Sababu gani inafanya mji Gairo kuwa na matuta mengi Barabarani

Trubarg

JF-Expert Member
Jan 8, 2020
4,262
6,908
Habari wadau,

Naomba kufahamu sababu inayofanya mji wa Gairo kuwekwa matuta mengi kuliko mji wowote Tanzania.

Matuta yanaanzia pale unaingia mjini mpaka unapoumalza mji zaidi ya km 10.
 
Back
Top Bottom