Trubarg JF-Expert Member Jan 8, 2020 4,262 6,908 Mar 15, 2024 #1 Habari wadau, Naomba kufahamu sababu inayofanya mji wa Gairo kuwekwa matuta mengi kuliko mji wowote Tanzania. Matuta yanaanzia pale unaingia mjini mpaka unapoumalza mji zaidi ya km 10.
Habari wadau, Naomba kufahamu sababu inayofanya mji wa Gairo kuwekwa matuta mengi kuliko mji wowote Tanzania. Matuta yanaanzia pale unaingia mjini mpaka unapoumalza mji zaidi ya km 10.
Naby Keita JF-Expert Member Oct 20, 2011 10,716 15,279 Mar 15, 2024 #2 Kwa sababu wanazalisha sana viazi
Lethergo JF-Expert Member Aug 7, 2023 3,119 5,160 Mar 16, 2024 #4 Naby Keita said: Kwa sababu wanazalisha sana viazi Click to expand... Uzi ufungwe