Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

Wengi wanaojadili humu ndani siyo wanauchumi hata kidogo isipokuwa ni wadandiaji tu wa hoja. Uganda na Rwanda wakijitoa wataahiri vipi uchumi wetu? Hilo ndio swali la kujiliza na siyo kuanza kuweka humu chuki binafsi sijui mara hilo ni tatizo la JK sijui huyu ni Mr. dhaifu na kadhalika. Rwanda na Uganda wakijitoa na wajitoe tu na wala hakuna madhara makubwa. Hebu tujiulize hivi sisi tunapata nini kwa Rwanda na Uganda kwa kutumia bandari yetu. Je, hamjui kuwa barabara zetu zinaharibika mno kwa malori makubwa yasiyo ya kawaida? Watakaoaathirika ni wale wafanyabiashara na wafanyakazi wa bandarini ambao huinyima mapato nchi kwa ruhswa zao za kishenzi. Watu wa kawaida kamwe hawezi kuathirika na ujinga uliopo katika bandari ya Dar es |Salaam. Sisi tuimarishe reli na tujenge uchumi wetu kwa kuangalia vyanzo vingine. Sisi tumebarikiwa kuwa na vyanzo vingi. Bandari ni sehemu ndogo mno ya mapato ya Tanzania. By the way waache Rwanda waitumie bandari ya Mombasa kwani watapata hasara kubwa na vitu huko Rwanda vitakuwa na bei kubwa mno na kuleta inastability kwao.
You dont know what you are talking about!
 
haya yote yanatokana na siasa nyingi Watanzania....kila kitu ujuaji.
Tanzania leo haina uhusiano mzuri na majirani zake hilo ndio tatizo kubwa....Malawi itafuata kujitoa kutumia bandari zetu.
Diplomasia duni, na nchi kuendeshwa kwa mipasho.
 
Msijadili jambo kama vle mnatunga mashauri ya taarab!
Swal la msingi ni kwamba, kwann waache leo kutumia bandari ya Dar? Jamani ikumbukwe vizur kuwa kulikuwa na matatizo makubwa sana bandar ya dar miaka mitatu nyuma lkn hawakuacha kuitumia! Chanzo cha haya yote ni mteja wa Bensuda Fattuh, Uhuru Kenyatta ndiye mchanganishi na amekuwa akiitisha vkao yye,kaguta na kagame bila Tz na burundi kuatend. Jamani haya masuala n mapana sana ila iwe funzo kwa KIKWETA make yye na ccm chini ya Tyson ndio waliwapa Uhuru na Rutto mbinu za kuiba kura kwe Uchaguzi mkuu na kuibuka Mshindi. Mchawi wetu ni Kikwete.
 
Hamna lolote ni propaganda tu, jukumu la kuchagua bandari ya kutumia ni jukumu la mteja mwenyewe. Hata hivyo wao Rwanda na Uganda wana haki ya kupitisha mizigo mahali wanapoona pana unafuu na katika hili option iliyo nafuu kwao ni Bandari ya Dar hawana ujanja. Mkwara wa kupitishia Mombasa mbwembwe tu watu wenyewe maskini hawa wanyarwanda.
Swala la vizuizi barabarani ni la lazima nadhan hata wao magari yanayotoka tz yakienda kwao wanayakagua sana.
Changamoto iliyopo sisi tuendelee kuboresha tu bandari zetu wao waache watumie gharama kubwa kuleta mbwembwe za kujenga reli toka Mombasa hadi kwenye ka nchi kao kadogo na masikini cha Rwanda mwisho wa siku watarudi hapahapa hawana pa kwenda.
 
Kwa wale ambao wanaojua nini kinaendelea kati ya Kagame na Museveni hawezi kushangaa, ila atawapuuzia tu.
 
Kwa kuzingatia umbali Uganda wako sahihi kutumia Kenya,ni karibu kwao,kwa Rwanda hakuna faida kubwa ya umbali Kama wanayoipata Uganda.

In general putting politics aside it comes down to efficiency.

Uchumi Wa Tanzania hauwezi kuyumba kwa kuwa Nchi yenye GDP kiduchu Kama Rwanda haipitishi mizigo yake.total volume ya cargo za Rwanda in ndogo Sana kujustify uyumbaji Wa uchumi.Uganda were never our biggest customers to begin with.

In my opinion this is simply Kenyan backstabbing at its best.KAGAME and MUSEVENI are just getting played hard here.
Wanachokifanya wakenya sasa ndio kilichoua EA community 1977,tamaa za kikikuyu.kwao wao EA only works if things are in their terms.if JKN was in power this would be a bygone.

Kenya play this game every time it gets a chance,preaching EA integration so that others view us as a block,but when money/investments comes in it must pass through Nairobi 1st.Ask yourselves why Kenya wants to keep visa collection money at point of entry, because it knows it has the most international connections.

Then TZ inafanywa Kama mlaji,with no trickle down effect. Tazama MNCs ngapi zimeweka base NRB as opposed to DAR.this is what KENYA wants, they also want common regulations amd market so that it becomes easier for MNCs to set up shop in NRB and serve EA as a block.this will ensure KENYA keeps 90% of proceedings and tiny of what's left gets shared by the rest.

My advice to GOT,if Kenya keeps these games they should put brakes in common market extravaganza and embrace individuality within the community
That way MNCs will need to also set up shop in TZ,and not use us as a mere consumer point.
 
Hamna lolote ni propaganda tu, jukumu la kuchagua bandari ya kutumia ni jukumu la mteja mwenyewe. Hata hivyo wao Rwanda na Uganda wana haki ya kupitisha mizigo mahali wanapoona pana unafuu na katika hili option iliyo nafuu kwao ni Bandari ya Dar hawana ujanja. Mkwara wa kupitishia Mombasa mbwembwe tu watu wenyewe maskini hawa wanyarwanda.
Swala la vizuizi barabarani ni la lazima nadhan hata wao magari yanayotoka tz yakienda kwao wanayakagua sana.
Changamoto iliyopo sisi tuendelee kuboresha tu bandari zetu wao waache watumie gharama kubwa kuleta mbwembwe za kujenga reli toka Mombasa hadi kwenye ka nchi kao kadogo na masikini cha Rwanda mwisho wa siku watarudi hapahapa hawana pa kwenda.

uko sahihi mkuu.
 
Kwa kuzingatia umbali Uganda wako sahihi kutumia Kenya,ni karibu kwao,kwa Rwanda hakuna faida kubwa ya umbali Kama wanayoipata Uganda.

In general putting politics aside it comes down to efficiency.

Uchumi Wa Tanzania hauwezi kuyumba kwa kuwa Nchi yenye GDP kiduchu Kama Rwanda haipitishi mizigo yake.total volume ya cargo za Rwanda in ndogo Sana kujustify uyumbaji Wa uchumi.Uganda were never our biggest customers to begin with.

In my opinion this is simply Kenyan backstabbing at its best.KAGAME and MUSEVENI are just getting played hard here.
Wanachokifanya wakenya sasa ndio kilichoua EA community 1977,tamaa za kikikuyu.kwao wao EA only works if things are in their terms.if JKN was in power this would be a bygone.

Kenya play this game every time it gets a chance,preaching EA integration so that others view us as a block,but when money/investments comes in it must pass through Nairobi 1st.Ask yourselves why Kenya wants to keep visa collection money at point of entry, because it knows it has the most international connections.

Then TZ inafanywa Kama mlaji,with no trickle down effect. Tazama MNCs ngapi zimeweka base NRB as opposed to DAR.this is what KENYA wants, they also want common regulations amd market so that it becomes easier for MNCs to set up shop in NRB and serve EA as a block.this will ensure KENYA keeps 90% of proceedings and tiny of what's left gets shared by the rest.

My advice to GOT,if Kenya keeps these games they should put brakes in common market extravaganza and embrace individuality within the community
That way MNCs will need to also set up shop in TZ,and not use us as a mere consumer point.

ubungo wangu uko na happy kwa maelezo yako mazuri mno.
 
The biggest card Tanzanians have is the Chinese, these people are our strongest allies.

We should use them to our advantage,Tanzanians have no idea how emotionally attached Chinese are to "TanzanTielu" i.e Tazara of all the projects Chinese have ever done outside their country,since the founding of the new china.

Over the next half a decade they will pour in TZ over $20BN that's almost our entire GDP.that in itself is extremely valuable.

I keep repeating this,Chinese did not sent xi jinping to Tanzania on his preaident first visit as by mistake,we are effectively their African base.let's get the most out of this.

We also have a trojan horse in the name of Kariakoo.90% of Traders who used to go to China from neighboring country simply don't go there.they stop at KKOO,let's use this as well.

We need to modernize KKOO and make it an EPZ as a center for trade with landlocked countries like Zambia/Zimbabwe/Malawi/Congo and Burundi.

Don't worry about Kenyans in this,A sane Chinese merchant simply can't do business In Kenya.(ujamaa wetu-unaplay part kubwa hapa).ndio maana unaona mchina anauza karanga Tabata,they feel at home.

As much as I dislike them taking lowly jobs it is of tremendous significance if we let the Chinese community flourish.we will see it's advantage 10-20 years down the line.
 
nimesoma bandiko lako lote ambalo ulianza kwa sema kuwa "bado tutaluwa tuko na malawi zambia na drc plus burundi," which suggests that pamoja na kuwa customers a na b wametuacha bado tutakuwa na customers c na d.

Hata hivyo, ukajishtukia kuwa hata customerss c na d utawapoteza hivi hivi kama hutashughulikia matatizo ya product yako.

Ni kama vile hutaki kuwapoteza pia customers c na d lakini huna mpango wa kuwarudisha customers a na b.

neno cha msingi linabeba ujumbe mzito sana izo mambo zengine ni aob!
 
The biggest card Tanzanians have is the Chinese, these people are our strongest allies.

We should use them to our advantage,Tanzanians have no idea how emotionally attached Chinese are to "TanzanTielu" i.e Tazara of all the projects Chinese have ever done outside their country,since the founding of the new china.

Over the next half a decade they will pour in TZ over $20BN that's almost our entire GDP.that in itself is extremely valuable.

I keep repeating this,Chinese did not sent xi jinping to Tanzania on his preaident first visit as by mistake,we are effectively their African base.let's get the most out of this.

We also have a trojan horse in the name of Kariakoo.90% of Traders who used to go to China from neighboring country simply don't go there.they stop at KKOO,let's use this as well.

We need to modernize KKOO and make it an EPZ as a center for trade with landlocked countries like Zambia/Zimbabwe/Malawi/Congo and Burundi.

Don't worry about Kenyans in this,A sane Chinese merchant simply can't do business In Kenya.(ujamaa wetu-unaplay part kubwa hapa).ndio maana unaona mchina anauza karanga Tabata,they feel at home.

As much as I dislike them taking lowly jobs it is of tremendous significance if we let the Chinese community flourish.we will see it's advantage 10-20 years down the line.
mkuu wachina ni kama wasomali au watu wengine tu wenye kuganga njaa kama sisi. mkuu unaonyesha wewe ni mtaalamu wa antivirus, sio ishu sana but tatizo naona kama unaenda mbali sana na hii taito hapo juu. for god sake, ungecheki fresh hii scenario mkuu.
 
Acha wajitoe tu.there is no way hapa tulipofikia ndo hivyo cha msingi kujipanga zaidi. kama kejeli zilianza kitambo. mnakumbuka mh flan alishamwambia mkuu wetu ampe awe waziri wa bandari? tukomae na SADC pia tuimarishe bandari yetu zaidi they will come.
 
Wengi wanaojadili humu ndani siyo wanauchumi hata kidogo isipokuwa ni wadandiaji tu wa hoja. Uganda na Rwanda wakijitoa wataahiri vipi uchumi wetu? Hilo ndio swali la kujiliza na siyo kuanza kuweka humu chuki binafsi sijui mara hilo ni tatizo la JK sijui huyu ni Mr. dhaifu na kadhalika. Rwanda na Uganda wakijitoa na wajitoe tu na wala hakuna madhara makubwa. Hebu tujiulize hivi sisi tunapata nini kwa Rwanda na Uganda kwa kutumia bandari yetu. Je, hamjui kuwa barabara zetu zinaharibika mno kwa malori makubwa yasiyo ya kawaida? Watakaoaathirika ni wale wafanyabiashara na wafanyakazi wa bandarini ambao huinyima mapato nchi kwa ruhswa zao za kishenzi. Watu wa kawaida kamwe hawezi kuathirika na ujinga uliopo katika bandari ya Dar es |Salaam. Sisi tuimarishe reli na tujenge uchumi wetu kwa kuangalia vyanzo vingine. Sisi tumebarikiwa kuwa na vyanzo vingi. Bandari ni sehemu ndogo mno ya mapato ya Tanzania. By the way waache Rwanda waitumie bandari ya Mombasa kwani watapata hasara kubwa na vitu huko Rwanda vitakuwa na bei kubwa mno na kuleta inastability kwao.
mkuu nadhani usiseme sisi tuimarishe reli kwani hata bandari ingeweza kuimarishwa pia. kenya watanufaika na makosa yetu. japo naamini uganda na rwanda zimenufaika na DRC miaka mingi walituvumilia miaka mingi, nadhani baada ya sisi kupeleka mashambulizi dhidi ya m23 hawakufurahishwa na sisi wameamua kuonyesha mgomo baridi kupitia madhaifu yetu.kimsingi hakuna rafiki wa kudumu, tunahitaji tuwe watu safi ili tukikosoa mataifa mengine tutaheshimika pia, na hili ndio udhaifu wetu. tunakuwa wala rushwa huku tukijifanya tunauchungu na amani ya kongo na wao wametuvumilia walipoona tunamwaga ugali wameamua kumwaga mboga.
 
mkuu wachina ni kama wasomali au watu wengine tu wenye kuganga njaa kama sisi. mkuu unaonyesha wewe ni mtaalamu wa antivirus, sio ishu sana but tatizo naona kama unaenda mbali sana na hii taito hapo juu. for god sake, ungecheki fresh hii scenario mkuu.

Wachina sio kama wasomali,check Singapore na nchi walizolowea,they have a thing for business.

As I explained Chinese influx brings unique advantages that we should capitalize.
 
Tatizo sio ufisadi wala rushwa bandarini. Tatizo hasa ni Kikwete kupeleka majeshi DRC kuzuia Wanyarwanda na Waganda kuchukua mali za Congo. Hata zile hasira za Kagame kuanza kumtukana Kikwete tatizo sio ushauri tatizo ni lile lile la Tanzania kupeleka majeshi DRC kuzuia uibaji wa mali za congo ama kutia kiwingu. Ndio maana jamaa wana hasira kwelikweli. Hapo bandarini hata kama kungekuwa na ufanisi 100% na hakuna polisi barabarani jamaa bado wangeiacha bandari maana masilahi yao makubwa ni kongo. Kikwete kama ameenda kutia kitumbua mchanga.

Hata hayo maendeleo yanayoonekana rwanda asilimia kubwa ni kutokana na mali za CONGO, ikitokea majeshi ya TZ yakawadhibiti M23 huko Congo mtaona jinsi uchumi wa Rwanda utavyobuma.

Rwanda: Govt to Tighten Mineral Traceability to Boost Market

http://allafrica.com/stories/201303180213.html

Rwanda wana plan ku export madini wakati hata hawana machimbo.
 
Well said mkuu. Kama nilivyosema hapo awali, Rwanda government does not want war. Hawa FDLR, majuzi walitupa mabomu Kigali na kuwauwa raia wasio na hatia.

Ndio madhara ya kutotaka amani na wapinzani wenu......tafuteni amani....na kama wale walioshiriki mauaji bado wapo wafikishwe kwenye vyombo vya sheria........Charles Taylor ni mfano halisi.....mbali na kuwa yeye alikuwa Kiongozi wa nchi

...... Obviously, they still want to force their way back into Rwanda? What is your advice on that?

Obviously wale ni Wanyarwanda.......wanatakiwa warudi kwao Rwanda..........ongeeni mkubaliane amani na mjengeane hoja za kufikishana mbele ya vyombo vya sheria.........msituletee unrest kwenye maziwa makuu........


.......Nadhani unajua kuwa FDLR wako kwenye list ya terrorist organization. Kama nilivyosema waki renounce ideology yao ya "wiping out all tutsi", wakaweka silaha chini then I believe that the government of Rwanda is willing to sit with them.

Haiwezekani upande mmoja uka-dictate position ya mazungumzo yanayotakiwa yahusu makubaliano ya pande mbili........huo ni uchizi.....there no way mtapata muafaka kwa mtizamo huo........

NB: kama ulikuwa hujui....kwa taarifa yako.......Wamarekani wanazungumza na Taliban plus Al-Qaida kuhusu mstkabala mzima wa amani mashariki ya kati na maeneo mengine yanayohusu interest za Marekani na wenzake....


.......I think you know kwamba kiongozi wao ana $5million reward on his head. Na hiyo hela imetolewa na serikali ya marekani so you see what kind of people you are dealing with.

....hebu leta evidence ya hiyo kitu.......waliitangaza lini na ilikuwa wapi.......
 
Ule mradi wa kujenga reli ya pamoja kati ya Tz na Uganda kuanzia Bandari ya Tanga hadi Musoma ndio harijojo?

Ile ilikuwa fix ya M7 ili muingie kuminane za EAC za kuingiza ardhi kwenye jumuia.

Kifupi kenya kuna rushwa balaa hiyo ya bongo cha mtoto, nashangaa wachangiaji wanatoa data wapi? Kenya mhhh, Kenya huwezi chukua taxi pale airport kama huwajui, kenya huwezi tembea, Bora traffic wa bongo anakuomba rushwa, wa kenya anakutia ndani ukizubaa anakutwanga na risasi.
 
Back
Top Bottom