Sasa hivi, GDP (PPP) ya Kenya na Tanzania are almost the same. Uganda na Rwanda wala siyo nchi za kuitingishia kifua Tanzania, washindani wakubwa kiuchumi against Tanzania in East Africa ni Kenya, full stop.
Hawa wengine, hawana ufukwe wala maziwa makubwa kama Tanzania, wataishia kumangamanga tu, na sababu kubwa ni siasa zao, M7 na Kagame. Ila they are most welcome any time to use our bandari.
Bandari ya Mombasa ilikuwa ni free port for all east african states after independence, wakenya wakaitaifisha. Leo Waganda na Wanyarwanda wanajifanya Mombasa ...Mombasa, haya, yetu macho sisi.
Tatizo la Tanzania kubwa kwa sasa ni CCM!! CCM imeoza na uongozi umewashinda. Tukiiondoa ccm, hawamajirani watakuwa wanalisikilizia vumbi tu!