wanazaliwa na Mungu yupi?
 
Unamuongelea Mungu yupi ambae ukizaliwa tu tangu kichanga unakuwa unamjua?

Hivi unajua kama kuna nchi hadi leo hii haziamini katika uwepo wa Mungu unaemuamini wewe? Hao watakuwa wanazaliwa na Mungu yupi?
Unaelewa nini kuhusu kumjua Mungu?
 
Unaelewa nini kuhusu kumjua Mungu?
ili twende sawa mkuu na nikupe majibu stahiki, inabidi nijue ni Mungu yupi Kwanza unamuongelea wewe...!

Nisije kujibu majibu ya kumuhusu Mungu Allah, au Yehova/Yahweh au Brahma, au Budha au Ganesh/Shiva na wengine wengi

Sasa basi ili nipate kujibu sawa sawa na swali lako inabidi nijue mwenzangu unamuongelea Mungu yupi?

Maana kama mwenzangu unamuongelea Allah majibu yanaweza kuwa tofauti na ungemuongelea Yehova vivo hivo ingekuwa tofauti na mtu anaemuongelea Budha

Ndomana mwanzo kabisa nikakuuliza unamuongelea Mungu yupi ambae unasema Yesu alikuja kumaliza hilo na kila anaezaliwa anakuwa anamjua Mungu

Unadhani mtu ambae amezaliwa China atazaliwa anamjua Mungu yupi? Yehova/Allah au Mungu wao Budha?

Kwahiyo msiwe mnafikilia vile Tanzania tunafikilia kuhusu Yesu na mtume S.W.S basi ni sawa na Nchi zingine, kuna Nchi haya majina hawayajui kabisaaaa na ata kama wakiyaskia hawayapi uzito sawa na sie maana nawao wana majina yao

kuzaliwa kwa Yesu kwako unaweza ukawa unaita ni ukombozi na inaweza ikawa Sawa kwako basi haina maana huo ukombozi ni kwa kila race's, itakuwa ukombozi kwa yule alieziskia hizo story zake na akazikubali

Sasa turudi kwenye swali lako la msingi kuhusu Mimi naelewa nini kuhusu kumjua Mungu...! Namie nauliza unamuongelea Mungu yupi?
 
ili twende sawa mkuu na nikupe majibu stahiki, inabidi nijue ni Mungu yupi Kwanza unamuongelea wewe...!

Nisije kujibu majibu ya kumuhusu Mungu Allah, au Yehova/Yahweh au Brahma, au Budha au Ganesh/Shiva na wengine wengi

Sasa basi ili nipate kujibu sawa sawa na swali lako inabidi nijue mwenzangu unamuongelea Mungu yupi?

Maana kama mwenzangu unamuongelea Allah majibu yanaweza kuwa tofauti na ungemuongelea Yehova vivo hivo ingekuwa tofauti na mtu anaemuongelea Budha

Ndomana mwanzo kabisa nikakuuliza unamuongelea Mungu yupi ambae unasema Yesu alikuja kumaliza hilo na kila anaezaliwa anakuwa anamjua Mungu

Unadhani mtu ambae amezaliwa China atazaliwa anamjua Mungu yupi? Yehova/Allah au Mungu wao Budha?

Kwahiyo msiwe mnafikilia vile Tanzania tunafikilia kuhusu Yesu na mtume S.W.S basi ni sawa na Nchi zingine, kuna Nchi haya majina hawayajui kabisaaaa na ata kama wakiyaskia hawayapi uzito sawa na sie maana nawao wana majina yao

kuzaliwa kwa Yesu kwako unaweza ukawa unaita ni ukombozi na inaweza ikawa Sawa kwako basi haina maana huo ukombozi ni kwa kila race's, itakuwa ukombozi kwa yule alieziskia hizo story zake na akazikubali

Sasa turudi kwenye swali lako la msingi kuhusu Mimi naelewa nini kuhusu kumjua Mungu...! Namie nauliza unamuongelea Mungu yupi?
Ubaya umekuja kwenye kutofautisha aina za Mungu.

Namaanisha Kumjua Mungu yeyote kati ya hao kulingana na wapi ulipo na imani yako... Yani awe Mungu mti, Budha, Allah ili mradi wewe ujue kuwa ni Mungu.

Kwahiyo namaanisha Mungu yeyote kulingana na eneo ama imani uliyopo
 
Usomaji na utafakariji wa maandiko matakatifu unahitaji hekima kubwa sana ya kininadamu. Kwa kuwa maandiko haya ni muunganiko wa nyaraka na aya zenye kuhitaji maarifa makubwa kuzielewa, na pia ili zipate kutafsirika kwa maana ileile iliyokusudiwa. Hii inatokana na aina ya lugha iliyotumika na ikapate kueleweka na kizazi kilicholengwa na ujumbe husika.

Ukitaka upate maana halisi, sahihi na iliyokusudiwa itapasa mtu apatanishe vyema maandiko yaliyotumika katika aya husika. Na ili mtu apatanishe vyema ujumbe uliopo ni lazima apate maana halisi iliyopo nyuma ya aina lugha iliyotumika, hii inatokana na sababu ya kwamba Kuna aina tofauti ya lugha zilizotumika, yaani,
  • Lugha ya kawaida kueleweka
  • Lugha ya mifano ama siri mafumbo ya kimbingu
  • Lugha kupitia tafsiri za namba zilizotumika
  • Lugha ya kiunabii
  • Lugha mchanganyiko ya mbili ama zaidi ya hizo nyingine hapo juu.

Wayahudi wengi mpaka hii leo wanashindwa kutambua ukweli kuhusu Masihi Yesu Kristo, hii ni kwa kuwa wao ni waathirika wa mafundisho waliyorithishwa na wazee wao. Licha ya wengi wao kufungwa na sheria za Torati na manabii, ambazo hukazia juu ya utiifu sheria za kimwili, lakini ni ukweli ya kuwa misingi ya imani yao imechakachuliwa sana na tamaduni za kigeni.

Mpaka kipindi ambacho Yesu anakuja na kuishii nao, babu na bibi zao hawakuutambua isipokuwa wale 144,000 waliotajwa katika Ufunuo sura ya 7. Hawakuujua ujio wa Masihi wa kweli, kwa sababu hawakutambua kusudio la kuja kwake na kuishi nao kama binadamu yeyote yule wa kawaida. Ili unabii utimie walikuwa na macho wala hakumtambua, walikuwa na masikio wa hawamkusikiliza.

Wazee wao walifanya hivyo kwa kuwa walikuwa ni kizazi cha wahanga wa tamaduni za falme za Babeli, Umedi-Ujemi, Uyunani na Rumi pale walipoishi utumwani kwa nyakati tofauti. Athari hizo za kiutamaduni ziliwaathiri dhidi ya namna sahihi ya kumuabudu Mungu wao, kinyume na misingi ya kweli iliyowekwa kupitia Torati ya Musa na manabii.

Wakajikuta ni wahanga dhidi ya msisitizo kuhusu imani yao ya asili Kiyahudi, hivyo basi,
  • Wakajikuta wanahimizwa kuishika dini badala ya imani ya asili Kiyahudi,
  • Badala ya ibada hekaluni wakageukia masinagogi,
  • Wakalazimika kugeukia mafundisho ya elimu ya dini, theolojia yake na hata falsafa juu ya asili ya Mungu na uwepo wake.
  • Wakajiwekea mfumo wenye kutambua nafasi mamlaka ya juu ya kidini yenye kutambua cheo cha Kuhani Mkuu, muundo wa baraza kuu la sheria la kidini, madhehebu ya kidini ndani ya dini yao ya Kiyahudi.

Vitu hivyo havikuwepo wala kutajwa na Musa na manabii, ila wao waliviweka ili pia nao wafanane na kiendana na matakwa ya sheria za wakoloni waliowatawala kwa nyakati tofauti, na hatimaye walihalalisha kuwa ndiyo njia sahihi, mfumo sahihi wa kidini na wenye mafundisho sahihi ambayo watoto na wajukuu wao watapaswa kuyafuata na kuyatii. Pasipo kutambua ya kwamba kwa kufanya hivyo walizidi kukaa mbali na imani ya Mungu wao iliyoshikwa na babu zao Ibrahimu, Isaya na Yakobo.

Kila kitu kilitabiriwa na nabii Danieli kuhusu Kristo, kusudio la ujio wake na hata kukataliwa kwake na Wayahudi. Na pia ilitabiriwa kuwa watamtarajia masihi mwingine ambaye watakuja kumkubali badala yake. Hebu tutafakari juu ya andiko lifuatalo ili tupate ufahamu zaidi,

DANIELI 9

21 Naam, nilipokuwa nikinena katika kuomba, mtu yule, Gabrieli, niliyemwona katika njozi hapo kwanza, akirushwa upesi, alinigusa panapo wakati wa dhabihu ya jioni.
22 Akaniagiza, akaongea nami, akasema, Ee Danieli, nimetokea sasa, ili nikupe akili upate kufahamu.
23 Mwanzo wa maombi yako ilitolewa amri, nami nimekuja kukupasha habari; maana wewe unayependwa sana; basi itafakari habari hii, na kuyafahamu maono haya. 24 Muda wa majuma sabini umeamriwa
  • juu ya watu wako,
  • na juu ya mji wako mtakatifu,
  • ili kukomesha makosa,
  • na kumaliza dhambi,
  • na kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu,
  • na kuleta haki ya milele,
  • na kutia mhuri maono na unabii,
  • na kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu.
25 Basi ujue na kufahamu, ya kuwa tangu kuwekwa amri ya kutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani zake masihi aliye mkuu; kutakuwa na majuma saba; na katika majuma sitini na mawili utajengwa tena pamoja na njia kuu zake na handaki, naam, katika nyakati za taabu.
26 Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.
27 Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye kuharibu

Kama nilivyogusia hapo awali, majuma hayo 70 yametajwa kwa lugha kupitia tafsiri ya namba, na pia imetumika lugha ya kiunabii kuhusu ujio Masiha wa kweli na madhumuni ya kuja kwake hapa duniani kama Myahudi. Lakini ukisoma aya zinazofuata utakuta zinahusu kukataliwa kwake, na kuhusu matarajio ya Wayahudi kuhusu ujio wa masiha mwingine ambaye wao humtarajia kuwa ndiye atakuja kuwakomboa.

Lakini matarajio ya ujio wa masihi huyo hakuondoi ukweli kuhusu uwepo Masihi wa kweli Yesu Kristo, ambaye sasa ndiye Kuhani Mkuu wa Agano Jipya, naye ndiye kichwa cha kanisa lake kweli ambao ni usharika wa watakatifu wake, ambao Yeye huwaita milki ya kifalme, na ndiyo maana anaitwa ndiye Mungu na MwanaKondoo.
 
Ubaya umekuja kwenye kutofautisha aina za Mungu.

Namaanisha Kumjua Mungu yeyote kati ya hao kulingana na wapi ulipo na imani yako... Yani awe Mungu mti, Budha, Allah ili mradi wewe ujue kuwa ni Mungu.

Kwahiyo namaanisha Mungu yeyote kulingana na eneo ama imani uliyopo
Mkuu naomba nikumbushie comment yako

"Swali namba tatu napingana nalo, nikimaanisha kuwa kristo alitimiza hilo.
Hata sasa watu wanazaliwa wanamjua Mungu, wala haihitaji kufundishwa ili umjue Mungu bali Mungu yupo kwenye dhamiri zetu wenyewe toka ukiwa kichanga"

Msingi wa mie kuongelea Miungu wengi ni kutokana na hiyo comment yako hapo juu

Kuna uhusiano gani katika ujiio wa Kristo na kufanya watu wote duniani wazaliwe wanamjua Mungu?

Na kama wakizaliwa wanamjua Mungu watamjua Mungu yupi sasa kulingana na comment yako?

Yani mfano mtoto mchanga anazaliwa hivi sasa Thailand, unataka kusema atazaliwa anamjua Mungu wa Yehova ilhali hao wazazi wake tu hawajui na hawaamini katika Yesu?

Laiti kama ungekuwa umeongelea kuwa kila mtoto anazaliwa na hofu ya Mungu ila haijarishi hiyo hofu inatoka Kwa Mungu yupi hapo at least ingekuwa inaleta maana

Na mwisho kabisa ilikuwa ni lazima niulize unaongelea Mungu yupi kwa sababu hakuna SI UNIT ya Mungu, na inajulikana kuwa Miungu wapo wengi kulingana na mazingira tofauti tofauti...!

Na kama ungekuwa unamaanisha Mungu yoyote yule basi bila shaka usingemtaja Yesu maana Yesu hana uhusiano na Mungu wa Budha, Yesu hakuja kuhubiri kuhusu Mungu wa wahindi, Yesu hakuja kufundisha kuhusu Allah

So mwisho wa siku Inategemea na mtu amezaliwa katika familia yenye Imani gani ili arithi Imani gani na huko atamjua Mungu wake, inategemea mtu amezaliwa Nchi gani ili afundishwe kumjua Mungu yupi, ana inategemea mtu amelelewa Katika misingi gani ili aamini katika kipi
 
Ushakubali mbuzi ana kamba, hana uhuru.

Hizi nyingine mbwembwe tu za ligi kuu kutetea timu yako hata kama imefungwa.
Long time no see.

Ukizingatia huwa unasemaga kujibiwa na ww ni privelege😅. Yah it is in some way.

Kiranga you are articulate in most matters, factual stuff. I give you that.

But hey, I have interacted with this trendy AI, chatgpt today. And it got me wondering what difference does it have with us. Humans.

So I asked about Magufuli. It plainly stated the facts like infrastructure and his strange Covid stances. It concluded with his death.
So I commented 'I miss him, he was a good man'

Here is the thing that happened;, it did not agree with me about his goodness, nor did it state that he was bad. But it only stated the fact that some people loved him for reasons abc and some did not (hated him).

I thought maybe freewill is the thing that makes us humans human. The fact that we can have factors supporting both sides but still we choose one side. Not merely knowing stuff but deciding on those stuffs. Wisdom, sapiens. Not merely understanding causes and their effects but also deciding among them. Judging ghem essentially.

Strip yourself of freewill and and I wonder how will you still justify the difference between you and artificial AI. How are you different from the ChatGpt sir?? Or are you not any different?
 
Kama hatasema nnatafuta kujipa ka uspesho mimi binadamu haiyaa.

Akumbuke tu kama ambavyo it takes a genius to recognize genius. Ndo hivyohivyo it takes a spesho to recognize spesho.

Kama haipo ndani yako basi hata kuiona nje ni tabu sana.
 
Usomaji na utafakariji wa maandiko matakatifu unahitaji hekima kubwa sana ya kininadamu. Kwa kuwa maandiko haya ni muunganiko wa nyaraka na aya zenye kuhitaji maarifa makubwa kuzielewa, na pia ili zipate kutafsirika kwa maana ileile iliyokusudiwa. Hii inatokana na aina ya lugha iliyotumika na ikapate kueleweka na kizazi kilicholengwa na ujumbe husika.

Ukitaka upate maana halisi, sahihi na iliyokusudiwa itapasa mtu apatanishe vyema maandiko yaliyotumika katika aya husika. Na ili mtu apatanishe vyema ujumbe uliopo ni lazima apate maana halisi iliyopo nyuma ya aina lugha iliyotumika, hii inatokana na sababu ya kwamba Kuna aina tofauti ya lugha zilizotumika, yaani,
  • Lugha ya kawaida kueleweka
  • Lugha ya mifano ama siri mafumbo ya kimbingu
  • Lugha kupitia tafsiri za namba zilizotumika
  • Lugha ya kiunabii
  • Lugha mchanganyiko ya mbili ama zaidi ya hizo nyingine hapo juu.

Wayahudi wengi mpaka hii leo wanashindwa kutambua ukweli kuhusu Masihi Yesu Kristo, hii ni kwa kuwa wao ni waathirika wa mafundisho waliyorithishwa na wazee wao. Licha ya wengi wao kufungwa na sheria za Torati na manabii, ambazo hukazia juu ya utiifu sheria za kimwili, lakini ni ukweli ya kuwa misingi ya imani yao imechakachuliwa sana na tamaduni za kigeni.

Mpaka kipindi ambacho Yesu anakuja na kuishii nao, babu na bibi zao hawakuutambua isipokuwa wale 144,000 waliotajwa katika Ufunuo sura ya 7. Hawakuujua ujio wa Masihi wa kweli, kwa sababu hawakutambua kusudio la kuja kwake na kuishi nao kama binadamu yeyote yule wa kawaida. Ili unabii utimie walikuwa na macho wala hakumtambua, walikuwa na masikio wa hawamkusikiliza.

Wazee wao walifanya hivyo kwa kuwa walikuwa ni kizazi cha wahanga wa tamaduni za falme za Babeli, Umedi-Ujemi, Uyunani na Rumi pale walipoishi utumwani kwa nyakati tofauti. Athari hizo za kiutamaduni ziliwaathiri dhidi ya namna sahihi ya kumuabudu Mungu wao, kinyume na misingi ya kweli iliyowekwa kupitia Torati ya Musa na manabii.

Wakajikuta ni wahanga dhidi ya msisitizo kuhusu imani yao ya asili Kiyahudi, hivyo basi,
  • Wakajikuta wanahimizwa kuishika dini badala ya imani ya asili Kiyahudi,
  • Badala ya ibada hekaluni wakageukia masinagogi,
  • Wakalazimika kugeukia mafundisho ya elimu ya dini, theolojia yake na hata falsafa juu ya asili ya Mungu na uwepo wake.
  • Wakajiwekea mfumo wenye kutambua nafasi mamlaka ya juu ya kidini yenye kutambua cheo cha Kuhani Mkuu, muundo wa baraza kuu la sheria la kidini, madhehebu ya kidini ndani ya dini yao ya Kiyahudi.

Vitu hivyo havikuwepo wala kutajwa na Musa na manabii, ila wao waliviweka ili pia nao wafanane na kiendana na matakwa ya sheria za wakoloni waliowatawala kwa nyakati tofauti, na hatimaye walihalalisha kuwa ndiyo njia sahihi, mfumo sahihi wa kidini na wenye mafundisho sahihi ambayo watoto na wajukuu wao watapaswa kuyafuata na kuyatii. Pasipo kutambua ya kwamba kwa kufanya hivyo walizidi kukaa mbali na imani ya Mungu wao iliyoshikwa na babu zao Ibrahimu, Isaya na Yakobo.

Kila kitu kilitabiriwa na nabii Danieli kuhusu Kristo, kusudio la ujio wake na hata kukataliwa kwake na Wayahudi. Na pia ilitabiriwa kuwa watamtarajia masihi mwingine ambaye watakuja kumkubali badala yake. Hebu tutafakari juu ya andiko lifuatalo ili tupate ufahamu zaidi,

DANIELI 9

21 Naam, nilipokuwa nikinena katika kuomba, mtu yule, Gabrieli, niliyemwona katika njozi hapo kwanza, akirushwa upesi, alinigusa panapo wakati wa dhabihu ya jioni.
22 Akaniagiza, akaongea nami, akasema, Ee Danieli, nimetokea sasa, ili nikupe akili upate kufahamu.
23 Mwanzo wa maombi yako ilitolewa amri, nami nimekuja kukupasha habari; maana wewe unayependwa sana; basi itafakari habari hii, na kuyafahamu maono haya. 24 Muda wa majuma sabini umeamriwa
  • juu ya watu wako,
  • na juu ya mji wako mtakatifu,
  • ili kukomesha makosa,
  • na kumaliza dhambi,
  • na kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu,
  • na kuleta haki ya milele,
  • na kutia mhuri maono na unabii,
  • na kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu.
25 Basi ujue na kufahamu, ya kuwa tangu kuwekwa amri ya kutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani zake masihi aliye mkuu; kutakuwa na majuma saba; na katika majuma sitini na mawili utajengwa tena pamoja na njia kuu zake na handaki, naam, katika nyakati za taabu.
26 Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.
27 Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye kuharibu

Kama nilivyogusia hapo awali, majuma hayo 70 yametajwa kwa lugha kupitia tafsiri ya namba, na pia imetumika lugha ya kiunabii kuhusu ujio Masiha wa kweli na madhumuni ya kuja kwake hapa duniani kama Myahudi. Lakini ukisoma aya zinazofuata utakuta zinahusu kukataliwa kwake, na kuhusu matarajio ya Wayahudi kuhusu ujio wa masiha mwingine ambaye wao humtarajia kuwa ndiye atakuja kuwakomboa.

Lakini matarajio ya ujio wa masihi huyo hakuondoi ukweli kuhusu uwepo Masihi wa kweli Yesu Kristo, ambaye sasa ndiye Kuhani Mkuu wa Agano Jipya, naye ndiye kichwa cha kanisa lake kweli ambao ni usharika wa watakatifu wake, ambao Yeye huwaita milki ya kifalme, na ndiyo maana anaitwa ndiye Mungu na MwanaKondoo.
Mkuu umeandika vizuri ila sijui kama huyo fasihi simulizi atakuelewa, kwanza sio mkristo, pili Hana haja ya kueleweshwa na tatu haupendi ukristo, na ukimsoma btn the lines utatambua kwamba ni wale wale wanaokunywa maji ya zam zam yaliochanganywa na zafarani na wanayanywea kwenye makombe ili kuamsha akili(ijaza).

Ukweli mchungu ni kwamba Yuko hapa kufundisha na haamini kwamba hajui hata kidogo. Amefanana na shoga anaechukizwa na ndevu zake kuota pasipo kujua kwamba zinaota kwa sababu yeye sio mwanamke.
 
Long time no see.

Ukizingatia huwa unasemaga kujibiwa na ww ni privelege😅. Yah it is in some way.

Kiranga you are articulate in most matters, factual stuff. I give you that.

But hey, I have interacted with this trendy AI, chatgpt today. And it got me wondering what difference does it have with us. Humans.

So I asked about Magufuli. It plainly stated the facts like infrastructure and his strange Covid stances. It concluded with his death.
So I commented 'I miss him, he was a good man'

Here is the thing that happened;, it did not agree with me about his goodness, nor did it state that he was bad. But it only stated the fact that some people loved him for reasons abc and some did not (hated him).

I thought maybe freewill is the thing that makes us humans human. The fact that we can have factors supporting both sides but still we choose one side. Not merely knowing stuff but deciding on those stuffs. Wisdom, sapiens. Not merely understanding causes and their effects but also deciding among them. Judging ghem essentially.

Strip yourself of freewill and and I wonder how will you still justify the difference between you and artificial AI. How are you different from the ChatGpt sir?? Or are you not any different?
You don't have freewill if you don't even choose to be born or not.
 
You don't have freewill if you don't even choose to be born or n
You don't have to be able to choose everything ndio useme kwamba 'kweli niko na freewill'

Some are consequence of previous choices, this enables to prevent impossible combinations of choices. Example (a 1800s woman) I choose to remain virgin. Then you know, I also want to also be able choose to have three kids of my very own.

I may say people in my country own cars. It doesnt have to be all of them but hey they own cars. It is one of their property, their right to be.
 
You don't have to be able to choose everything ndio useme kwamba 'kweli niko na freewill'

Some are consequence of previous choices, this enables to prevent impossible combinations of choices. Example (a 1800s woman) I choose to remain virgin. Then you know, I also want to also be able choose to have three kids of my very own.

I may say people in my country own cars. It doesnt have to be all of them but hey they own cars. It is one of their property, their right to be.
Nakwambia hivi, perfect freewill is an illusion. Anything less than perfect freewill is not freewill. It is provisional, contextual, arbitrary and necessarily a poor simulation of freewill.

Kwanza, kwa mtu anayekubali logical consistency, anayeamini Mungu anajua kila kitu, watu kuwa na freewill katika ulimwengu ambao Mungu anajua kila kitu ni irrreconcilable logical contradiction.

Unaelewa hilo?

In a logically consistent world, there is a mutual exclusivity between God's perfect knowlede and human freewill.

You can have one, or the other, never both.

Ina logically inconsistent world, God exist, doesn't exist, exists and doesn't exist, exists or doesn't exists, all at once, existence itself exist, doesn't exists, exists and doesn't exist, exists or doesn't exist, or maybe not, in reverse order and forward, or without any order, there is no logical consistency, it's just chaos.

Or maybe not. The chaos is the order.

Which could still be chaos.

No order, not even random fluctuations, since they are orderly in their randomness.

You get the point.

Or maybe not.
 
You don't have to be able to choose everything ndio useme kwamba 'kweli niko na freewill'

Some are consequence of previous choices, this enables to prevent impossible combinations of choices. Example (a 1800s woman) I choose to remain virgin. Then you know, I also want to also be able choose to have three kids of my very own.

I may say people in my country own cars. It doesnt have to be all of them but hey they own cars. It is one of their property, their right to be.
You are saying people in your country own cars.

But truly they don't have ownership to the car, they took a bank loan which they haven't finished to pay.

They did not design the terms of the loan, they didn't even agree to the interest rate.

They just found themselves with the car.

At any point when they fail to pay the monthly loan servicing amount, the bank could come to reposses the car.

How could they say they own the car?

Mkuu,

Wewe huna hata uhuru wa ku control wazo gani linakuja mawazoni mwako next.

Mimi naweza kukuamulia uwaze mavi makuuubwa yana nzi weengi wa kijani wale sasa hivi.

Ukisoma hapa tu, ushafikiria mavi makuubwa yana nzi weengi wa kijani wale.

Sasa kama huwezi kuamua kwa uhuru wazo gani linakuja kichwani kwako sekunde ifuatayo, unategemea vitu random unavyoona, unavyosikia, unavyonusa, utasemaje wewe una uhuru wa kuamua mambo kwenye maisha yako?
 
Back
Top Bottom