Mweh mweh....we binadamu...
niambie mkinga mwenzangu
Kwahiyo saa 10 alfajiri ni dushe za watanzania tu na watoto wao ndo zinasimama au ni ulimwenguni kote zinasimama?
Mkuu,
Umetoa ngoma ndroo na Twaweza katika masuala ya utafiti. Katika tafiti yako, umechukulia kihisia zaidi au ulikuwa unapiga chabo nyumba kadhaa ndiyo ukafanya conclusion?
Haina tofauti sana na utafiti wa Twaweza.. Labda
Kwahiyo saa 10 alfajiri ni dushe za watanzania tu na watoto wao ndo zinasimama au ni ulimwenguni kote zinasimama?
niambie mkinga mwenzangu
Duu hiyo tamu sana Ngoja mimi nijaribu leo nione utamu wa saa 10.....
sasa sijui nichague saa kumi ipi (day tm or night )? nisaidieni wadau.
Hivi we mkinga kweli au kuinjoiana tu? Nimeshangaa unasema hujawahi kuiona saa kumi...kivipi??
Duu hiyo tamu sana Ngoja mimi nijaribu leo nione utamu wa saa 10.....
sasa sijui nichague saa kumi ipi (day tm or night )? nisaidieni wadau.