Rwanda Vs Uganda nani atashinda Vita?

Rwanda Vs Uganda nani atashinda Vita?

Mimi Ni muha mad Na siijui hata red Tabata Ni Nini Na tangu nizaliwe kigoma Sijawahi kusikia BOM airport au mtaani Na ninaishi Ujiji ilipo airport
'waha' wenyewe Red tabara inawatoa jasho kila Mara mabomu ya hapa na pale hayaishi Mara yanarushwa mtaani,kwny airport,kwny vituo vya mabus 😁😁 wako dhoofu bin Khali.
 
Hii vita ikitokea naona Uganda watapoteana sana..nasema hivyo kwa sasabu ukiona nchi inatumia polisi +wanajeshi wake ku-harras raia wake,hio nchi haiwez kupgana battle za jeshi kwa jeshi na wananchi huwa wapo radhi kutoa msaada kwa adui. Ndo mana sipendag Tz kuona wanajeshi sijui wanafagia kwenye ofisi za chadema huko Mara..that's bad..yaan akitokea adui..atapendwa na weng na tutajkuta tutapgwa na nchi hata ndogo
 
Rwanda inawez kuw mbele zaidi Kiteknolojia zaid ya uganda na Tz kwahyo tunaweza kuipa win
Mnasema vitu gani lakini?? Teknolojia hipi unayo zungumzia - mada hapa in kuhusu vita - sasa unataka kusema Rwanda hivi sasa wana uwezo mkubwa kiteknolojia wa kuunda silaha za kisasa au?

Sijui kwa nini baadhi ya Watanzania wana tendency ya ku-inflate military capability za jeshi LA Rwanda - unafikiri M7 akisema enough is enough Rwanda patakalika - someni historia ya kweli kuhusu Kaguta - msimuone zungumza yake kwa vituo, ustaarabu na uvumilivu mkamchukulia poa, akihamuwa kufanya kweli hashindwi kitu yule - kumbukeni kwamba ma kamanda na wanajeshi wengi wa jeshi la Kagame wamepitia mikononi mwa M7 - sisemi kwamba M7 atake kumu-control Paul jinsi anavyo run Rwanda, lakini M7 deserves some respect from Kagame their differences notwithstanding akumbuke M7 kamtoa mbali sana.
 
Vikitokea vita kati ya Rwanda na Uganda nani atashinda?

Wameanza kuparuana tena hawa wezi wa Madini ya Congo

Nahisi hawa mwisho wao utakuja kuwa kwenye hizi battle

Kati ya Uganda na Rwanda nani atashinda vita?

Nasema hivi kwasababu msitumie kigezo cha Rwanda ni ndogo! Rwanda sio ndogo kiidadi ina watu milioni 12!

Watu milioni 12 sio kidogo ni wengi sana


Na hata battle na Rwanda na tz lingetokea hata possiblity ya kutandikwa na Rwanda ingekuwepo tu nchi ikishakua na watu milioni 10 na kuendelea wakijiandaa vizuri wana uwezo wa kuzichapa na nchi yenye watu milion 120

Turudi kwenye mada Rwanda Vs Uganda nani atashinda vita?
Yan Uganda apigwe na Rwanda? Mbona mnajua kuchekesha Sana...Hivi Rwanda ana nini mnachokijua ambacho mi sikioni?
 
Vietnam Vs US siyo kipimo sahihi kwani hawakuwa wanapigana ana kwa ana, bali US ilikuwa inasafiri umbali mrefu sana kwende kupigana. Ni tofauti na kupigana kutoka Kigali kwenda kampala.

Ninavyojua, kagame amewekza sana kwenye jeshi nadhani kuliko Mseveni, kwa hiyo inawezekana Jeshi la Rwanda ni kubwa sana na lina vifaa sana kuliko Uganda. Rwanda imeneemekea sana na madini ya coltan kutoka Congo, na imekuwa inatumia karibu 40% ya faida hiyo kijeshi, na ile nyingine ndiyo inayojenga miundo mbinu.
Uganda alienda kupigana vita Somalia akawafurusha Al shabab ndo asumbuliwe na Rwanda?
 
Uganda alienda kupigana vita Somalia akawafurusha Al shabab ndo asumbuliwe na Rwanda?
Kwa hio siku hizi Somalia hakuna al-shabab sio?😄😄

Somalia Kuna zaidi ya wanajeshi 20,000 wa Amisom ambao Ni wanajeshi kutoka nchi za Burundi, Djibouti, Kenya, Ethiopia na Uganda wakipambana na al-shabab.
 
Mnasema vitu gani lakini?? Teknolojia hipi unayo zungumzia - mada hapa in kuhusu vita - sasa unataka kusema Rwanda hivi sasa wana uwezo mkubwa kiteknolojia wa kuunda silaha za kisasa au?

Sijui kwa nini baadhi ya Watanzania wana tendency ya ku-inflate military capability za jeshi LA Rwanda - unafikiri M7 akisema enough is enough Rwanda patakalika - someni historia ya kweli kuhusu Kaguta - msimuone zungumza yake kwa vituo, ustaarabu na uvumilivu mkamchukulia poa, akihamuwa kufanya kweli hashindwi kitu yule - kumbukeni kwamba ma kamanda na wanajeshi wengi wa jeshi la Kagame wamepitia mikononi mwa M7 - sisemi kwamba M7 atake kumu-control Paul jinsi anavyo run Rwanda, lakini M7 deserves some respect from Kagame their differences notwithstanding akumbuke M7 kamtoa mbali sana.
😄😄😄😄 Hiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kwanza Kenya ktk majeshi yako very indiscipline kwa East Africa nadhani la kwanza Ni Jeshi la Burundi then linafuata La Kenya,hata wapewe vifaa gani pale Ni bure kabisa.

TPDF Ina mizizi mirefu tena Sana tu.
Unazungumzia hii TPDF ambayo makamanda wengi Ni makada wa CCM wasio na weredi wowote? Poleni sana.
 
Vikitokea vita kati ya Rwanda na Uganda nani atashinda?

Wameanza kuparuana tena hawa wezi wa Madini ya Congo

Nahisi hawa mwisho wao utakuja kuwa kwenye hizi battle

Kati ya Uganda na Rwanda nani atashinda vita?

Nasema hivi kwasababu msitumie kigezo cha Rwanda ni ndogo! Rwanda sio ndogo kiidadi ina watu milioni 12!

Watu milioni 12 sio kidogo ni wengi sana


Na hata battle na Rwanda na tz lingetokea hata possiblity ya kutandikwa na Rwanda ingekuwepo tu nchi ikishakua na watu milioni 10 na kuendelea wakijiandaa vizuri wana uwezo wa kuzichapa na nchi yenye watu milion 120

Turudi kwenye mada Rwanda Vs Uganda nani atashinda vita?
Mkuu maada zako kweli za kufikirika au ni ndoto za mchana baada kushiba ugali mkubwa na supu ya mkia
 
Vikitokea vita kati ya Rwanda na Uganda nani atashinda?

Wameanza kuparuana tena hawa wezi wa Madini ya Congo

Nahisi hawa mwisho wao utakuja kuwa kwenye hizi battle

Kati ya Uganda na Rwanda nani atashinda vita?

Nasema hivi kwasababu msitumie kigezo cha Rwanda ni ndogo! Rwanda sio ndogo kiidadi ina watu milioni 12!

Watu milioni 12 sio kidogo ni wengi sana


Na hata battle na Rwanda na tz lingetokea hata possiblity ya kutandikwa na Rwanda ingekuwepo tu nchi ikishakua na watu milioni 10 na kuendelea wakijiandaa vizuri wana uwezo wa kuzichapa na nchi yenye watu milion 120

Turudi kwenye mada Rwanda Vs Uganda nani atashinda vita?
Rwanda kwa Uganda ni Sisimizi ama vibwengo kama vibwengo wengine. Mbuu banyarwanda ba bwerere.
 
Back
Top Bottom